-
Visa vya utesaji watu Burundi vyaitia hofu UN, yataka hatua zichukuliwe
Nov 25, 2023 22:54Kamati ya Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu dhidi ya Utesaji, CAT imetamatisha kikao chake cha 78 mjini Geneva, Uswisi kwa kutoa mahitimisho ya ripoti za mataifa sita ikiwemo Burundi ambayo inaonesha wasiwasi juu ya utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa dhidi ya Mateso na adhabu za kikatili zisizoheshimu utu.
-
Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti
Mar 04, 2023 00:24Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati. Yameandaliwa na mwandishi wetu Harith Subeit. Ingia kwenye Sauti kusikiliza ripoti hiyo iliyo na matukio tofauti ya Kiislamu wiki hii.
-
Waasi 40 wa Burundi wauawa mashariki mwa Kongo DR
Nov 28, 2022 03:46Makumi ya waasi raia wa Burundi wameuawa katika operesheni ya pamoja ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi mashariki mwa DRC.
-
Burundi yafungua mipaka yake na Rwanda baada ya miaka 5
Oct 24, 2022 00:32Serikali ya Burundi imetangaza kufungua mipaka ya ardhini ya nchi hiyo na jirani yake Rwanda, baada ya kufungwa kwa kipindi cha miaka mitano.
-
Rais wa Burundi amtimua Waziri Mkuu kufuatia tetesi za mpango wa mapinduzi
Sep 07, 2022 08:09Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amemfuta kazi waziri mkuu wake, Alain Guillaume Bunyoni baada ya kuonya kuhusu njama ya "mapinduzi" dhidi yake.
-
Burundi yatuma wanajeshi DRC kufuatia uamuzi wa EAC
Aug 17, 2022 07:43Burundi imekuwa nchi ya kwanza kutuma wanajeshi wake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia uamuzi wa karibuni hivi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wa kutuma kikosi cha pamoja cha kieneo katika nchi hiyo ili kwenda kupambana na magenge ya waasi na wanamgambo.
-
HRW yavituhumu vyombo vya dola Burundi kwa ukiukaji wa haki za binadamu
May 19, 2022 08:10Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch, limesema maafisa wa usalama nchini Burundi wamehusika na dhulma dhidi ya raia wanaoshukiwa kuegemea upande wa upinzani, au kushirikiana na makundi ya watu wenye silaha.
-
Burundi: Uhusiano na Rwanda utaimarika zaidi ikitukabidhi wahusika wa jaribio la mapinduzi
May 15, 2022 03:36Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, amesema uhusiano wa nchi yake na Rwanda utakuwa mzuri zaidi iwapo watu waliopanga na kufadhili jaribio la mapinduzi ya kijeshi ya 2015 wanaodhaniwa kuwa wako mafichoni jijini Kigali watarejeshwa mjini Gitega kufunguliwa mashtaka.
-
Wanajeshi wa Burundi 'waonekana' mashariki mwa Kongo DR
Jan 05, 2022 23:20Wanajeshi wa Burundi wameripotiwa kuingia katika ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Rais wa Tanzania: Tutaendelea Kushirikiana na Burundi
Oct 22, 2021 11:13Tanzania imesema itaendelea kushirikiana na Burundi katika kuimarisha ulinzi katika mipaka ya nchi hizo mbili. Hayo yamesemwa na Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mazungumzo yake huko Chamwino Dodoma na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye ambaye yupo nchini humo kwa ziara ya siku tatu.