-
Jeshi la Iraq: Hadi sasa tumeua magaidi wa Daesh zaidi ya 900 huko Mosul
Oct 31, 2016 01:13Wizara ya Ulinzi nchini Iraq imetangaza kuwa, kwa akali magaidi 910 wakufurishaji wa kiwahabi wa genge la Daesh (ISIS) wameangamizwa katika operesheni za kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa kundi hilo.
-
Magaidi 500 wauawa, 1000 wajeruhiwa Aleppo chini ya masaa 24
Oct 30, 2016 03:43Mamia ya magaidi wameangamizwa na jeshi la Syria likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi mjini Aleppo, kusini mashariki mwa nchi, chini ya masaa 24 yaliyopita.
-
Maadui wa ash-Shabab waondoka katika mji waliouteka Somalia
Oct 28, 2016 00:45Wanachama wa kundi lenye mafungamano na genge la kigaidi la Daesh, wameondoka katika eneo waliloliteka hivi karibuni la Qandala kaskazini mashariki mwa Somalia.
-
Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh
Oct 26, 2016 11:30Seneta mmoja wa chama cha Republican nchini Marekani amesema uhusiano kati ya Washington na kundi la kigaidi la Daesh umechangia kusambaratisha usalama na utulivu katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
UN: DAESH wamewaua kinyama raia wengi wa mji wa Mosul
Oct 26, 2016 01:08Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa umepokea ripoti kadhaa zinazoonyesha kuwa, sambamba na vikosi vya jeshi la Iraq kukaribia mji wa Mosul kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua makumi ya watu wakiwemo maafisa 50 wa polisi ya Iraq ambao wameuliwa kinyama na magaidi wa kundi hilo.
-
Syria: Magaidi wanazuia raia kutoka mji wa Aleppo
Oct 21, 2016 10:23Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanawazuia raia kuugura mji wa Aleppo, ambao kwa sasa unashuhudia makabiliano makali kati ya vikosi vya serikali na magenge ya kigaidi.
-
Mufti wa Syria awataka magaidi kujisalimisha huko Aleppo
Oct 21, 2016 01:12Mufti wa Syria amewataka magaidi walioko nchini humo kujisalimisha wenyewe kabla ya kuanza operesheni kubwa na ya pande zote ya jeshi la nchi hiyo ya kukomboa kikamilifu maeneo yote ya mji huo.
-
Jeshi la Libya lasonga mbele Sirte, magaidi wa Daesh waendelea kupigwa
Oct 21, 2016 00:29Jeshi la Libya linaloiunga mkono serikali ya umoja wa kitaifa limesonga mbele zaidi katika mji wa Sirte unaotambuliwa kuwa ngome kuu ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.
-
Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria
Oct 20, 2016 00:34Russia imeionya Marekani dhidi ya kuwafurusha wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutoka Iraq hadi Syria, katika mashambulizi yake ya kuukomboa mji wa Mosul, kaskazini mwa Iraq.
-
Iraq: Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, wafadhili wa Daesh
Oct 18, 2016 03:38Waziri Mkuu wa Iraq amesema nchi kadhaa za Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi zinaliunga mkono na kulifadhili kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, linalofanya jinai za kutisha nchini humo na Syria.