-
Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa nchini Bahrain
Dec 02, 2016 12:09Utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain, kwa wiki ya 25 mfululizo, umewazuia Waislamu kusali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq AS magharibi mwa mji mkuu Manama.
-
Wananchi wa Bahrain waandamana kulalamikia ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa
Nov 25, 2016 11:46Maelfu ya wananchi wa Bahrain wameandamana leo wakilalamikia ukandamizaji dhidi ya raia unaofanywa na utawala wa Aal khalifa.
-
Kuendelea ukandamizaji dhidi ya wapinzani nchini Bahrain na wasiwasi wa kimataifa
Nov 24, 2016 11:55Ripoti mbalimbali kutoka nchini Bahrain zinaonyesha kuwa, utawala wa kifalme wa nchi hiyo umeendelea kutumia mbinu na miamala yake ya kipolisi dhidi ya wanaharakti wa kisiasa huku ukiendelea kuwatia mbaroni na kuwahukumu vifungo vya muda mrefu jela wapinzani hao kwa kuwabambikiza tuhuma mbalimbali.
-
Wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa Bahrain waivunjia heshima Qur'ani Tukufu
Nov 18, 2016 10:53Wanajeshi wa utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain, wamekivunjia heshima Kitabu cha Mwenyezi Mungu, kwa kukichanachana.
-
Kutolewa hukumu za vifungo vya jumla ya miaka 241 jela kwa wananchi wa Bahrain
Nov 16, 2016 09:10Utawala wa Bahrain katika kipindi cha wiki moja tu umewahukumu raia 18 wa nchi hiyo vifungo vya jumla ya miaka 241 jela.
-
Wabahrain waandamana kutaka kuachiwa huru mwanaharakati
Nov 15, 2016 04:24Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kushinikiza kuachiwa huru mwanaharakati mashuhuri ambaye alikamatwa na vyombo vya usalama vya Aal-Khalifa mwezi uliopita.
-
Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq
Oct 21, 2016 10:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasi wasi wake mkubwa baada ya vikosi vya utawala wa Bahrain kuvamia ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq na kusema hatua kama hizo dhidi ya wapinzani ni kosa la kistraitjia.
-
Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina
Oct 20, 2016 10:30Chama cha Kiislamu cha al-Wefaq cha Bahrain kimesema hakuna nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo na kusisitiza kuwa wananchi wa Bahrain wataendelea kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Polisi ya Bahrain yatumia mabomu ya kutoa machozi dhidi ya maandamano ya amani
Oct 14, 2016 03:59Polisi ya utawala wa kidikteta nchini Bahrain imetumia mabomu ya kutoa machozi kuzuia maandamano ya amani.
-
Bahrain yawahujumu Mashia wanaoomboleza
Oct 08, 2016 10:44Kwa mara nyingine tena vyombo vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia wanaojumuika katika sehemu mbali mbali kwa ajili ya marasimu ya Ashura.