-
Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine
Feb 24, 2022 23:48Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekutana na mabalozi wa Russia na China nchini Iran ambapo wametangaza kwa pamoja kupinga kutumiwa vibaya kadhia ya haki za binadamu kama chombo cha kuyashinikiza mataifa mengine.
-
Mazungumzo ya Vienna; anga nzuri ndani ya kivuli cha ubunifu wa Iran
Feb 13, 2022 23:41Awamu ya nane ya mazungumzo ya Vienna baina ya Iran na kundi la 4+1 inaendelea katika Hoteli ya Palais Coburg nchini Austria huku kukiwa na dalili nzuri za kufanyika mazungumzo katika mazingira yenye kuleta matumaini. Mazungumzo hayo yanaendelea baada ya kusimama kidogo kwa ajili ya kutoa fursa kwa timu za mazungumzo kurejea katika nchi zao kwa mashauriano.
-
China: Sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake
Feb 13, 2022 00:45Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema, sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake.
-
Ushirikiano na misimamo ya pamoja ya China na Russia kuhusu Ukraine
Feb 06, 2022 01:11Wang Yi Waziri wa Mambo ya Nje wa China na mwenzake wa Russia Sergei Lavrov wameratibu misimamo ya nchi mbili huko Beijing kuhusu kadhia kama za Ukraine, Afghanistan na hali ya mambo katika Peninsula ya Korea.
-
Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China
Feb 03, 2022 09:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali mwito wa Balozi wa Marekani katika umoja huo wa kumtaka asusie hafla ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali nchini China.
-
China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia
Jan 22, 2022 23:10China imetahadharisha kuwa Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia kutokana na maghala yake makubwa ya silaha angamizi za nyuklia.
-
Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani
Jan 21, 2022 23:09Rais Joe Biden wa chama cha Democrat aliingia madarakani mwaka mmoja uliopita mnamo Januari 20, 2021, huku akitoa ahadi nyingi, hasa za kubadilisha hatua zilizochukuliwa na mtangulizi wake, Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wa chama cha Republican.
-
Uchoraji tattoo wapigwa marufuku kwa wachezaji wa soka nchini China
Dec 30, 2021 08:09Viongozi wa michezo nchini China wamesema, kutokana nyota wa mchezo wa soka kuwa ni kigezo na mfano wa kuigwa kwa vizazi mbalimbali, ni marufuku kwa wachezaji hao kujichora tattoo.
-
Takwa la China la kuondolewa vikwazo vya Iran
Dec 19, 2021 23:01Mwakilishi wa China katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ametaka kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Geng Shuang amesema Marekani imekosea katika kuanzisha mgogoro wa nyuklia wa Iran na kuitaka Washington iondoe vikwazo vyake vya upande mmoja ili kuandaa mazingira ya kurejea katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Amir Abdolahian na mwenzake wa China wapongeza mwenendo wa mazungumzo ya Vienna
Dec 17, 2021 04:34Hussein Amir Abdolahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran jana Alhamisi aliwasiliana kwa njia ya simu na na kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Wang Yi kuhusu uhusiano wa pande na kubadilishana mawazo juu ya mwenendo wa mazungumzo ya nyuklia ya Vienna na matukio ya kimataifa.