-
EU: Idadi ya watoto mayatima wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh ni 40,000
Nov 02, 2017 07:31Kamishna Mkuu wa Misaada ya Kibinadamu na Kudhibiti Majanga wa Umoja wa Ulaya amesema zaidi ya watoto elfu 40 ni miongoni mwa malaki ya wakimbizi wa jamii ya Rohingya waliokimilia nchini Bangladesh kutokana na mauaji na ukandamizaji unaofanywa dhidi yao na serikali ya Myanmar.
-
Bangladesh kufunga uzazi wakimbizi Waislamu Warohingya kutoka Myanmar
Oct 28, 2017 15:37Maafisa wa afya nchini Bangladesh wamesema wameanzisha mpango maalumu wa kupunguza idadi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya ambao wamekimbia mauaji ya kimbari huko Myanmar na kujazana katika kambi za wakimbizi nchini Bangladesh.
-
Mauaji ya Waislamu wa Rohingya Myanmar yamewafanya mayatima, watoto 14 elfu
Oct 16, 2017 08:14Idara ya Huduma za Kijamii nchini Bangladesh imesema watoto karibu 14 elfu wa Rohingya wamekuwa mayatima baada ya kupoteza wazazi wao katika mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii hiyo nchini Myanmar.
-
UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh
Oct 08, 2017 08:07Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kutoandaliwa kambi kwa ajili ya kuwahifadhi wakimbizi Waislamu wa Rohingya wapatao laki nane huko Bangladesh ni jambo hatari sana.
-
Kuanza mazungumzo baina ya Bangladesh na Myanmar kuhusu kurejea wakimbizi Warohingya
Oct 04, 2017 02:20Waziri Mkuu wa Bangladesh ametoa habari ya kuanza mazungumzo kati ya nchi yake na serikali ya Myanmar kwa ajili ya kuwarejesha makwao kwa akali wakimbizi nusu milioni ambao ni Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbilia katika nchi hiyo jirani.
-
Ombi la Bangladesh kwa UN kuhusu Waislamu wa Rohingya
Sep 23, 2017 06:18Serikali ya Bangladesh imeutaka Umoja wa Mataifa kutenga eneo maalumu litakalokuwa chini ya umoja huo kwa ajili ya kuwadhaminia usalama Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaouliwa kikatili na mabudha wa Myanmar.
-
HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu
Sep 18, 2017 13:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Bangladesh: Kuanzishwe eneo salama jimbo la Rakhine ili kuwanusuru Waislamu wa Rohingya
Sep 10, 2017 02:33Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bangladesh ametaka kuanzishwa eneo salama katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar kwa ajili ya kuzuia hujuma dhidi ya wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya nchini humo.
-
Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka
Sep 06, 2017 07:57Inaarifiwa kuwa serikali ya Myanmar inatega mabomu ya ardhini katika mpaka wa nchi hiyo na Bangladesh ili kuwazuia Waislamu wa kabila la Rohingya kuondoka nchini humo.
-
Idadi ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbilia Bangladesh inazidi kuongezeka
Sep 05, 2017 02:36Kufuatia kuendelea operesheni za jeshi la serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine, idadi kubwa ya Waislamu wa eneo hilo wameendelea kukimbia ili kuokoa maisha yao.