Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Angola

  • Ijumaa, 11 Novemba, 2016

    Ijumaa, 11 Novemba, 2016

    Nov 11, 2016 03:00

    Leo ni Ijumaa tarehe 11 Safar 1438 Hijria sawa na 11 Novemba 2016.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Oct 01, 2016 07:58

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.

  • Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Sep 07, 2016 13:14

    Waasi wa kundi la FLEC linalopigania kujitenga eneo la Cabinda huko Angola wamedai kuwa wameua wanajeshi wa serikali wasiopungua 12 katika eneo tajiri kwa mafuta kusini mwa nchi hiyo.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Aug 02, 2016 07:57

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola FLEC wamedai kwamba wameua askari 17 wa nchi hiyo katika makabiliano makali yaliyojiri mwishoni mwa wiki iliyomalizika.

  • Dola milioni 1.4 zahitajika kukabili homa ya manjano Angola

    Dola milioni 1.4 zahitajika kukabili homa ya manjano Angola

    Jul 08, 2016 04:18

    Shirika la Msalaba Mwekundu limesema linahitajia dola milioni 1.4 za Marekani ili kukabili maambukizi mapya ya homa ya manjano nchini Angola.

  • Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Jun 22, 2016 04:04

    Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.

  • Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola

    Jun 03, 2016 03:53

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa watu laki tano na elfu 80 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa nchini Angola.

  • WHO: Watu zaidi ya 300 waaga dunia kwa homa ya manjano Angola

    WHO: Watu zaidi ya 300 waaga dunia kwa homa ya manjano Angola

    May 27, 2016 14:32

    Mripuko wa homa ya manjano nchini Angola umesababisha vifo vya watu zaidi ya 300 tangu mwezi Disemba mwaka jana, huku kesi za ugonjwa huo zikienea hadi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya na hata Uchina.

  • WHO: Chanjo ya homa ya manjano ni sharti kwa waendao Angola

    WHO: Chanjo ya homa ya manjano ni sharti kwa waendao Angola

    Apr 27, 2016 03:33

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema wasafiri wote wanaoenda nchini Angola wanahitaji kupata chanjo ya homa ya manjano ili kuthibitisha wamejikinga na kuzuia kuisambaza zaidi.

  • Angola; nchi ya kwanza kwa kuzalisha mafuta barani Afrika

    Angola; nchi ya kwanza kwa kuzalisha mafuta barani Afrika

    Apr 18, 2016 04:14

    Angola hivi sasa imekuwa nchi ya kwanza inayozalisha mafuta kwa wingi barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS