-
Jumatatu, Mei 20, 2019
May 19, 2019 20:48Leo ni Jumatatu tarehe 14 Ramadhani mwaka 1440 Hijria, mwafaka na tarehe 20 Mei mwaka 2019 Miladia.
-
Uingiliaji wa Marekani ni chanzo za vurugu na ukosefu wa usalama katika eneo
May 13, 2019 23:48Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesisitiza kuhusu ulazima wa kusimama kidete kukabiliana na utumiaji mabavu na sera za maamuzi ya upande mmoja za Marekani duniani.
-
Iran yailaani Marekani kwa kutumia njia zilizo kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru
May 09, 2019 07:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uhasama wa Marekani dhidi ya Cuba hasa wa kuondoa marufuku ya muda ya utekelezwaji wa Kipengee cha Tatu cha Sheria Helms-Burton na kusema: "Kwa hatua yake hiyo, Washington kwa mara nyingine imeonyesha kuwa, inatumia kila wenzo ulio kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru."
-
Alkhamisi, 25 Aprili, 2019
Apr 24, 2019 21:47Leo ni Alkhamisi tarehe 19 Sha'aban 1440 Hijria mwafaka na tarehe 25 Aprili, 2019 Miladia.
-
'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya
Apr 12, 2019 10:30Watu waliojizatiti kwa silaha wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamewateka nyara madaktari wawili wa Cuba katika mpaka wa Kenya na Somalia.
-
Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi
Mar 14, 2019 11:00Rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba amekosoa vikali uingiliaji wa kivamizi wa Marekani nchini Venezuela na kusema kuwa, vitendo hivyo vimetoka kwa Manazi wa Ujerumani.
-
Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela
Feb 25, 2019 23:07Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amelaani hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, Washington inataka kuiondoa madarakani serikali halali na kuitumbukiza nchi hiyo katika vurugu na machafuko.
-
Chama cha Madaktari Kenya: Madaktari wa Cuba hawajafuzu
Jan 06, 2019 04:50Chama cha Madaktari nchini Kenya KMA kimetilia shaka uzoefu na uwezo wa kitaaluma wa madaktari wa Cuba walioenda nchini humo mwaka jana.
-
Jumapili, Disemba Pili, 2018
Dec 01, 2018 23:54Leo ni Jumapili tarehe 24 Rabiul-Awwal, Mfungo Sita 1440, Hijria, sawa na Disemba Pili 2018, Miladia.
-
Watu watatu tu wamenusurika katika ajali ya ndege iliyokuwa imebeba watu 110 nchini Cuba
May 19, 2018 03:41Watu watatu tu wameripotiwa kunusurika katika ajali ya ndege iliyochakaa aina ya Boeing 737 ambayo ilianguka hapo jana muda mfupi baada ya kuruka katika uwanja wa ndege wa Havana nchini Cuba huku wachunguzi wakijaribu kubaini chanzo cha ajali hiyo kupitia mabaki ya ndege hiyo.