-
Jumamosi, 21 Septemba, 2019
Sep 21, 2019 00:00Leo ni Jumamosi tarehe 21 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 21 Septemba 2019 Miladia.
-
Alkhamisi, Mei 9, 2019
May 08, 2019 23:48Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Ramadhani 1440 Hijria sawa na tarehe 9 Mei, 2019 Milaadia
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na Armenia
Feb 28, 2019 11:20Katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Armenia Nikol Pashinyan, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia ni majirani wema na wenye uhusiano wa kihistoria.
-
Ijumaa tarehe 21 Septemba 2018
Sep 20, 2018 22:18Leo ni Ijumaa tarehe 11 Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 21, 2018.
-
Jumamosi, Mei 12, 2018
May 11, 2018 23:44Leo ni Jumamosi tarehe 25 Shaaban 1439 Hijria mwafaka na tarehe 12 Mei 2018 Miladia.
-
Rouhani: Kuanzisha vita hakutakuwa na manufaa kwa nchi yoyote M/Kati
Oct 11, 2017 04:46Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Rouhani: Kuanzishwa vita hakutainufaisha nchi yoyote Mashariki ya Kati
Oct 11, 2017 01:23Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Marais wa Iran na Armenia wasisitiza kutekelezwa hati za makubaliano ya ushirikiano
Dec 22, 2016 00:06Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia wamesisitiza kuhusu azma ya nchi mbili ya kustawisha uhusiano wa pande mbili, wa kieneo na kimataifa.
-
Iran na Armenia zasaini hati tano za ushirikiano
Dec 21, 2016 10:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia zimesaini hati tano za mapatano na makubaliano ya ushirikiano kwa kuhudhuriwa na Marais wa Iran Hassan Rouhani na mwenzake wa Armenia, Serzh Sargsyan.
-
Rouhani: Inachotaka Iran ni kuona amani na uthabiti katika eneo
Jun 06, 2016 02:53Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema fahari ya Jamhuri ya Kiislamu ni kuona amani na uthabiti vinatamalaki katika eneo la Mashariki ya Kati.