-
Baraza la Usalama la UN laafiki kurefushwa muda wa kuhudumu UNAMID katika eneo la Darfur, Sudan
Nov 01, 2019 07:19Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeafiki kurefushwa muda wa kuhudumu kikosi cha pamoja cha askari wa kulinda amani wa umoja huo na wale wa Umoja wa Afrika kinachojulikana kama UNAMID katika eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan.
-
UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17
Jun 14, 2019 02:28Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa kwa akali watu 17 wameuawa katika kijiji cha Deleij katikati mwa jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan.
-
Mauaji Sudan yanaendelea, 11 wauawa 20 wajeruhiwa Darfur
Jun 13, 2019 02:23Kamati Kuu ya Madaktari wa Sudan imetangaza habari ya kuuawa watu 11 na kujeruhiwa wengine 20 katika machafuko yaliyotokea kwenye eneo la al Dalij la jimbo la Darfur, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Uchaguzi DRC: Felix Tshisekedi arejea ili kuanza kampeni zake za uchaguzi
Nov 28, 2018 04:38Kiongozi wa chama kikongwe zaidi cha upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi amerejea nchini humo kwa ajili ya kuanza kampeni za kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwezi ujao.
-
Baraza la Usalama laongeza muda wa kuhudumu kikosi cha UNAMID huko Darfur Sudan
Jul 14, 2018 13:40Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa kuhudumu kikosi cha pamoja cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika UNAMID katika jimbo la Darfur la magharibi mwa Sudan.
-
Indhari kuhusu uingiliaji wa utawala haramu wa Kizayuni eneo la Darfur, Sudan
Jun 18, 2018 02:32Chama cha Kongresi ya Kitaifa nchini Sudan kimetahadharisha kuhusiana na uingiliaji wa utawala haramu wa Israel eneo la Darfur huko Sudan kwa lengo la kuibua machafuko nchini humo.
-
AU kuanzisha tena juhudi za usuluhishi kati ya serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Darfur
Dec 21, 2017 02:43Umoja wa Afrika utaanzisha tena usuluhishi kwa njia ya mazungumzo kati ya serikali ya Sudan na waasi wa Darfur baada ya mazungumzo hayo kusimama kwa muda wa miezi 16.
-
Waasi wa Darfur watangaza kusitisha vita kwa miezi miwili
Dec 02, 2017 07:21Makundi matatu ya waasi wa eneo la Darfur huko magharibi mwa Sudan yametangaza usitishaji vita wa miezi miwili hadi tarehe 31 Januari mwaka 2018.
-
Wanajeshi 10 wa Sudan wauawa katika mapigano huko Darfur
Nov 28, 2017 07:47Askari 10 akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Sudan wameuawa katika mapigano mapya yaliyozuka hivi karibuni katika jimbo la Darfur.
-
Kamanda wa kundi moja la waasi atiwa mbaroni Darfur Sudan
Nov 27, 2017 15:15Wizara ya Ulinzi ya Sudan imetangaza habari ya kutiwa mbaroni kamanda wa kundi moja la waasi wa eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan kwa tuhuma za kuvunja haki za binadamu.