Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Borell apendekeza China iwe mpatanishi kati ya Russia na Ukraine

    Mar 06, 2022 00:52

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amependekeza nchi ya tatu iwe mpatanishi wa kumaliza mivutano kati ya Russia na Ukraine.

  • China yaanza mazoezi ya kijeshi ya wiki nzima katika bahari ya China Kusini

    China yaanza mazoezi ya kijeshi ya wiki nzima katika bahari ya China Kusini

    Mar 06, 2022 00:51

    China imetangaza kuanza mazoezi ya kijeshi ya vikosi vyake vya ulinzi katika eneo la bahari ya China Kusini.

  • China yalaani uchokozi wa meli ya kivita ya Marekani katika Njia Bahari ya Taiwan

    China yalaani uchokozi wa meli ya kivita ya Marekani katika Njia Bahari ya Taiwan

    Feb 27, 2022 04:34

    China imeutaja kuwa ni "uchochezi" hatua ya kupita meli ya kivita ya Marekani katika Lango Bahari la Taiwan ambalo ni nyeti kimkakati, kwani inatenganisha eneo la Taipei ya China (Taiwan) linalojitawala na China Bara.

  • Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Feb 24, 2022 23:48

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekutana na mabalozi wa Russia na China nchini Iran ambapo wametangaza kwa pamoja kupinga kutumiwa vibaya kadhia ya haki za binadamu kama chombo cha kuyashinikiza mataifa mengine.

  • Mazungumzo ya Vienna; anga nzuri ndani ya kivuli cha ubunifu wa Iran

    Mazungumzo ya Vienna; anga nzuri ndani ya kivuli cha ubunifu wa Iran

    Feb 13, 2022 23:41

    Awamu ya nane ya mazungumzo ya Vienna baina ya Iran na kundi la 4+1 inaendelea katika Hoteli ya Palais Coburg nchini Austria huku kukiwa na dalili nzuri za kufanyika mazungumzo katika mazingira yenye kuleta matumaini. Mazungumzo hayo yanaendelea baada ya kusimama kidogo kwa ajili ya kutoa fursa kwa timu za mazungumzo kurejea katika nchi zao kwa mashauriano.

  • China: Sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake

    China: Sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake

    Feb 13, 2022 00:45

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema, sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake.

  • Ushirikiano na misimamo ya pamoja ya China na Russia kuhusu Ukraine

    Ushirikiano na misimamo ya pamoja ya China na Russia kuhusu Ukraine

    Feb 06, 2022 01:11

    Wang Yi Waziri wa Mambo ya Nje wa China na mwenzake wa Russia Sergei Lavrov wameratibu misimamo ya nchi mbili huko Beijing kuhusu kadhia kama za Ukraine, Afghanistan na hali ya mambo katika Peninsula ya Korea.

  • Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Feb 03, 2022 09:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali mwito wa Balozi wa Marekani katika umoja huo wa kumtaka asusie hafla ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali nchini China.

  • China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia

    Jan 22, 2022 23:10

    China imetahadharisha kuwa Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia kutokana na maghala yake makubwa ya silaha angamizi za nyuklia.

  • Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani

    Jan 21, 2022 23:09

    Rais Joe Biden wa chama cha Democrat aliingia madarakani mwaka mmoja uliopita mnamo Januari 20, 2021, huku akitoa ahadi nyingi, hasa za kubadilisha hatua zilizochukuliwa na mtangulizi wake, Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wa chama cha Republican.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS