-
Kukiukwa makubaliano ya kusitisha vita ya Moscow dakika chache baada ya kutekelezwa
Oct 12, 2020 04:52Makubaliano ya kusitisha vita baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia yaliyofikiwa kwa upatanishi wa Russia yamekiukwa dakika 5 tu baada ya kuanza kutekelezwa.
-
Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia
Oct 09, 2020 02:36Kwa kuendelea mapigano baina ya Jamhuri ya Azeribaijan na Armenia, hivi sasa pande hasimu katika vita zimepanua wigo kutoka ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kuingia katika maeneo yenye umuhimu wa kiuchumi.
-
Rais Rouhani: Iran haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake
Oct 07, 2020 12:35Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran kamwe haitoruhusu magaidi waweko kwenye mipaka yake na kuongeza kuwa, jambo hilo halikubaliki kabisa na Tehran imewatangazia waziwazi msimamo wake huo, viongozi wa nchi zote jirani.
-
Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa mgogoro baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia
Oct 07, 2020 04:48Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mgogoro baina ya Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan unapaswa kumalizika haraka iwezekanavyo. Ameongeza kuwa, Iran iko tayari kuchukua hatua yoyote ya kutatua mgogoro baina ya Baku na Yerevan kwa mujibu wa sheria za kimataifa na mipaka inayotambuliwa rasmi ya nchi hizo mbili.
-
Azerbaijan yadai imeua maelfu ya askari wa Armenia, UN yatoa kauli
Sep 30, 2020 12:35Azerbaijan inadai kuwa imeua maelfu ya wanajeshi wa Armenia katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea siku ya Jumapili.
-
Iran yaitaka Armenia na Azerbaijan zisitishe mapigano, makumi wauawa
Sep 28, 2020 11:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Armenia na Azerbaijan zijizuie na zisitishe mapigano yanayoshuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea jana Jumapili.
-
Jumatatu tarehe 21 Septemba 2020
Sep 21, 2020 18:54Leo ni Jumatatu tarehe 3 Safar 1442 Hijria sawa na Septemba 21 mwaka 2020.
-
Rais Rouhani: Jamii ya Kimataifa inahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda
Oct 02, 2019 04:36Rais Hassan Rouhani ameashriia vikwazo chungu nzima vinavyowekwa katika uhusiano wa kiuchumi baina ya nchi, ongezeko la kila uchao la umasikini, kukosekana usalama, uhajiri na kupungua ukuaji wa uchumi duniani na akasisitiza kwa kusema: Mfumo wa Kimataifa unahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda.
-
Jumamosi, 21 Septemba, 2019
Sep 21, 2019 04:30Leo ni Jumamosi tarehe 21 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 21 Septemba 2019 Miladia.
-
Alkhamisi, Mei 9, 2019
May 09, 2019 04:18Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Ramadhani 1440 Hijria sawa na tarehe 9 Mei, 2019 Milaadia