-
Jumatano tarehe Mosi Julai mwaka 2020
Jul 01, 2020 08:11Leo ni tarehe 9 Dhulqaada 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe Mosi Julai mwaka 2020.
-
Baraza jipya la Mawaziri lala kiapo nchini Burundi + Sauti
Jul 01, 2020 07:42Baraza jipya la mawaziri wa serikali ya Burundi lilikula kiapo jana Jumanne mbele ya rais na mabaraza ya bunge na seneti. Chama kikuu cha upinzani cha CNL hakijashirikishwa katika serikali hiyo. Hamida Issa na malezo zaidi kutoka Bujumbura na maelezo zaidi.
-
Jeshi la Rwanda laua watu 4 waliobeba silaha kutoka Burundi
Jun 28, 2020 07:40Jeshi la Rwanda limetangaza habari ya kuua watu wanne waliokuwa wamebeba silaha raia wa Burundi kusini mwa nchi hiyo.
-
Marekani yafuta visa za raia wa Burundi kufuatia mgogoro wa kidiplomasia
Jun 24, 2020 07:20Marekani imeacha kutoa visa kwa raia wa Burundi wanaotaka kwenda nchini humo, hatua ambayo imeibua mgogoro wa kidiplomasia baina ya nchi hizo mbili.
-
Ndayishimiye aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi, aahidi kuliunganisha taifa+SAUTI
Jun 18, 2020 13:25Evariste Ndayishimiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa hivi karibuni nchini Burundi ameapishwa leo Alkhamisi kuwa rais mpya wa nchi hiyo, kufuatia kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza.
-
Rais mteule wa Burundi kuapishwa Alkhamisi
Jun 16, 2020 08:01Rais mteule wa Burundi, Evariste Ndayishimiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa hivi karibuni anatazamiwa kuapishwa Alkhamisi hii Juni 18 kuwa rais wa nchi hiyo kufuatia kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza.
-
Mahakama ya Katiba yaamua Ndayishimiye aapishwe mapema kuwa rais wa Burundi
Jun 13, 2020 04:29Mahakama ya Kikatiba ya Burundi imeamua kuwa Evariste Ndayishimiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa hivi karibuni nchini Burundi aapishwe mapema kuwa rais wa nchi hiyo kufuatia kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza.
-
Baraza la mawaziri Burundi lajadili mustakbali wa nchi baada ya kifo cha Nkurunziza
Jun 11, 2020 13:27Burundi leo Alkhamisi imeitisha mkutano wa Baraza la Mawaziri kujadili mustakbali wa nchi hiyo baada ya kifo cha ghafla cha rais Pierre Nkurunziza Jumatatu iliyopita.
-
Serikali ya Burundi yatoa tamko rasmi la kufariki dunia rais wa nchi hiyo + Sauti
Jun 10, 2020 16:07Serikali ya Burundi imetangaza rasmi kifo cha rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ambaye ameiongoza Burundi kwa muda wa miaka 15. Serikali ya Bujumbura imetangaza siku 7 za maombolezo ya kitaifa na bendera ya nchi hiyo itapepea nusu mlingoti.
-
Katibu Mkuu wa UN atuma salamu za rambirambi kwa serikali ya Burundi
Jun 10, 2020 11:59Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuaga dunia Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.