Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • HRW: Daesh wanatumia silaha za kemikali wakikimbia Mosul

    HRW: Daesh wanatumia silaha za kemikali wakikimbia Mosul

    Nov 12, 2016 04:20

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanatumia silaha za kemikali kaskazini mwa mji wa Mosul nchini Iraq.

  • UN: Daesh imeua makumi ya raia eneo la Hammam al-Alil, Iraq

    UN: Daesh imeua makumi ya raia eneo la Hammam al-Alil, Iraq

    Nov 12, 2016 00:37

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Daesh limeua kwa umati makumi ya raia wa Iraq katika eneo la Hammam al-Alil lililoko kilomita 17 kutoka kwenye mji unaozingirwa na vikosi vya jeshi la Iraq wa Mosul.

  • Putin: Syria ni uwanja wa kudhihirisha azma ya dunia ya kupambana na ugaidi

    Putin: Syria ni uwanja wa kudhihirisha azma ya dunia ya kupambana na ugaidi

    Nov 10, 2016 03:35

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, Syria ni medani ya kuonesha azma na ustahiki wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi.

  • Manowari za Russia kushambulia magaidi Aleppo, Syria

    Manowari za Russia kushambulia magaidi Aleppo, Syria

    Nov 09, 2016 04:37

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema hii leo vikosi vyake vya majini vitaanzisha operesheni kali ya kuangamiza magaidi katika mji wa Aleppo nchini Syria.

  • Kaburi la umati lagunduliwa karibu na Mosul nchini Iraq

    Kaburi la umati lagunduliwa karibu na Mosul nchini Iraq

    Nov 08, 2016 04:15

    Vikosi vya serikali ya Iraq vimegundua kaburi la umati karibu na mji wa Mosul ambao kwa sasa unashuhudia makabiliano makali kati ya vikosi hivyo na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS.

  • Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika

    Saudi Arabia inaunga mkono ugaidi barani Afrika

    Nov 08, 2016 03:48

    Gazeti la Washington Post la Marekani limeandika makala kuhusu kuenea Uwahhabi nchini Nigeria na kuongeza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unaaunga mkono viongozi wa Mawahhabi ili waweze kueneza Uwahhabi nchini humo na kote barani Afrika.

  • Makumi ya maelfu ya watu waukimbia mkoa wa Nainawa, Iraq

    Makumi ya maelfu ya watu waukimbia mkoa wa Nainawa, Iraq

    Nov 05, 2016 23:14

    Kamati ya Wahajiri ya Bunge la Iraq imetangaza kuwa, karibu watu 29 elfu wameukimbia mkoa wa Nainawa tangu ilipoanza operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul, makao makuu ya mkoa huo.

  • Jeshi la Iraq lakomboa wafungwa 45 mikononi mwa Daesh Mosul, makumi ya magaidi waangamizwa

    Jeshi la Iraq lakomboa wafungwa 45 mikononi mwa Daesh Mosul, makumi ya magaidi waangamizwa

    Nov 05, 2016 09:15

    Kamanda wa jeshi la Iraq katika mkoa wa Nainawa (Nineve) nchini Iraq, ametangaza kuwa jeshi la serikali kwa kushirikiana na harakati ya wananchi, limefanikiwa kuwakomboa wafungwa 45 waliokuwa wakishikiliwa na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) magharibi mwa Mosul.

  • Russia: Marekani inalenga makazi ya raia Mosul, Iraq

    Russia: Marekani inalenga makazi ya raia Mosul, Iraq

    Nov 04, 2016 01:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa mashambulizi ya ndege za kivita za Marekani na washirika wake yanalenga zaidi makazi ya raia katika mji wa Mosul nchini Iraq.

  • Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Johnson: Magaidi 130 wa Uingereza wameuawa nchini Syria

    Nov 04, 2016 00:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, raia 130 wa nchi hiyo wanachama katika kundi la kigaidi la Daesh wameuawa nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS