Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa Bahrain waivunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa Bahrain waivunjia heshima Qur'ani Tukufu

    Nov 18, 2016 14:23

    Wanajeshi wa utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain, wamekivunjia heshima Kitabu cha Mwenyezi Mungu, kwa kukichanachana.

  • Kutolewa hukumu za vifungo vya jumla ya miaka 241 jela kwa wananchi wa Bahrain

    Kutolewa hukumu za vifungo vya jumla ya miaka 241 jela kwa wananchi wa Bahrain

    Nov 16, 2016 12:40

    Utawala wa Bahrain katika kipindi cha wiki moja tu umewahukumu raia 18 wa nchi hiyo vifungo vya jumla ya miaka 241 jela.

  • Wabahrain waandamana kutaka kuachiwa huru mwanaharakati

    Wabahrain waandamana kutaka kuachiwa huru mwanaharakati

    Nov 15, 2016 07:54

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kushinikiza kuachiwa huru mwanaharakati mashuhuri ambaye alikamatwa na vyombo vya usalama vya Aal-Khalifa mwezi uliopita.

  • Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Oct 21, 2016 13:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasi wasi wake mkubwa baada ya vikosi vya utawala wa Bahrain kuvamia ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq na kusema hatua kama hizo dhidi ya wapinzani ni kosa la kistraitjia.

  • Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Oct 20, 2016 14:00

    Chama cha Kiislamu cha al-Wefaq cha Bahrain kimesema hakuna nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo na kusisitiza kuwa wananchi wa Bahrain wataendelea kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Polisi ya Bahrain yatumia mabomu ya kutoa machozi dhidi ya maandamano ya amani

    Polisi ya Bahrain yatumia mabomu ya kutoa machozi dhidi ya maandamano ya amani

    Oct 14, 2016 07:29

    Polisi ya utawala wa kidikteta nchini Bahrain imetumia mabomu ya kutoa machozi kuzuia maandamano ya amani.

  • Bahrain yawahujumu Mashia wanaoomboleza

    Bahrain yawahujumu Mashia wanaoomboleza

    Oct 08, 2016 14:14

    Kwa mara nyingine tena vyombo vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia wanaojumuika katika sehemu mbali mbali kwa ajili ya marasimu ya Ashura.

  • Kushtadi chuki na ghadhabu za wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Kushtadi chuki na ghadhabu za wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Oct 08, 2016 12:36

    Duru za habari nchini Bahrain zimeripoti kuwa mahakama moja ya utawala wa kifalme wa Aal Khalifa imetoa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela kwa maulamaa wawili wa nchi hiyo, Sheikh Fadhil Az-Zaky na Sheikh Muhammad Jawad.

  • Kushadidi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain katika mwezi wa Muharram

    Kushadidi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain katika mwezi wa Muharram

    Oct 05, 2016 02:45

    Sambamba na kuwadia Mfunguo Nne Muharram, habari kutoka Bahrain zinasema kuwa, utawala wa Aal Khalifa umezidisha vitendo vya ukandamizaji dhidi ya raia na kuwabana katika shughuli zao kidini, hatua ambazo ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.

  • Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Oct 04, 2016 07:59

    Wanazuoni wakuu wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na watawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehenu ya Shia hususan wakati huu wanapofanya marasimu mbali mbali ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS