• Ijumaa tarehe 15 Julai 2022

    Ijumaa tarehe 15 Julai 2022

    Jul 14, 2022 22:01

    Leo ni Ijumaa tarehe 15 Mfunguo Tatu Dhulhija 1443 Hijria sawa na Julai 15 mwaka 2022

  • Jumamosi, 04 Juni, 2022

    Jumamosi, 04 Juni, 2022

    Jun 03, 2022 23:40

    Leo ni Jumamosi tarehe 4 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah mwaka 1443 Hijria, mwafaka na tarehe 4 Juni 2022 Miladia.

  • Mapinduzi ya Kiislamu; ustaarabu mpya wa Kiislamu (2)

    Mapinduzi ya Kiislamu; ustaarabu mpya wa Kiislamu (2)

    Jan 31, 2022 07:12

    Taarifa ya 'Hatua (marhala) ya Pili ya Mapinduzi' ulikuwa ujumbe mpya ulioelekezwa kwa taifa la Iran na hasa kwa tabaka la vijana wa nchi hii, ambao ndio nguzo kuu ya "hatua ya pili ya kujijenga, kuzingatia jamii na ustaarabu." Moja ya mahitaji ya ustaarabu mpya wa Kiislamu ni kuwa na uelewa wa juu zaidi na kudumisha umoja na mshikamano.

  • Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Dec 27, 2021 09:57

    Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Azma ya Iran na China ya kutekeleza Mapatano ya Miaka 25

    Azma ya Iran na China ya kutekeleza Mapatano ya Miaka 25

    Oct 17, 2021 04:37

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Watu wa China wamefanya mazungumzo ya simu na kusisitiza kuwa nchi mbili hizi zina azma ya kutekeleza 'Mapatano ya Miaka 25.'

  • Mwangwi wa chanjo ya corona ya COVIran Barekat aliyopewa Kiongozi Mkuu wa Iran

    Mwangwi wa chanjo ya corona ya COVIran Barekat aliyopewa Kiongozi Mkuu wa Iran

    Jun 26, 2021 22:10

    Chanjo ya corona aliyopewa Kiongopzi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ambayo imetengenezwa na wataalanu wa ndani ya nchi ya COVIran Barekat imezusha mwangwi mkubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

  • Siri ya kubakia hai Jamhuri ya Kiislamu katika mtazamo wa Kiongozi Muadhamuu

    Siri ya kubakia hai Jamhuri ya Kiislamu katika mtazamo wa Kiongozi Muadhamuu

    Jun 05, 2021 03:42

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa ubunifu mkubwa zaidi ya hayati Imam Ruhullah Khomeini ni Jamhuri ya Kiislamu, kwa maana ya demokrasia ya kidini ambayo imetambulika rasmi kwa anwani ya Jamhuri ya Kiislamu na kwa anwani ya mfumo wa utawala uliojengeka kwa fikra za taifa la Iran na uongozi wa Imam Khomeini.

  • Ijumaa tarehe 4 Juni 2021

    Ijumaa tarehe 4 Juni 2021

    Jun 03, 2021 22:21

    Leo ni Ijumaa tarehe 23 Mfunguo Mosi Shawwal 1442 Hijria sawa na tarehe 4 Juni mwaka 2021.

  •    Jumapili, Aprili 18, 2021

    Jumapili, Aprili 18, 2021

    Apr 18, 2021 01:42

    Leo ni Jumapili tarehe 5 Ramadhani 1442 Hijria Qamaria sawa 29 Farvardin 1400 Hijria Shamsiya ambazo ni sawa na Aprili 18 2021

  • Kiongozi Muadhamu: Sera za Iran kuhusu JCPOA ziko wazi

    Kiongozi Muadhamu: Sera za Iran kuhusu JCPOA ziko wazi

    Apr 14, 2021 12:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumza kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA na vikwazo na kusema sera za Iran ziko wazi kuhusu JCPOA na vikwazo. Ameongeza kuwa sera hizo amezibainisha wazi kwa wakuu wa nchi kupitia maandishi na katika mikutano.