Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Kushtadi chuki na ghadhabu za wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Kushtadi chuki na ghadhabu za wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Oct 08, 2016 09:06

    Duru za habari nchini Bahrain zimeripoti kuwa mahakama moja ya utawala wa kifalme wa Aal Khalifa imetoa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela kwa maulamaa wawili wa nchi hiyo, Sheikh Fadhil Az-Zaky na Sheikh Muhammad Jawad.

  • Kushadidi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain katika mwezi wa Muharram

    Kushadidi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain katika mwezi wa Muharram

    Oct 04, 2016 23:15

    Sambamba na kuwadia Mfunguo Nne Muharram, habari kutoka Bahrain zinasema kuwa, utawala wa Aal Khalifa umezidisha vitendo vya ukandamizaji dhidi ya raia na kuwabana katika shughuli zao kidini, hatua ambazo ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.

  • Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Oct 04, 2016 04:29

    Wanazuoni wakuu wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na watawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehenu ya Shia hususan wakati huu wanapofanya marasimu mbali mbali ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.

  • Utawala wa Bahrain waendeleza ukandamizaji dhidi ya raia

    Utawala wa Bahrain waendeleza ukandamizaji dhidi ya raia

    Sep 30, 2016 09:34

    Utawala wa kifalme wa Bahrain umeendelea na hatua zake za ukandamizaji dhidi ya raia wa nchi hiyo licha ya kuweko malalamiko na ukosoaji wa kimataifa dhidi ya hatua hizo ambazo zinakiuka uhuru wa raia.

  • Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Sep 30, 2016 04:03

    Uingereza imetuhumiwa kuwa inahusika na utesaji wa wapinzani unaotekelezwa na utawala wa kiimla nchini Bahrain.

  • Maulamaa wa Bahrain watoa taarifa ya kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Maulamaa wa Bahrain watoa taarifa ya kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Sep 26, 2016 10:47

    Maulamaa wa Bahrain leo wametoa taarifa yao katika siku ya kumi ya kukusanyika raia wa nchi hiyo mbele ya nyumba ya mwanazuoni huyo wa ngazi ya juu wa nchi hiyo.

  • Ban Ki-moon: Serikali ya Bahrain iboreshe hali ya mambo nchini humo

    Ban Ki-moon: Serikali ya Bahrain iboreshe hali ya mambo nchini humo

    Sep 26, 2016 04:19

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bahrain iboreshe suala la haki za binaadamu nchini humo.

  • Askari wa Bahrain washambulia wafuasi wa Sheikh Qassim

    Askari wa Bahrain washambulia wafuasi wa Sheikh Qassim

    Sep 25, 2016 04:53

    Wanajeshi wa utawala wa kifalme Bahrain wametumia gesi ya kutoa machaozi kuwatawanya wafuasi wa Sheikh Issa Qassim waliokuwa wakiandamana wakitaka arejeshewe uraia wake.

  • Amnesty yailaani Bahrain kwa kuidhinisha marufuku ya al-Wefaq

    Amnesty yailaani Bahrain kwa kuidhinisha marufuku ya al-Wefaq

    Sep 23, 2016 10:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani vikali hatua ya mahakama ya Bahrain kudhinisha marufuku ya chama kikuu cha upinzani nchini humo, al-Wefaq.

  • Kesi ya Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa Bahrain yaakhirishwa

    Kesi ya Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa Bahrain yaakhirishwa

    Sep 22, 2016 00:47

    Mahakama ya Bahrain imeakhirisha kesi inayomkabili Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS