Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • EU: Idadi ya watoto mayatima wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh ni 40,000

    EU: Idadi ya watoto mayatima wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh ni 40,000

    Nov 02, 2017 07:31

    Kamishna Mkuu wa Misaada ya Kibinadamu na Kudhibiti Majanga wa Umoja wa Ulaya amesema zaidi ya watoto elfu 40 ni miongoni mwa malaki ya wakimbizi wa jamii ya Rohingya waliokimilia nchini Bangladesh kutokana na mauaji na ukandamizaji unaofanywa dhidi yao na serikali ya Myanmar.

  • Bangladesh kufunga uzazi wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Myanmar

    Bangladesh kufunga uzazi wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Myanmar

    Oct 28, 2017 15:37

    Maafisa wa afya nchini Bangladesh wamesema wameanzisha mpango maalumu wa kupunguza idadi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya ambao wamekimbia mauaji ya kimbari huko Myanmar na kujazana katika kambi za wakimbizi nchini Bangladesh.

  • Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu

    Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu

    Oct 16, 2017 08:14

    Idara ya Huduma za Kijamii nchini Bangladesh imesema watoto karibu 14 elfu wa Rohingya wamekuwa mayatima baada ya kupoteza wazazi wao katika mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii hiyo nchini Myanmar.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh

    UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh

    Oct 08, 2017 08:07

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kutoandaliwa kambi kwa ajili ya kuwahifadhi wakimbizi Waislamu wa Rohingya wapatao laki nane huko Bangladesh ni jambo hatari sana.

  • Kuanza mazungumzo baina ya Bangladesh na Myanmar kuhusu kurejea wakimbizi Warohingya

    Kuanza mazungumzo baina ya Bangladesh na Myanmar kuhusu kurejea wakimbizi Warohingya

    Oct 04, 2017 02:20

    Waziri Mkuu wa Bangladesh ametoa habari ya kuanza mazungumzo kati ya nchi yake na serikali ya Myanmar kwa ajili ya kuwarejesha makwao kwa akali wakimbizi nusu milioni ambao ni Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbilia katika nchi hiyo jirani.

  • Ombi la Bangladesh kwa UN kuhusu Waislamu wa Rohingya

    Ombi la Bangladesh kwa UN kuhusu Waislamu wa Rohingya

    Sep 23, 2017 06:18

    Serikali ya Bangladesh imeutaka Umoja wa Mataifa kutenga eneo maalumu litakalokuwa chini ya umoja huo kwa ajili ya kuwadhaminia usalama Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaouliwa kikatili na mabudha wa Myanmar.

  • HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu

    HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu

    Sep 18, 2017 13:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Bangladesh: Kuanzishwe eneo salama jimbo la Rakhine ili kuwanusuru Waislamu wa Rohingya

    Bangladesh: Kuanzishwe eneo salama jimbo la Rakhine ili kuwanusuru Waislamu wa Rohingya

    Sep 10, 2017 02:33

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bangladesh ametaka kuanzishwa eneo salama katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar kwa ajili ya kuzuia hujuma dhidi ya wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya nchini humo.

  • Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka

    Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka

    Sep 06, 2017 07:57

    Inaarifiwa kuwa serikali ya Myanmar inatega mabomu ya ardhini katika mpaka wa nchi hiyo na Bangladesh ili kuwazuia Waislamu wa kabila la Rohingya kuondoka nchini humo.

  • Idadi ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbilia Bangladesh inazidi kuongezeka

    Idadi ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbilia Bangladesh inazidi kuongezeka

    Sep 05, 2017 02:36

    Kufuatia kuendelea operesheni za jeshi la serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine, idadi kubwa ya Waislamu wa eneo hilo wameendelea kukimbia ili kuokoa maisha yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS