Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Ripoti ya kushtua kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Bahrain

    Ripoti ya kushtua kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Bahrain

    Apr 04, 2016 02:45

    Taasisi moja isiyo ya kiserikali inayotetea haki za binadamu nchini Bahrain imetoa ripoti ya kushtusha kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini humo katika mwaka uliopita.

  • Mahakama za utawala wa Aal Khalifa zaendelea kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya Wananchi wa Bahrain

    Mahakama za utawala wa Aal Khalifa zaendelea kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya Wananchi wa Bahrain

    Mar 29, 2016 23:40

    Mahakama moja nchini Bahrain imetoa hukumu ya kidhalimu ya vifungo jela kwa raia kumi wa nchi hiyo kwa madai ya kuwashambulia askari polisi katika maandamano yaliyofanyika katika kijiji kimoja ambacho wakaazi wake ni Waislamu wa Kishia.

  • Wabahrain watano wavuliwa uraia na kuhukumiwa kifungo jela

    Wabahrain watano wavuliwa uraia na kuhukumiwa kifungo jela

    Mar 25, 2016 21:12

    Mahakama moja nchini Bahrain imewahukumu vifungo vya miaka mitano hadi 15 jela wapinzani wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa.

  • Wahajiri wa Kiarabu waandamana kupinga jinai za Saudia

    Wahajiri wa Kiarabu waandamana kupinga jinai za Saudia

    Mar 22, 2016 23:14

    Wahajiri Waarabu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wakipinga jinai na uhalifu unaoendelea kufanywa na serikali ya Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Mashariki ya Kati.

  • Bahrain inazidi kuwakandamiza wapinzani

    Bahrain inazidi kuwakandamiza wapinzani

    Mar 13, 2016 03:50

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu Bahrain limeutuhumu utawala wa kifalme nchini humo kuwa umezidisha ukandamizaji na utesaji wapinzani wa kisiasa.

  • Watetezi: Bahrain inakiuka haki ya faragha na uhuru wa kujieleza

    Watetezi: Bahrain inakiuka haki ya faragha na uhuru wa kujieleza

    Mar 11, 2016 04:50

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Bahrain limeelezea wasiwasi kuhusu hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kuendelea kukandamiza haki ya faragha na uhuru wa kujieleza wa wananchi wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Aal Khalifa wafanya njama za kueneza chuki dhidi ya Mashia Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa wafanya njama za kueneza chuki dhidi ya Mashia Bahrain

    Mar 07, 2016 23:42

    Mkuu wa masuala ya uhuru wa kidini katika shirika la kutetea haki za binadamu la Bahrain ametangaza kuwa kuwatuhumu Waislamu wa Kishia wa nchi hiyo kwa uhaini kunakofanywa na vyombo vya habari vyenye mfungamano na utawala wa Aal Khalifa sasa limekuwa ni jambo la kawaida.

  • Umoja wa Mataifa waukosoa utawala wa Aal Khalifa kwa kubadili muundo wa jamii ya Bahrain

    Umoja wa Mataifa waukosoa utawala wa Aal Khalifa kwa kubadili muundo wa jamii ya Bahrain

    Mar 04, 2016 11:05

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa viongozi wa utawala wa Bahrain wamekusudia kubadili muundo wa kijamii wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Aal Khalifa washindwa kuzuia kusaliwa Sala ya Ijumaa Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa washindwa kuzuia kusaliwa Sala ya Ijumaa Bahrain

    Feb 26, 2016 23:29

    Hatua za askari polisi wa utawala wa Aal Khalifa za kutaka kuwazuia wananchi wa Bahrain wasishiriki kwenye Sala ya Ijumaa zimegonga mwamba.

  • Hali mbaya ya wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain

    Hali mbaya ya wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain

    Feb 26, 2016 12:50

    Matukio yanayojiri nchini Bahrain yanaonyesha kuwa utawala wa Aal Khalifa unazidisha hatua za ukandamizaji dhidi ya wananchi kiasi kwamba kuwatia nguvuni na kuwafungulia kesi wanaharakati wa kisiasa kunazidi kuchukua sura pana zaidi inayozidi kutia wasiwasi siku baada ya siku.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS