Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • 'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    Apr 12, 2019 15:00

    Watu waliojizatiti kwa silaha wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamewateka nyara madaktari wawili wa Cuba katika mpaka wa Kenya na Somalia.

  • Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Mar 14, 2019 14:30

    Rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba amekosoa vikali uingiliaji wa kivamizi wa Marekani nchini Venezuela na kusema kuwa, vitendo hivyo vimetoka kwa Manazi wa Ujerumani.

  •  Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela

    Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela

    Feb 26, 2019 02:37

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amelaani hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, Washington inataka kuiondoa madarakani serikali halali na kuitumbukiza nchi hiyo katika vurugu na machafuko.

  • Chama cha Madaktari Kenya: Madaktari wa Cuba hawajafuzu

    Chama cha Madaktari Kenya: Madaktari wa Cuba hawajafuzu

    Jan 06, 2019 08:20

    Chama cha Madaktari nchini Kenya KMA kimetilia shaka uzoefu na uwezo wa kitaaluma wa madaktari wa Cuba walioenda nchini humo mwaka jana.

  • Jumapili, Disemba Pili, 2018

    Jumapili, Disemba Pili, 2018

    Dec 02, 2018 03:24

    Leo ni Jumapili  tarehe 24 Rabiul-Awwal, Mfungo Sita 1440, Hijria, sawa na Disemba Pili 2018, Miladia.

  • Watu watatu tu wamenusurika katika ajali ya ndege iliyokuwa imebeba watu 110 nchini Cuba

    Watu watatu tu wamenusurika katika ajali ya ndege iliyokuwa imebeba watu 110 nchini Cuba

    May 19, 2018 08:11

    Watu watatu tu wameripotiwa kunusurika katika ajali ya ndege iliyochakaa aina ya Boeing 737 ambayo ilianguka hapo jana muda mfupi baada ya kuruka katika uwanja wa ndege wa Havana nchini Cuba huku wachunguzi wakijaribu kubaini chanzo cha ajali hiyo kupitia mabaki ya ndege hiyo.

  • Cuba: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Cuba: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Apr 04, 2018 14:26

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Cuba imetoa taarifa rasmi inayolaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusema kuwa, jinai hizo ni ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu.

  • Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani

    Cuba na Venezuela Kuungana Kukabiliana na Chokochoko za Marekani

    Feb 24, 2018 14:18

    Harakati ya Urafiki na Mshikamano wa Cuba na Venezuela imesisitiza kuhusu muungano wa nchi hizo mbili katika kukabiliana na chokochoko za uingiliaji wa Marekani.

  • Mtoto mkubwa wa Fidel Castro ajiua Cuba, msongo wa mawazo watajwa kuwa chanzo

    Mtoto mkubwa wa Fidel Castro ajiua Cuba, msongo wa mawazo watajwa kuwa chanzo

    Feb 02, 2018 16:32

    Mtoto mkubwa wa aliyekuwa rais wa Cuba, Fidel Castro, Fidel Ángel Castro Díaz-Balart mwenye umri wa miakka 68 jana alikutwa amejiua huko Havana, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Jumamosi, Disemba 2, 2017

    Jumamosi, Disemba 2, 2017

    Dec 02, 2017 04:11

    Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe Pili Disemba 2017 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS