Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Kutangazwa eneo lililopigwa marufuku mahali yalipo makaazi ya kiongozi wa Mashia Bahrain

    Kutangazwa eneo lililopigwa marufuku mahali yalipo makaazi ya kiongozi wa Mashia Bahrain

    Aug 05, 2017 06:51

    Katika hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa, utawala Aal Khalifa nchini Bahrain umeitangaza sehemu ya Ad-Darz, mahali yalipo makaazi ya kiongozi wa Waislamu wa Kishia Sheikh Isa Qassim kuwa ni eneo lililopigwa marufuku kuingia na kutoka.

  • Nchi nne za Kiarabu zang'ang'ania msimamo wao wa kuendeleza vikwazo dhidi ya Qatar

    Nchi nne za Kiarabu zang'ang'ania msimamo wao wa kuendeleza vikwazo dhidi ya Qatar

    Jul 31, 2017 04:27

    Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu zilizovunja uhusiano wa kidiplomasia na Qatar na kuiwekea vikwazo nchi hiyo wametoa taarifa wakitilia mkazo misimamo ya hapo kabla ya nchi hizo na kuendelezwa vikwazo dhidi ya Doha.

  • Iran: Kama si juhudi za Hizbullah, genge la Daesh lingekuwa limezitwaa nchi za Kiarabu

    Iran: Kama si juhudi za Hizbullah, genge la Daesh lingekuwa limezitwaa nchi za Kiarabu

    Jul 19, 2017 14:13

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, lau kama si msaada wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, katika kupambana na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria, basi kundi hilo lingekuwa linapeperusha bendera zake katika nchi za Kiarabu.

  • Kuendelea kushikiliwa wanaharakati wa kisiasa nchini Bahrain

    Kuendelea kushikiliwa wanaharakati wa kisiasa nchini Bahrain

    Jul 12, 2017 04:02

    Katika mwendelezo wa kuwakandamiza wapinzani nchini Bahrain, mahakama ya nchi hiyo imetoa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela dhidi ya Nabil Rajab, Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu nchini Bahrain kwa tuhuma za kueneza habari za uongo na uvumi kuhusiana na hali ya ndani ya nchi hiyo.

  • Mgomo wa kula wa wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain

    Mgomo wa kula wa wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain

    Jul 07, 2017 03:47

    Wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain wanaoshikiliwa katika jela za kutisha za al Jau na al Hawd al Jaf nchini humo wameamua kuanzisha mgomo wa kutokula chochote ikiwa ni kulalamikia dhulma wanayofanyiwa na watawala madikteta wa nchi hiyo.

  • Wasiwasi wa UN kuhusu kushtadi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wapinzani Bahrain

    Wasiwasi wa UN kuhusu kushtadi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wapinzani Bahrain

    Jul 02, 2017 04:15

    Kamati ya Kimataifa ya Umoja wa Mataifa ya Kupinga Ukandamizaji imetangaza katika ripoti yake kuwa, wapinzani nchini Bahrain wanaendelea kufanyiwa ukandamizaji mateso makubwa.

  • Wafungwa wa Bahrain katika jela ya Jaw wapaza sauti wakiomba msaada

    Wafungwa wa Bahrain katika jela ya Jaw wapaza sauti wakiomba msaada

    Jul 01, 2017 07:48

    Wafungwa waliopo katika jela ya Jaw nchini Bahrain wamewaomba raia wa nchi hiyo wawanusuru na dhulma na mateso wanaofanyiwa na watawala wa Aal Khalifa kufuatia siasa za ukandamizaji zinazotekelezwa kila uchao na utawala wa Bahrain.

  • Ukiukwaji haki za binadamu Bahrain sasa walalamikiwa Ulaya

    Ukiukwaji haki za binadamu Bahrain sasa walalamikiwa Ulaya

    Jun 16, 2017 04:22

    Kutokana na kuendelea ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa kiimla wa Aal Khalifa nchini Bahrain, Bunge la Ulaya sasa limevunja kimya chake na kulalamikia hatua hiyo.

  • Bahrain, UAE zinakiuka haki za binadamu baada ya mgogoro na Qatar

    Bahrain, UAE zinakiuka haki za binadamu baada ya mgogoro na Qatar

    Jun 15, 2017 07:52

    Umoja wa Mataifa umezitahadharisha nchi kadhaa za Ghuba ya Uajemi ambazo zinakiuka haki za binadamu kufuatia mgogoro ulioibuka na Qatar.

  • Kuendelea wasiwasi kuhusu hatima ya kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Kuendelea wasiwasi kuhusu hatima ya kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Jun 12, 2017 08:01

    Takribani wiki tatu zimepita tangu askari wa utawala wa Aal Khalifa walipovamia nyumba ya Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain na kumwekea mzingiro wa nyumbani mwanazuoni huyo. Katika hali ambayo hakuna taarifa zozote hivi sasa kuhusu hatima ya Sheikh Isa Qassim, wananchi wa Bahrain pamoja na fikra za waliowengi hasa katika Ulimwengu wa Kiislamu wanafuatilia kwa wasiwasi habari mbalimbali kuhusu hali ya mambo nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS