Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Darfur

  • Baraza la Usalama la UN laafiki kurefushwa muda wa kuhudumu UNAMID katika eneo la Darfur, Sudan

    Baraza la Usalama la UN laafiki kurefushwa muda wa kuhudumu UNAMID katika eneo la Darfur, Sudan

    Nov 01, 2019 07:19

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeafiki kurefushwa muda wa kuhudumu kikosi cha pamoja cha askari wa kulinda amani wa umoja huo na wale wa Umoja wa Afrika kinachojulikana kama UNAMID katika eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17

    UN: Idadi ya waliouawa Darfur nchini Sudan ni watu 17

    Jun 14, 2019 02:28

    Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa kwa akali watu 17 wameuawa katika kijiji cha Deleij katikati mwa jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • Mauaji Sudan yanaendelea, 11 wauawa 20 wajeruhiwa Darfur

    Mauaji Sudan yanaendelea, 11 wauawa 20 wajeruhiwa Darfur

    Jun 13, 2019 02:23

    Kamati Kuu ya Madaktari wa Sudan imetangaza habari ya kuuawa watu 11 na kujeruhiwa wengine 20 katika machafuko yaliyotokea kwenye eneo la al Dalij la jimbo la Darfur, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Uchaguzi DRC: Felix Tshisekedi arejea ili kuanza kampeni zake za uchaguzi

    Uchaguzi DRC: Felix Tshisekedi arejea ili kuanza kampeni zake za uchaguzi

    Nov 28, 2018 04:38

    Kiongozi wa chama kikongwe zaidi cha upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi amerejea nchini humo kwa ajili ya kuanza kampeni za kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwezi ujao.

  • Baraza la Usalama laongeza muda wa kuhudumu kikosi cha UNAMID huko Darfur Sudan

    Baraza la Usalama laongeza muda wa kuhudumu kikosi cha UNAMID huko Darfur Sudan

    Jul 14, 2018 13:40

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa kuhudumu kikosi cha pamoja cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika UNAMID katika jimbo la Darfur la magharibi mwa Sudan.

  • Indhari kuhusu uingiliaji wa utawala haramu wa Kizayuni eneo la Darfur, Sudan

    Indhari kuhusu uingiliaji wa utawala haramu wa Kizayuni eneo la Darfur, Sudan

    Jun 18, 2018 02:32

    Chama cha Kongresi ya Kitaifa nchini Sudan kimetahadharisha kuhusiana na uingiliaji wa utawala haramu wa Israel eneo la Darfur huko Sudan kwa lengo la kuibua machafuko nchini humo.

  • AU kuanzisha tena juhudi za usuluhishi kati ya serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Darfur

    AU kuanzisha tena juhudi za usuluhishi kati ya serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Darfur

    Dec 21, 2017 02:43

    Umoja wa Afrika utaanzisha tena usuluhishi kwa njia ya mazungumzo kati ya serikali ya Sudan na waasi wa Darfur baada ya mazungumzo hayo kusimama kwa muda wa miezi 16.

  • Waasi wa Darfur watangaza kusitisha vita kwa miezi miwili

    Waasi wa Darfur watangaza kusitisha vita kwa miezi miwili

    Dec 02, 2017 07:21

    Makundi matatu ya waasi wa eneo la Darfur huko magharibi mwa Sudan yametangaza usitishaji vita wa miezi miwili hadi tarehe 31 Januari mwaka 2018.

  • Wanajeshi 10 wa Sudan wauawa katika mapigano huko Darfur

    Wanajeshi 10 wa Sudan wauawa katika mapigano huko Darfur

    Nov 28, 2017 07:47

    Askari 10 akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Sudan wameuawa katika mapigano mapya yaliyozuka hivi karibuni katika jimbo la Darfur.

  • Kamanda wa kundi moja la waasi atiwa mbaroni Darfur Sudan

    Kamanda wa kundi moja la waasi atiwa mbaroni Darfur Sudan

    Nov 27, 2017 15:15

    Wizara ya Ulinzi ya Sudan imetangaza habari ya kutiwa mbaroni kamanda wa kundi moja la waasi wa eneo la Darfur la magharibi mwa Sudan kwa tuhuma za kuvunja haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS