-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na Armenia
Feb 28, 2019 14:50Katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Armenia Nikol Pashinyan, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia ni majirani wema na wenye uhusiano wa kihistoria.
-
Ijumaa tarehe 21 Septemba 2018
Sep 21, 2018 02:48Leo ni Ijumaa tarehe 11 Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 21, 2018.
-
Jumamosi, Mei 12, 2018
May 12, 2018 04:14Leo ni Jumamosi tarehe 25 Shaaban 1439 Hijria mwafaka na tarehe 12 Mei 2018 Miladia.
-
Rouhani: Kuanzisha vita hakutakuwa na manufaa kwa nchi yoyote M/Kati
Oct 11, 2017 08:16Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Rouhani: Kuanzishwa vita hakutainufaisha nchi yoyote Mashariki ya Kati
Oct 11, 2017 04:53Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Marais wa Iran na Armenia wasisitiza kutekelezwa hati za makubaliano ya ushirikiano
Dec 22, 2016 03:36Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia wamesisitiza kuhusu azma ya nchi mbili ya kustawisha uhusiano wa pande mbili, wa kieneo na kimataifa.
-
Iran na Armenia zasaini hati tano za ushirikiano
Dec 21, 2016 14:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia zimesaini hati tano za mapatano na makubaliano ya ushirikiano kwa kuhudhuriwa na Marais wa Iran Hassan Rouhani na mwenzake wa Armenia, Serzh Sargsyan.
-
Rouhani: Inachotaka Iran ni kuona amani na uthabiti katika eneo
Jun 06, 2016 07:23Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema fahari ya Jamhuri ya Kiislamu ni kuona amani na uthabiti vinatamalaki katika eneo la Mashariki ya Kati.