Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Austria

  • Zarif afuta safari yake Austria akipinga kuwekwa bendera za Israeli kwenye majengo ya serikal

    Zarif afuta safari yake Austria akipinga kuwekwa bendera za Israeli kwenye majengo ya serikal

    May 16, 2021 04:32

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amefuta safari yake rasmi nchini Austria akipinga hatua ya nchi hiyo ya kupeperusha bendera za utawala haramu wa Israel juu ya majengo ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Vienna, huku Israel ikiendelea kuwaua kinyama raia wa Palestina.

  • Jumanne tarehe 13 Aprili mwaka 2021

    Jumanne tarehe 13 Aprili mwaka 2021

    Apr 13, 2021 02:50

    Leo nii Jumanne tarehe 30 Shaabani 1442 Hijria sawa na Aprili 13 mwaka 2021.

  • Kansela wa Austria akososa

    Kansela wa Austria akososa "mchezo mchafu" wa EU katika ugavi wa chanjo ya corona

    Mar 31, 2021 07:11

    Kansela Sebastain Kurz wa Austria ameutuhumu Umoja wa Ulaya kuwa haugawi kwa uadilifu chanjo ya corona na kueleza kwamba nchi yake iko kwenye mazungumzo na Russia ya kununua dozi milioni moja za chanjo iliyotengenezwa na nchi hiyo ya Sputnik V.

  • Indhari kuhusu ubaguzi katika utoaji chanjo ya COVID-19 duniani

    Indhari kuhusu ubaguzi katika utoaji chanjo ya COVID-19 duniani

    Mar 16, 2021 02:37

    Ingawa kugunduliwa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona ni jambo ambalo liliibua matumaini duniani kote, lakini ugavi usio wa kiudilifu wala usawa wa chanjo hiyo ni jambo ambalo limewakasirisha wengi na hata kuibua kelele katika baadhi ya nchi za Umoja wa Ulaya. Kuhusiana na nukta hiyo Kansela Sebastian Kurz wa Austira amesema hakuna uadilifu katika usambazwaji chanjo ya COVID-19 barani Ulaya.

  • Vitisho, chuki dhidi ya Waislamu zaongezeka Austria baada ya shambulio la kigaidi

    Vitisho, chuki dhidi ya Waislamu zaongezeka Austria baada ya shambulio la kigaidi

    Nov 20, 2020 03:41

    Vitisho, hujuma na chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka kwa kiasi cha kutisha nchini Austria, kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea nchini humo mapema mwezi huu wa Novemba.

  • Kansela wa Ujerumani akwepa kulaani vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu

    Kansela wa Ujerumani akwepa kulaani vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu

    Nov 11, 2020 14:43

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amekwepa kulaani hatua na vitendo vya kuvunjia heshima thamani na matukufu ya Uislamu.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi Vienna nchini Austria

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi Vienna nchini Austria

    Nov 03, 2020 10:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Austria na kusema kuwa, kuna udharura wa kuwepo ushirikiano wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na mizizi ya ugaidi.

  • Mauaji ya watu 4 Vienna, Austria yasema wauaji ni wanachama wa kundi la Daesh

    Mauaji ya watu 4 Vienna, Austria yasema wauaji ni wanachama wa kundi la Daesh

    Nov 03, 2020 09:40

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la Vienna ametangaza mapema leo kwamba wanaume wawili na mwanamke mmoja wameuawa katika hujuma iliyotokea jioni ya jana katikati mwa mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Jumatatu tarehe 26 Oktoba 2020

    Jumatatu tarehe 26 Oktoba 2020

    Oct 26, 2020 02:37

    Leo ni Jumatatu tarehe 9 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na Oktoba 26 mwaka 2020.

  • Jumapili tarehe 20 Septemba 2020

    Jumapili tarehe 20 Septemba 2020

    Sep 20, 2020 02:38

    Leo ni Jumapili tarehe Pili Safar 1442 Hijria sawa na Septemba 20 mwaka 2020.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS