-
Ijumaa, 11 Novemba, 2016
Nov 11, 2016 03:00Leo ni Ijumaa tarehe 11 Safar 1438 Hijria sawa na 11 Novemba 2016.
-
Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola
Oct 01, 2016 07:58Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.
-
Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda
Sep 07, 2016 13:14Waasi wa kundi la FLEC linalopigania kujitenga eneo la Cabinda huko Angola wamedai kuwa wameua wanajeshi wa serikali wasiopungua 12 katika eneo tajiri kwa mafuta kusini mwa nchi hiyo.
-
Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola
Aug 02, 2016 07:57Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola FLEC wamedai kwamba wameua askari 17 wa nchi hiyo katika makabiliano makali yaliyojiri mwishoni mwa wiki iliyomalizika.
-
Dola milioni 1.4 zahitajika kukabili homa ya manjano Angola
Jul 08, 2016 04:18Shirika la Msalaba Mwekundu limesema linahitajia dola milioni 1.4 za Marekani ili kukabili maambukizi mapya ya homa ya manjano nchini Angola.
-
Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini
Jun 22, 2016 04:04Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.
-
Watu karibu laki sita wanakabiliwa na baa la njaa Angola
Jun 03, 2016 03:53Umoja wa Mataifa umeonya kuwa watu laki tano na elfu 80 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa nchini Angola.
-
WHO: Watu zaidi ya 300 waaga dunia kwa homa ya manjano Angola
May 27, 2016 14:32Mripuko wa homa ya manjano nchini Angola umesababisha vifo vya watu zaidi ya 300 tangu mwezi Disemba mwaka jana, huku kesi za ugonjwa huo zikienea hadi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya na hata Uchina.
-
WHO: Chanjo ya homa ya manjano ni sharti kwa waendao Angola
Apr 27, 2016 03:33Shirika la Afya Duniani WHO limesema wasafiri wote wanaoenda nchini Angola wanahitaji kupata chanjo ya homa ya manjano ili kuthibitisha wamejikinga na kuzuia kuisambaza zaidi.
-
Angola; nchi ya kwanza kwa kuzalisha mafuta barani Afrika
Apr 18, 2016 04:14Angola hivi sasa imekuwa nchi ya kwanza inayozalisha mafuta kwa wingi barani Afrika.