Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Brazil

  • Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Nov 02, 2018 04:34

    Rais mteule wa Brazil amekosolewa vikali ndani na nje ya nchi kwa kusema kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

  • Ulimwengu wa Spoti, Okt 22

    Ulimwengu wa Spoti, Okt 22

    Oct 22, 2018 03:38

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuangazie baadhi ya matukio ya michezo yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa……

  • Ijumaa tarehe 7 Septemba 2018

    Ijumaa tarehe 7 Septemba 2018

    Sep 06, 2018 21:50

    Leo ni Ijumaa tarehe 26 Dhulhija 1439 Hijria sawa na tarehe 7 Septemba 2018.

  • Watu elfu tatu watiwa mbaroni katika operesheni kubwa ya msako wa wahalifu nchini Brazil

    Watu elfu tatu watiwa mbaroni katika operesheni kubwa ya msako wa wahalifu nchini Brazil

    Aug 26, 2018 22:48

    Polisi ya Brazil imewatia mbaroni watu elfu tatu katika operesheni kubwa ya msako wa watu wanaohusishwa na vitendo mbalimbali vya uhalifu.

  • Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Apr 10, 2018 03:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Brazil mapema leo Jumanne katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi kadha za Afrika na Amerika ya Latini.

  • Ulimwengu wa Spoti, Jan 8

    Ulimwengu wa Spoti, Jan 8

    Jan 08, 2018 03:04

    Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu tuangazie matukio mawili matatu ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa. Tuandamane sote hadi tamati ya kipindi……Karibu…….

  • Watu tisa wauawa katika ghasia ndani ya gereza Brazil

    Watu tisa wauawa katika ghasia ndani ya gereza Brazil

    Jan 02, 2018 11:40

    Watu wasiopungua tisa wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa katika ghasia zilizotokea jana Jumatatu ndani ya gereza nchini Brazil huku wafungwa zaidi ya 100 wakitoroka.

  • Alkhamisi tarehe 7 Septemba, 2017

    Alkhamisi tarehe 7 Septemba, 2017

    Sep 06, 2017 23:49

    Leo ni Alkhamisi tarehe 16 Dhulhija 1438 Hijria sawa na 7 Septemba, 2017

  • Kikao cha kushukuru mchango wa Waislamu chafanyika nchini Brazil

    Kikao cha kushukuru mchango wa Waislamu chafanyika nchini Brazil

    Jul 07, 2017 03:20

    Kikao cha kuheshimu na kutambua mchango wa jamii ya Waislamu wa Brazil kilifanyika jana katika bunge la nchi hiyo.

  • Brazil yalaani ujenzi mpya wa nyumba za Mayahudi Ukingo wa Magharibi

    Brazil yalaani ujenzi mpya wa nyumba za Mayahudi Ukingo wa Magharibi

    Apr 05, 2017 03:17

    Brazil imelaani uamuzi uliopasishwa hivi karibuni na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS