Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha Burundi

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha Burundi

    Aug 24, 2020 23:08

    Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia wakazi wa eneo moja huko kusini mwa Burundi.

  • Burundi yabadili sera, yaanza upimaji COVID-19 mjini Bujumbura

    Burundi yabadili sera, yaanza upimaji COVID-19 mjini Bujumbura

    Jul 07, 2020 22:25

    Serikali ya Burundi imezindua operesheni ya upimaji mkubwa wa maambukizi ya COVID-19 katika mji mkuu wa kibiashara wa nchi hiyo Bujumbura.

  • Jumatano tarehe Mosi Julai mwaka 2020

    Jumatano tarehe Mosi Julai mwaka 2020

    Jul 01, 2020 03:41

    Leo ni tarehe 9 Dhulqaada 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe Mosi Julai mwaka 2020.

  • Baraza jipya la Mawaziri lala kiapo nchini Burundi + Sauti

    Baraza jipya la Mawaziri lala kiapo nchini Burundi + Sauti

    Jul 01, 2020 03:12

    Baraza jipya la mawaziri wa serikali ya Burundi lilikula kiapo jana Jumanne mbele ya rais na mabaraza ya bunge na seneti. Chama kikuu cha upinzani cha CNL hakijashirikishwa katika serikali hiyo. Hamida Issa na malezo zaidi kutoka Bujumbura na maelezo zaidi.

  • Jeshi la Rwanda laua watu 4 waliobeba silaha kutoka Burundi

    Jeshi la Rwanda laua watu 4 waliobeba silaha kutoka Burundi

    Jun 28, 2020 03:10

    Jeshi la Rwanda limetangaza habari ya kuua watu wanne waliokuwa wamebeba silaha raia wa Burundi kusini mwa nchi hiyo.

  • Marekani yafuta visa za raia wa Burundi kufuatia mgogoro wa kidiplomasia

    Marekani yafuta visa za raia wa Burundi kufuatia mgogoro wa kidiplomasia

    Jun 24, 2020 02:50

    Marekani imeacha kutoa visa kwa raia wa Burundi wanaotaka kwenda nchini humo, hatua ambayo imeibua mgogoro wa kidiplomasia baina ya nchi hizo mbili.

  • Ndayishimiye aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi, aahidi kuliunganisha taifa+SAUTI

    Ndayishimiye aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi, aahidi kuliunganisha taifa+SAUTI

    Jun 18, 2020 08:55

    Evariste Ndayishimiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa hivi karibuni nchini Burundi ameapishwa leo Alkhamisi kuwa rais mpya wa nchi hiyo, kufuatia kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza.

  • Rais mteule wa Burundi kuapishwa Alkhamisi

    Rais mteule wa Burundi kuapishwa Alkhamisi

    Jun 16, 2020 03:31

    Rais mteule wa Burundi, Evariste Ndayishimiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa hivi karibuni anatazamiwa kuapishwa Alkhamisi hii Juni 18 kuwa rais wa nchi hiyo kufuatia kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza.

  • Mahakama ya Katiba yaamua Ndayishimiye aapishwe mapema kuwa rais wa Burundi

    Mahakama ya Katiba yaamua Ndayishimiye aapishwe mapema kuwa rais wa Burundi

    Jun 12, 2020 23:59

    Mahakama ya Kikatiba ya Burundi imeamua kuwa Evariste Ndayishimiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa hivi karibuni nchini Burundi aapishwe mapema kuwa rais wa nchi hiyo kufuatia kifo cha ghafla cha Rais Pierre Nkurunziza.

  • Baraza la mawaziri Burundi lajadili mustakbali wa nchi baada ya kifo cha Nkurunziza

    Baraza la mawaziri Burundi lajadili mustakbali wa nchi baada ya kifo cha Nkurunziza

    Jun 11, 2020 08:57

    Burundi leo Alkhamisi imeitisha mkutano wa Baraza la Mawaziri kujadili mustakbali wa nchi hiyo baada ya kifo cha ghafla cha rais Pierre Nkurunziza Jumatatu iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS