Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Armenia

  • Kukiukwa makubaliano ya kusitisha vita ya Moscow dakika chache baada ya kutekelezwa

    Kukiukwa makubaliano ya kusitisha vita ya Moscow dakika chache baada ya kutekelezwa

    Oct 12, 2020 04:52

    Makubaliano ya kusitisha vita baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia yaliyofikiwa kwa upatanishi wa Russia yamekiukwa dakika 5 tu baada ya kuanza kutekelezwa.

  • Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia

    Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia

    Oct 09, 2020 02:36

    Kwa kuendelea mapigano baina ya Jamhuri ya Azeribaijan na Armenia, hivi sasa pande hasimu katika vita zimepanua wigo kutoka ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kuingia katika maeneo yenye umuhimu wa kiuchumi.

  • Rais Rouhani: Iran haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake

    Rais Rouhani: Iran haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake

    Oct 07, 2020 12:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran kamwe haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake na kuongeza kuwa, jambo hilo halikubaliki kabisa na Tehran imewatangazia waziwazi msimamo wake huo, viongozi wa nchi zote jirani.

  • Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa mgogoro baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia

    Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa mgogoro baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia

    Oct 07, 2020 04:48

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mgogoro baina ya Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan unapaswa kumalizika haraka iwezekanavyo. Ameongeza kuwa, Iran iko tayari kuchukua hatua yoyote ya kutatua mgogoro baina ya Baku na Yerevan kwa mujibu wa sheria za kimataifa na mipaka inayotambuliwa rasmi ya nchi hizo mbili.

  • Azerbaijan yadai imeua maelfu ya askari wa Armenia, UN yatoa kauli

    Azerbaijan yadai imeua maelfu ya askari wa Armenia, UN yatoa kauli

    Sep 30, 2020 12:35

    Azerbaijan inadai kuwa imeua maelfu ya wanajeshi wa Armenia katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea siku ya Jumapili.

  • Iran yaitaka Armenia na Azerbaijan zisitishe mapigano, makumi wauawa

    Iran yaitaka Armenia na Azerbaijan zisitishe mapigano, makumi wauawa

    Sep 28, 2020 11:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Armenia na Azerbaijan zijizuie na zisitishe mapigano yanayoshuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea jana Jumapili.

  • Jumatatu tarehe 21 Septemba 2020

    Jumatatu tarehe 21 Septemba 2020

    Sep 21, 2020 18:54

    Leo ni Jumatatu tarehe 3 Safar 1442 Hijria sawa na Septemba 21 mwaka 2020.

  • Rais Rouhani: Jamii ya Kimataifa inahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda

    Rais Rouhani: Jamii ya Kimataifa inahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda

    Oct 02, 2019 04:36

    Rais Hassan Rouhani ameashriia vikwazo chungu nzima vinavyowekwa katika uhusiano wa kiuchumi baina ya nchi, ongezeko la kila uchao la umasikini, kukosekana usalama, uhajiri na kupungua ukuaji wa uchumi duniani na akasisitiza kwa kusema: Mfumo wa Kimataifa unahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda.

  • Jumamosi, 21 Septemba, 2019

    Jumamosi, 21 Septemba, 2019

    Sep 21, 2019 04:30

    Leo ni Jumamosi tarehe 21 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 21 Septemba 2019 Miladia.

  • Alkhamisi, Mei 9, 2019

    Alkhamisi, Mei 9, 2019

    May 09, 2019 04:18

    Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Ramadhani 1440 Hijria sawa na tarehe 9 Mei, 2019 Milaadia

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS