-
Utawala wa Bahrain waendeleza ukandamizaji dhidi ya raia
Sep 30, 2016 13:04Utawala wa kifalme wa Bahrain umeendelea na hatua zake za ukandamizaji dhidi ya raia wa nchi hiyo licha ya kuweko malalamiko na ukosoaji wa kimataifa dhidi ya hatua hizo ambazo zinakiuka uhuru wa raia.
-
Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain
Sep 30, 2016 07:33Uingereza imetuhumiwa kuwa inahusika na utesaji wa wapinzani unaotekelezwa na utawala wa kiimla nchini Bahrain.
-
Maulamaa wa Bahrain watoa taarifa ya kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim
Sep 26, 2016 14:17Maulamaa wa Bahrain leo wametoa taarifa yao katika siku ya kumi ya kukusanyika raia wa nchi hiyo mbele ya nyumba ya mwanazuoni huyo wa ngazi ya juu wa nchi hiyo.
-
Ban Ki-moon: Serikali ya Bahrain iboreshe hali ya mambo nchini humo
Sep 26, 2016 07:49Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bahrain iboreshe suala la haki za binaadamu nchini humo.
-
Askari wa Bahrain washambulia wafuasi wa Sheikh Qassim
Sep 25, 2016 08:23Wanajeshi wa utawala wa kifalme Bahrain wametumia gesi ya kutoa machaozi kuwatawanya wafuasi wa Sheikh Issa Qassim waliokuwa wakiandamana wakitaka arejeshewe uraia wake.
-
Amnesty yailaani Bahrain kwa kuidhinisha marufuku ya al-Wefaq
Sep 23, 2016 14:06Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani vikali hatua ya mahakama ya Bahrain kudhinisha marufuku ya chama kikuu cha upinzani nchini humo, al-Wefaq.
-
Kesi ya Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa Bahrain yaakhirishwa
Sep 22, 2016 04:17Mahakama ya Bahrain imeakhirisha kesi inayomkabili Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa nchi hiyo.
-
Bahrain; uwanja wa malalamiko na upinzani dhidi ya utawala wa Aal Khalifa
Sep 12, 2016 15:38Katika siku za karibuni, maeneo mbalimbali ya Bahrain yamekuwa uwanja wa maandamano na mikusanyiko ya wananchi ya kupinga utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa na waungaji mkonio wake wakuu, yaani utawala wa Aal Saud.
-
Utiwaji mbaroni wa kidhalimu waongezeka Bahrain
Sep 12, 2016 02:30Kituo cha Haki za Binadamu cha nchini Bahrain kimebainisha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka utiwaji mbaroni raia kidhulma nchini humo.
-
Mamilioni waandamana Iran kulaani jinai za Aal Saud na Aal Khalifa
Sep 10, 2016 03:25Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameandamana kote nchini kulaani jinai za tawala za kikoo za Aal Saud huko Saudi Arabia na Aal Khalifa huko Bahrain kwa jinai zao dhidi ya watu wa eneo.