-
Ijumaa tarehe 8 Septemba 2023
Sep 09, 2023 08:10Leo ni Ijumaa tarehe 22 Safar 1445 Hijria imayosadifiana na tarehe 8 Septemba 2023.
-
Jumamosi, Mosi Julai, 2023
Jul 01, 2023 05:55Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1444 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2023 Miladia.
-
Kulalamikia vikali Waislamu Kanada sheria mpya ya marufuku ya kusali shuleni
May 23, 2023 02:22Waislamu nchini Kanada wamelalamikia vikali marufuku ya kusali iliyowekwa katika shule za serikali kwenye jimbo la Quebec.
-
Waislamu Canada walalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali
May 21, 2023 06:34Waislamu nchini Canada wamelalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali kwenye jimbo la Quebec.
-
Ugunduzi wa makaburi 40 zaidi yasiyo na alama; ishara ya unyama dhidi ya wenyeji wa Canada.
Apr 24, 2023 13:17Watafiti wametangaza kwamba wamegundua makaburi 40 yasiyo na alama katika shule ya zamani ya Wamishonari wa Kikatoliki huko British Columbia, nchini Canada.
-
Waislamu nchini Canada waendelea kukabiliwa na vitendo vya ubaguzi
Apr 17, 2023 06:30Vitendo vya ubaguzi dhidi ya jamii ya Waislamu nchini Canada vimeendelea kushuhudiwa licha ya miito mbalimbali ya kukomesha ubaguzi huo.
-
Kiongozi wa Waislamu Canada: Waislamu kote nchini wana sababu ya kuwa na wasiwasi baada ya hujuma ya msikiti wa Ontario
Apr 12, 2023 02:12Kiongozi wa Jumuiya ya Waislamu nchini Canada ameeleza wasiwasi wake kuhusu kushamiri vetendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini humo baada ya mwanamume mmoja kuvamia msikiti wa jimbo la Ontario Alhamisi iliyopita, kutoa vitisho sambamba na kujaribu kuwavamia waumini nje ya msikiti huo.
-
Polisi ya Canada yamfungulia mashtaka ya uhalifu wa chuki aliyeshambulia msikiti, kuchana Qur'ani
Apr 10, 2023 07:55Polisi ya Canada imetangaza kuwa imemkamata na kumfungulia mashtaka mwanamume mmoja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni "tukio la chuki" katika msikiti mmoja wa jimbo la Ontario Alhamisi iliyopita, baada ya kuhujumu Waislamu, kuwatishia na kuwatusi.
-
Kanada imezilipa fidia jamii za kiasili kwa sababu haikuwa na budi ila kufanya hivyo
Jan 25, 2023 02:28Serikali ya Kanada imeafiki kulipa fidia ya dola bilioni 2.1 kwa waathiriwa wa jamii za kiasili ambao walikabiliwa na mateso katika shule za bweni kwa takriban karne moja.
-
Wazee maskini wa Canada wanafadhilisha kifo kuliko uhai
Dec 15, 2022 02:41Mwandishi wa habari wa Marekani anayeishi Amerika ya Kusini ametuma ujumbe katika mtandao wa Twitter akisimulia hali ya wazee maskini na walemavu nchini Canada na kuandika kuwa, mfumo wa kibepari ni wa kikatili na kwamba nchi hiyo inawaua watu maskini.