Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Jeshi la Iraq: Hadi sasa tumeua magaidi wa Daesh zaidi ya 900 huko Mosul

    Jeshi la Iraq: Hadi sasa tumeua magaidi wa Daesh zaidi ya 900 huko Mosul

    Oct 31, 2016 01:13

    Wizara ya Ulinzi nchini Iraq imetangaza kuwa, kwa akali magaidi 910 wakufurishaji wa kiwahabi wa genge la Daesh (ISIS) wameangamizwa katika operesheni za kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa kundi hilo.

  • Magaidi 500 wauawa, 1000 wajeruhiwa Aleppo chini ya masaa 24

    Magaidi 500 wauawa, 1000 wajeruhiwa Aleppo chini ya masaa 24

    Oct 30, 2016 03:43

    Mamia ya magaidi wameangamizwa na jeshi la Syria likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi mjini Aleppo, kusini mashariki mwa nchi, chini ya masaa 24 yaliyopita.

  • Maadui wa ash-Shabab waondoka katika mji waliouteka Somalia

    Maadui wa ash-Shabab waondoka katika mji waliouteka Somalia

    Oct 28, 2016 00:45

    Wanachama wa kundi lenye mafungamano na genge la kigaidi la Daesh, wameondoka katika eneo waliloliteka hivi karibuni la Qandala kaskazini mashariki mwa Somalia.

  • Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh

    Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh

    Oct 26, 2016 11:30

    Seneta mmoja wa chama cha Republican nchini Marekani amesema uhusiano kati ya Washington na kundi la kigaidi la Daesh umechangia kusambaratisha usalama na utulivu katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • UN: DAESH wamewaua kinyama raia wengi wa mji wa Mosul

    UN: DAESH wamewaua kinyama raia wengi wa mji wa Mosul

    Oct 26, 2016 01:08

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa umepokea ripoti kadhaa zinazoonyesha kuwa, sambamba na vikosi vya jeshi la Iraq kukaribia mji wa Mosul kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua makumi ya watu wakiwemo maafisa 50 wa polisi ya Iraq ambao wameuliwa kinyama na magaidi wa kundi hilo.

  • Syria: Magaidi wanazuia raia kutoka mji wa Aleppo

    Syria: Magaidi wanazuia raia kutoka mji wa Aleppo

    Oct 21, 2016 10:23

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanawazuia raia kuugura mji wa Aleppo, ambao kwa sasa unashuhudia makabiliano makali kati ya vikosi vya serikali na magenge ya kigaidi.

  • Mufti wa Syria awataka magaidi kujisalimisha huko Aleppo

    Mufti wa Syria awataka magaidi kujisalimisha huko Aleppo

    Oct 21, 2016 01:12

    Mufti wa Syria amewataka magaidi walioko nchini humo kujisalimisha wenyewe kabla ya kuanza operesheni kubwa na ya pande zote ya jeshi la nchi hiyo ya kukomboa kikamilifu maeneo yote ya mji huo.

  • Jeshi la Libya lasonga mbele Sirte, magaidi wa Daesh waendelea kupigwa

    Jeshi la Libya lasonga mbele Sirte, magaidi wa Daesh waendelea kupigwa

    Oct 21, 2016 00:29

    Jeshi la Libya linaloiunga mkono serikali ya umoja wa kitaifa limesonga mbele zaidi katika mji wa Sirte unaotambuliwa kuwa ngome kuu ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

  • Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Oct 20, 2016 00:34

    Russia imeionya Marekani dhidi ya kuwafurusha wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutoka Iraq hadi Syria, katika mashambulizi yake ya kuukomboa mji wa Mosul, kaskazini mwa Iraq.

  • Iraq: Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, wafadhili wa Daesh

    Iraq: Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, wafadhili wa Daesh

    Oct 18, 2016 03:38

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema nchi kadhaa za Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi zinaliunga mkono na kulifadhili kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, linalofanya jinai za kutisha nchini humo na Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS