Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Austria

  • Wanawake wanaovaa Hijabu Austria wakabiliwa na chuki dhidi ya Uislamu

    Wanawake wanaovaa Hijabu Austria wakabiliwa na chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 30, 2023 07:40

    Asasi moja isiyo ya kiserikali imeripoti kuwa, wanawake wanaovaa vazi la staha la Hijabu nchini Austria wanakabiliwa na ongezeko la ubaguzi na hujuma za chuki dhidi ya Uislamu ikilinganishwa na wanaume katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Jumatano tarehe 26 Oktoba 2022

    Jumatano tarehe 26 Oktoba 2022

    Oct 26, 2022 02:40

    Leo ni Jumatano tarehe 29 Rabiul Awwal 1444 Hijria sawa na Oktoba 26 mwakak 2022.

  • Kesi za kushambuliwa Waislamu nchini Austria zaongezeka

    Kesi za kushambuliwa Waislamu nchini Austria zaongezeka

    Aug 14, 2022 07:21

    Jinai za kushambuliwa Waislamu kwa misingi ya dini yao zimeongezeka kwa kiwango cha kutisha nchini Austria.

  • Jumatano tarehe 13 Aprili 2022

    Jumatano tarehe 13 Aprili 2022

    Apr 13, 2022 13:28

    Leo ni Jumatano tarehe 11 mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 1443 Hijria sawa na Aprili 13 2022.

  • Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia

    Mar 28, 2022 02:27

    Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amedai kuwa, nchi tatu za Ulaya za Ujerumani, Austria na Hungary ni kizuizi katika utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia na kuzifananisha nchi hizo tatu na breki inayozuia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Moscow.

  • Maelfu waandamana Ulaya kupinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Maelfu waandamana Ulaya kupinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Jan 16, 2022 07:59

    Maelfu ya wananchi wa Austria wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19.

  • Vienna, Austria yageuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga karantini na chanjo ya lazima ya corona

    Vienna, Austria yageuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga karantini na chanjo ya lazima ya corona

    Nov 20, 2021 13:57

    Mji mkuu wa Austria, Vienna leo umegeuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga uwekaji karantini kwa sababu ya ugonjwa wa Covid-19 na upigaji chanjo ya lazima ya ugonjwa huo.

  • Rais Raisi: Miaka 500 ya uhusiano wa kirafiki wa Iran na Austria ni rasilimali yenye thamani kwa mustakabali

    Rais Raisi: Miaka 500 ya uhusiano wa kirafiki wa Iran na Austria ni rasilimali yenye thamani kwa mustakabali

    Aug 24, 2021 02:46

    Rais Ebrahim Raisi amesema miaka 500 ya uhusiano wa kirafiki wa nchi mbili za Iran na Austria ni rasilimali yenye thamani kwa mustakabali wa uhusiano huo.

  • Jumanne tarehe 10 Agosti 2021

    Jumanne tarehe 10 Agosti 2021

    Aug 10, 2021 02:26

    Leo ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1443 Hijria sawa na Agosti 10 mwaka 2021.

  • Waislamu wa Austria kuishtaki serikali kwa kuhatarisha usalama wao, ubaguzi

    Waislamu wa Austria kuishtaki serikali kwa kuhatarisha usalama wao, ubaguzi

    May 30, 2021 12:42

    Kundi linaloongoza la Waislamu nchini Austria limesema lina mpango wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya Kansela Sebastian Kurz kwa kuanika "ramani ya Uislamu" iliyozusha utata mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS