Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Sudan yazindua satalaiti yake ya kwanza iliyounda kwa ushirikiano na China

    Sudan yazindua satalaiti yake ya kwanza iliyounda kwa ushirikiano na China

    Nov 06, 2019 11:56

    Sudan imezindua kwa kurusha angani satalaiti yake ya kwanza itakayoshughulika na utafiti wa kijeshi, kiuchumi na wa tekonolojia ya anga za mbali. Akizungumza katika kikao na maafisa waandamizi wa usalama, mkuu wa Baraza Kuu la Utawala la Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ametangaza kuwa, satalaiti hiyo imetengezwa kwa ushirikiano na Jamhuri ya Watu wa China.

  • Velayati: Uhusiano wa Iran na China ni wa kistratejia

    Velayati: Uhusiano wa Iran na China ni wa kistratejia

    Oct 23, 2019 04:34

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Anayehusika na Masuala ya Kimataifa amesema kuwa uhusiano wa siku zote wa Iran na China ni wa kistratejia.

  • China yaitahadharisha Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya Hong Kong

    China yaitahadharisha Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya Hong Kong

    Oct 16, 2019 08:32

    Serikali ya China imeendelea kulaani vikali uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya mji wa Hong Kong, kwa kupasisha muswada uliopewa jina la 'Haki za binaadamu na demokrasia.'

  • China kuzindua kombora la nyuklia linaloweza kufika Marekani katika muda wa dakika 30

    China kuzindua kombora la nyuklia linaloweza kufika Marekani katika muda wa dakika 30

    Sep 30, 2019 09:03

    Kufuatia kushadidi mivutano ya kisiasa, kijeshi na kiuchumi kati ya Marekani na China, vyombo vya habari vya China vimeripoti kuwa, kwa mara ya kwanza, jeshi la nchi hiyo litazindua kombora la nyuklia lenye uwezo wa kufika Marekani ndani ya muda wa dakika 30.

  • China yalaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa kununua mafuta ya Iran

    China yalaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa kununua mafuta ya Iran

    Sep 26, 2019 08:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa China amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya nchi hiyo ya Asia kwa kuendelea kununua mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kumalizika kusikoeleweka kwa mazungumzo ya biashara kati ya Marekani na China

    Kumalizika kusikoeleweka kwa mazungumzo ya biashara kati ya Marekani na China

    Sep 22, 2019 23:10

    Siasa za kimaslahi na za upendeleo wa kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambazo zinalenga kushadidisha mgogoro wa ushuru wa forodha, zimeibua vita vikubwa vya kibiashara kati ya nchi hiyo na China.

  • China yaionya Marekani kwa kuingilia mambo ya ndani ya Hong Kong

    China yaionya Marekani kwa kuingilia mambo ya ndani ya Hong Kong

    Sep 20, 2019 23:24

    Kwa mara nyingine Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameionya Marekani kwa hatua yake ya kuingilia masuala ya ndani ya eneo la Hong Kong.

  • Baqeri: Iran iko tayari kulinda kikamilifu maslahi yake katika Ghuba ya Uajemi

    Baqeri: Iran iko tayari kulinda kikamilifu maslahi yake katika Ghuba ya Uajemi

    Sep 12, 2019 06:56

    Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kulinda kikamilifu usalama na maslahi yake katika Ghuba ya Uajemi."

  • Kukiri Rais wa Ufaransa juu ya kufikia tamati ubeberu wa Magharibi duniani

    Kukiri Rais wa Ufaransa juu ya kufikia tamati ubeberu wa Magharibi duniani

    Aug 29, 2019 00:21

    Kwa karne kadhaa Wamagharibi wametekeleza ubeberu katika uga wa kimataifa iwe ni katika kipindi cha ukoloni au katika zama za ubeberu; daima walifanya unyonyaji dhidi ya wananchi na mataifa mengine ya dunia.

  • Zarif akiwa Beijing; ramani ya njia ya miaka 25 ya kutekeleza ushirika wa kistratijia baina ya Iran na China

    Zarif akiwa Beijing; ramani ya njia ya miaka 25 ya kutekeleza ushirika wa kistratijia baina ya Iran na China

    Aug 27, 2019 02:52

    Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akiwa anaongoza ujumbe wa ngazi za juu, Jumapili alitembelea China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS