-
Mfalme wa Bahrain aafiki kuhukumiwa raia katika mahakama za kijeshi
Apr 03, 2017 13:57Mfalme wa Bahrain leo Jumatatu amesaini sheria ya kuifanyia marekebisho katiba ili kuzipatia mamlaka mahakama za kijeshi za nchi hiyo kusikiliza kesi za raia wa kawaida nchini humo.
-
Chama cha Sinn Féin chataka Uingereza isiiuzie Saudia silaha
Apr 02, 2017 04:20Chama cha Sinn Féin cha Ireland Kaskazini nchini Uingereza kimetoa taarifa kikitaka serikali ya nchi hiyo isitishe mara moja uuzaji silaha kwa utawala wa Saudi Arabia.
-
Kuendelea ukandamizaji wa utawala wa Aal-Khalifa mwaka 2017 huko Bahrain
Mar 30, 2017 12:25Kutolewa hukumu ya adhabu ya kifo, unyang'aji wa uraia uliofanywa na mahakama na kadhalika kupiga marufuku vikao na majlisi za maombelezo kwa ajili ya vijana wanaouawa shahidi nchini Bahrain ni ishara ya kuendelea siasa za ukandamizaji za utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya raia wa nchi hiyo mwaka huu wa 2017.
-
Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq
Mar 29, 2017 13:54Vyombo vya mahakama nchini Bahrain vimeendeleza wimbi la hukumu zake zisizo za kiadilifu dhidi ya wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa Aal-Khalifa, baada ya kutoa hukumu ya vifo na kifungo jela kwa wanaharakati kadhaa.
-
Mtoto wa miaka 10 apandishwa kizimbani nchini Bahrain kwa tuhuma za uongo
Mar 28, 2017 03:54Vyombo vya usalama nchini Bahrain, vimempandisha kizimbani mtoto mdogo wa miaka 10 katika mahakama ya kimaonyesho na kwa tuhuma za uongo.
-
Wimbi la maandamano ya wananchi latanda nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal-Khalifah
Mar 26, 2017 02:40Maeneo tofauti ya Bahrain yamekumbwa na wimbi la maandamano makubwa ya wananchi wanaopinga hukumu za adhabu ya kifo zilizotolewa na mahakama za kimaonyesho za nchi hiyo na kadhalika kutangaza uungaji mkono wao kwa Mustafa Hamdan, kijana aliyeuawa shahidi na askari wa utawala wa Aal-Khalifah.
-
Kuzidi kukandamizwa Wabahrain chini ya kivuli cha uungaji mkono wa Magharibi kwa utawala wa Aal Khalifa
Mar 23, 2017 04:22Ripoti kutoka Bahrain zinaeleza kuwa utawala wa Aal Khalifa umeshadidisha sera zake za ukandamizaji dhidi ya raia huku vikosi vya utawala huo vikiendeleza sera hizo kwa kuzidisha vitendo vya ukatili dhidi ya raia hao.
-
Amnesty yaitaka US ikome kuziuzia silaha Saudia na Bahrain
Mar 16, 2017 14:35Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Marekani iache kuziuzia silaha serikali za Saudi Arabia na Bahrain kutokana na nchi hizo kutumia silaha hizo kuvunja haki za raia.
-
UN yakosolewa kunyamazia kimya jinai za utawala wa Bahrain
Mar 16, 2017 07:20Umoja wa Mataifa umekosolewa vikali kwa kunyamazia kimya jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wananchi wa Bahrain.
-
Harakati ya Al Wifaq Bahrain: Kesi ya Sheikh Issa Qassim ni ya kimadhehebu
Mar 16, 2017 04:02Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya Bahrain amesema kuwa, kesi iliyofunguliwa na utawala wa kifalme wa Aal Khalifa dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Kishia wa nchi hiyo ni sawa na kupandishwa kizimbani madhehebu nzima ya Kishia yenye watu wengi zaidi nchini humo.