Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh

    Oct 17, 2016 23:40

    Kamanda wa ngazi za juu wa jeshi nchini Syria amesema, kuna ushahidi wa kutosha kuwa Marekani, Saudi Arabia na Israel ni waungaji mkono wakuu wa magaidi wa ISIS (Daesh) huko Syria na Iraq.

  • Magaidi zaidi waangamizwa katika mkoa wa Salahuddin nchini Iraq

    Magaidi zaidi waangamizwa katika mkoa wa Salahuddin nchini Iraq

    Oct 17, 2016 12:23

    Jeshi la Iraq limetangaza habari ya kushadidisha mashambulizi yake katika mkoa wa Salahuddin wa kaskazini mwa Baghdad, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Mgogoro wa kisiasa waongezeka nchini Libya

    Mgogoro wa kisiasa waongezeka nchini Libya

    Oct 17, 2016 12:20

    Taasisi ya kulinda usalama iliyoko chini ya amri ya baraza la uongozi wa Libya imetangaza kujitenga na baraza hilo.

  • Mufti wa Misri awaambia Wamagharibi: Daesh si

    Mufti wa Misri awaambia Wamagharibi: Daesh si "Dola la Kiislamu"

    Oct 06, 2016 12:17

    Mufti wa Misri amevitaka vyombo vya habari vya nchi za Magharibi viache kutumia neno "Dola la Kiislamu" kuliarifisha kundi la kigaidi la Daesh.

  • Mkuu wa Daesh taabani baada ya kupewa sumu

    Mkuu wa Daesh taabani baada ya kupewa sumu

    Oct 05, 2016 11:23

    Mkuu wa kundi la kigiaid la ISIS (Daesh), Ibrahim al-Samarrai, maarufu kama Abu Bakr al-Bahgdadi, ameripotiwa kuwa katika hali mbaya ya kiafya baada ya kuwekewa sumu katika chakula chake.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa Daesh zinakaribia

    Waziri Mkuu wa Iraq: Zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa Daesh zinakaribia

    Oct 04, 2016 22:55

    Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amewaambia watu wa mji wa Mosul kuwa zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh zinakaribia.

  • Genge la wanawake wenye uhusiano na Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Genge la wanawake wenye uhusiano na Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Oct 03, 2016 23:27

    Duru rasmi nchini Moroco zimearifu habari ya kutiwa mbaroni wanawake kumi wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh ambao walikuwa na lengo la kutekeleza mashambulizi ya kigaidi katika miji kadhaa nchini humo.

  • Kinara wa ISIS (Daesh) mahututi baada ya kupewa 'sumu' Iraq

    Kinara wa ISIS (Daesh) mahututi baada ya kupewa 'sumu' Iraq

    Oct 03, 2016 11:32

    Kinara wa kundi la kitakfiri na kigaidi la ISIS (Daesh), Ibrahim al Sammarai, maarufu kama Abu Bakr al-Baghdadi, amepewa sumu akiwa pamoja na makamanda wengine wa kundi hilo katili.

  • Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Sep 16, 2016 10:26

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema jinai za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh au ISIS zinatokana na fikra za kuwakufurisha Waislamu ambazo zinatawala Saudi Arabia.

  • Morocco yaangamiza kundi la kigaidi linalofungamana na ISIS

    Morocco yaangamiza kundi la kigaidi linalofungamana na ISIS

    Sep 07, 2016 23:27

    Wakuu wa Morocco wametangaza kufanikiwa kuangamiza kundi moja la kigaidi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS