-
Uchoraji tattoo wapigwa marufuku kwa wachezaji wa soka nchini China
Dec 30, 2021 08:09Viongozi wa michezo nchini China wamesema, kutokana nyota wa mchezo wa soka kuwa ni kigezo na mfano wa kuigwa kwa vizazi mbalimbali, ni marufuku kwa wachezaji hao kujichora tattoo.
-
Takwa la China la kuondolewa vikwazo vya Iran
Dec 19, 2021 23:01Mwakilishi wa China katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ametaka kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Geng Shuang amesema Marekani imekosea katika kuanzisha mgogoro wa nyuklia wa Iran na kuitaka Washington iondoe vikwazo vyake vya upande mmoja ili kuandaa mazingira ya kurejea katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Amir Abdolahian na mwenzake wa China wapongeza mwenendo wa mazungumzo ya Vienna
Dec 17, 2021 04:34Hussein Amir Abdolahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran jana Alhamisi aliwasiliana kwa njia ya simu na na kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Wang Yi kuhusu uhusiano wa pande na kubadilishana mawazo juu ya mwenendo wa mazungumzo ya nyuklia ya Vienna na matukio ya kimataifa.
-
Rais wa Russia asema uhusiano wa nchi yake na China unaleta uthabiti katika uga wa kimataifa
Dec 15, 2021 23:57Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, uratibu na mashauriano yanayofanywa baina ya nchi yake na China katika uga wa kimataifa umekuwa wenzo wa kupatikana uthabiti duniani.
-
China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka
Dec 14, 2021 06:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Marekani haiwezi tena sasa kuwababaisha na kuwapotosha watu.
-
Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China
Dec 09, 2021 01:14Jen Psaki Msemaji wa Ikulu ya White House alitangaza Jumatatu usiku kuwa, "serikali ya Joe Biden haitatuma mwakilishi rasmi au wa kidiplomasia katika michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi." Amedai kuwa sababu ya uamuzi huo wa serikali ya Marekani ni mauaji ya kimbari na jinai dhidi ya binadamu katika mkoa wa Xinjiang na vitendo vingine vya ukiukwaji wa haki za binadamu China.
-
New York Post: Biden ni dhaifu, hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran
Dec 08, 2021 10:56Gazeti la Marekani la New York Post limemtaja rais wa sasa wa nchi hiyo kuwa ni dhaifu na mwenye kutetereka na kwamba hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran katika maeneo mbalimbali ya dunia.
-
Wamarekani wengi wana wasiwasi wa kutokea vita kati ya nchi yao na China
Dec 02, 2021 03:38Uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa raia wengi wana hofu ya kutokea vita baina ya nchi hiyo na China katika miaka mitano ijayo.
-
Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia
Nov 27, 2021 09:02Mabalozi wa Russia na China nchini Marekani wamesema, kufanyika kongamano la demokrasia nchini humo kutashadidisha makabiliano ya kiidiolojia duniani.
-
China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki
Nov 11, 2021 06:16Rais Xi Jinping wa China ameonya kuhusu uwezekano wa kurejea mgogoro wa zama za Vita Baridi katika eneo la Asia Pasifiki huku hali ya taharuki ikiendelea kushuhudiwa baina ya Marekani na China kuhusu eneo la China Taipei.