Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • UN: Ukiukaji wa haki za binadamu unaendelea kufanyika nchini Burundi

    UN: Ukiukaji wa haki za binadamu unaendelea kufanyika nchini Burundi

    Sep 17, 2021 22:01

    Kamisheni ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Burundi bado ni ya maafa na mbaya sana licha ya Rais wa nchi hiyo kuahidi kuwa ataboresha hali hiyo.

  • EU kuiondolea Burundi vikwazo, mchakato umeanza

    EU kuiondolea Burundi vikwazo, mchakato umeanza

    Jun 22, 2021 21:56

    Umoja wa Ulaya umeanzisha mchakato wa kuiondolea Burundi vikwazo ambavyo vilifunga kabisa mlango wa kupewa misaada serikali ya Bujumbura.

  • Waislamu Burundi wamjia juu waziri aliyeivunjiwa heshima adhana

    Waislamu Burundi wamjia juu waziri aliyeivunjiwa heshima adhana

    Jun 10, 2021 08:47

    Waislamu Nchini Burundi wamemkosoa vikali waziri mmoja nchini humo kwa kuivunjia heshima Adhana, ambao ni mwito kwa Waislamu kwenda kutekeleza ibada ya Swala, moja ya nguzo muhimu za dini hiyo tukufu.

  • Kenya na Burundi zakubaliana kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Kenya na Burundi zakubaliana kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Jun 01, 2021 03:48

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na mwenzake wa Burundi, Evariste Ndayishimiye wamesaini mapatano ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa Nairobi na Bujumbura katika nyuga mbalimbali.

  • Tanzania kuisaidia Burundi kujiunga na jumuiya ya SADC

    Tanzania kuisaidia Burundi kujiunga na jumuiya ya SADC

    Mar 06, 2021 04:46

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi ameiahidi nchi ya Burundi kuwa Tanzania itashirikiana nayo katika harakati zake za kuomba kujiunga na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

  • Hatimaye Jumuiya ya Waislamu Burundi yapata kiongozi mpya + SAUTI

    Hatimaye Jumuiya ya Waislamu Burundi yapata kiongozi mpya + SAUTI

    Feb 08, 2021 12:30

    Jumuia ya Waislamu nchini Burundi (COMIBU) hatimaye imepata kiongozi mpya baada ya kubakia wazi kwa muda wa miezi 5. Kiongozi huyo mpya Sheikh Hassan Nyamweru aliyeshinda uchaguzi kwa asilimia 84 ya kura dhidi ya mpinzani wake Sheikh Salum Nayabagabo aliyepata kura 32. Amida ISSA na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • Askari mwingine wa UN raia wa Burundi auawa CAR, wawili wajeruhiwa

    Askari mwingine wa UN raia wa Burundi auawa CAR, wawili wajeruhiwa

    Jan 16, 2021 09:50

    Askari mwingine wa Umoja wa Mataifa kutoka Burundi ameuawa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR na wengine wawili wamejeruhiwa, kitendo ambacho kimelaaniwa vikali na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres.

  • Burundi yataka kufungwa ofisi ya mjumbe maalumu wa UN nchini humo

    Burundi yataka kufungwa ofisi ya mjumbe maalumu wa UN nchini humo

    Nov 20, 2020 23:14

    Serikali ya Burundi imesema haikaribishi tena kuwepo na Ofisi ya Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini humo, na kwamba taifa hilo lina amani baada ya kushuhudia mgogoro wa kisiasa kwa miaka kadhaa.

  • Jeshi la Rwanda lakamata wanamgambo 19 wa Burundi mpakani

    Jeshi la Rwanda lakamata wanamgambo 19 wa Burundi mpakani

    Oct 04, 2020 04:05

    Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) limewatia mbaroni wanamgambo 19 wa Burundi waliokuwa wamejizatiti kwa silaha katika mpaka wa nchi mbili hizo jirani.

  • Kundi la kwanza la wakimbizi wa Burundi larejea nyumbani kutoka Rwanda

    Kundi la kwanza la wakimbizi wa Burundi larejea nyumbani kutoka Rwanda

    Aug 27, 2020 21:53

    Mamia ya wakimbizi raia wa Burundi walioko nchini Rwanda wameanza kurejea nchini kwao, miaka mitano baada ya kukimbia mapigano na ghasia za kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS