-
Jumanne tarehe 13 Aprili mwaka 2021
Apr 13, 2021 02:50Leo nii Jumanne tarehe 30 Shaabani 1442 Hijria sawa na Aprili 13 mwaka 2021.
-
Kansela wa Austria akososa "mchezo mchafu" wa EU katika ugavi wa chanjo ya corona
Mar 31, 2021 07:11Kansela Sebastain Kurz wa Austria ameutuhumu Umoja wa Ulaya kuwa haugawi kwa uadilifu chanjo ya corona na kueleza kwamba nchi yake iko kwenye mazungumzo na Russia ya kununua dozi milioni moja za chanjo iliyotengenezwa na nchi hiyo ya Sputnik V.
-
Indhari kuhusu ubaguzi katika utoaji chanjo ya COVID-19 duniani
Mar 16, 2021 02:37Ingawa kugunduliwa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona ni jambo ambalo liliibua matumaini duniani kote, lakini ugavi usio wa kiudilifu wala usawa wa chanjo hiyo ni jambo ambalo limewakasirisha wengi na hata kuibua kelele katika baadhi ya nchi za Umoja wa Ulaya. Kuhusiana na nukta hiyo Kansela Sebastian Kurz wa Austira amesema hakuna uadilifu katika usambazwaji chanjo ya COVID-19 barani Ulaya.
-
Vitisho, chuki dhidi ya Waislamu zaongezeka Austria baada ya shambulio la kigaidi
Nov 20, 2020 03:41Vitisho, hujuma na chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka kwa kiasi cha kutisha nchini Austria, kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea nchini humo mapema mwezi huu wa Novemba.
-
Kansela wa Ujerumani akwepa kulaani vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu
Nov 11, 2020 14:43Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amekwepa kulaani hatua na vitendo vya kuvunjia heshima thamani na matukufu ya Uislamu.
-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi Vienna nchini Austria
Nov 03, 2020 10:04Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Austria na kusema kuwa, kuna udharura wa kuwepo ushirikiano wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na mizizi ya ugaidi.
-
Mauaji ya watu 4 Vienna, Austria yasema wauaji ni wanachama wa kundi la Daesh
Nov 03, 2020 09:40Mkuu wa Jeshi la Polisi la Vienna ametangaza mapema leo kwamba wanaume wawili na mwanamke mmoja wameuawa katika hujuma iliyotokea jioni ya jana katikati mwa mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Jumatatu tarehe 26 Oktoba 2020
Oct 26, 2020 02:37Leo ni Jumatatu tarehe 9 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na Oktoba 26 mwaka 2020.
-
Jumapili tarehe 20 Septemba 2020
Sep 20, 2020 02:38Leo ni Jumapili tarehe Pili Safar 1442 Hijria sawa na Septemba 20 mwaka 2020.
-
Rouhani aitaka EU iishinikize Israel isitishe mashambulizi yake Syria
May 07, 2020 08:02Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili linataraji kuwa Umoja wa Ulaya utaushinikiza utawala haramu wa Israel ukomeshe mashambulizi yake dhidi ya Syria.