Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Kiongozi wa Boko Haram aibuka, adai wamehusika katika mashambulizi

    Kiongozi wa Boko Haram aibuka, adai wamehusika katika mashambulizi

    Jan 02, 2018 15:00

    Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, Abubakar Shekau ametoa kanda mpya ya video na kudai kuwa kundi hilo ndilo lililohusika na wimbi la mashambulizi ya bomu katika sherehe za kufunga mwaka, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Boko Haram yaua watu watatu nchini Cameroon

    Boko Haram yaua watu watatu nchini Cameroon

    Dec 24, 2017 15:40

    Duru za kieneo zimetangaza kuwa watu wasiopungua watatu wameuawa katika shambulio la kigaidi la kundi la wakufurishaji la Boko Haram, kaskazini mwa Cameroon.

  • Jeshi la Nigeria laua wanamgambo 20 wa kundi la kigaidi la Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laua wanamgambo 20 wa kundi la kigaidi la Boko Haram

    Dec 20, 2017 16:19

    Jeshi la Nigeria limetangaza leo kuwa limewaua wanamgambo 20 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni linazoendelea kufanya ili kutokomeza mabaki ya magaidi hao.

  • Vita dhidi ya Boko Haram vyazidi kuungwa mkono nchni Nigeria

    Vita dhidi ya Boko Haram vyazidi kuungwa mkono nchni Nigeria

    Dec 15, 2017 04:15

    Wakuu wa mikoa tofauti ya Nigeria jana walikubaliana na mpango wa kutenga kitita cha dola bilioni moja kwa ajili ya kuisaidia Serikali Kuu kupambana na genge la kigaidi la Boko Haram.

  • Watu watano wauawa na wanamgambo wa Boko Haram Nigeria

    Watu watano wauawa na wanamgambo wa Boko Haram Nigeria

    Dec 14, 2017 07:42

    Watu wasiopungua watano wameuawa katika shambulio la hivi kkaribuni kabisa la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Boko Haram waua watu wasiopungua 13 katika jimbo la Borno nchini Nigeria

    Boko Haram waua watu wasiopungua 13 katika jimbo la Borno nchini Nigeria

    Dec 02, 2017 15:05

    Washambuliaji wa kujitoa mhanga wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wamewaua watu wasiopungua 13 katika shambulio walilofanya leo kwenye soko moja katika mji wa Biu ulioko katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Kamanda wa Boko Haram atiwa mbaroni, wenzake 4 wauawa, mateka 212 wakombolewa

    Kamanda wa Boko Haram atiwa mbaroni, wenzake 4 wauawa, mateka 212 wakombolewa

    Nov 30, 2017 03:25

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limewakomboa raia wengine 212 waliokuwa wakishikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa.

  • Boko Haram waua wanajeshi watatu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram waua wanajeshi watatu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Nov 27, 2017 15:03

    Duru za usalama za Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi watatu katika shambulizi la kigaidi lililofanywa na kundi la Boko Haram katika mji wa Magumeri, wa jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Boko Haram yatwaa mji katika jimbo la Borno

    Boko Haram yatwaa mji katika jimbo la Borno

    Nov 26, 2017 07:53

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeutwaa mji mmoja katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria. Wakazi wa mji wa Magumeri wamesema kuwa magaidi wa kitakfiri jana waliingia katika mji huo yapata umbali wa kilomita 50 kutoka makao makuu ya Maiduguri.

  • Kuuliwa Waislamu msikitini katika shambulio la bomu la kujitoa mhanga nchini Nigeria

    Kuuliwa Waislamu msikitini katika shambulio la bomu la kujitoa mhanga nchini Nigeria

    Nov 22, 2017 07:53

    Watu wasiopungua 50 wameaga dunia katika mlipuko wa bomu uliotokea msikitini kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS