Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Disinfo

  • Upotoshaji mkubwa! Al Jazeera yaficha shukrani za msemaji wa Hamas kwa Iran

    Upotoshaji mkubwa! Al Jazeera yaficha shukrani za msemaji wa Hamas kwa Iran

    Jan 21, 2025 07:17

    Kitengo cha "habari za punde" cha televisheni ya Al Jazeera ya Qatar kwenye mitandao ya kijamii, katika hatua ya kushangaza, kimechuja shukrani zilizotolewa na Obaida, msemaji wa "Brigedi za Izzuddin al-Qassam," tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa Iran na Yemen.

  • Kama si Iran, nani atakayeunusuru ulimwengu na shari ya wazi na iliyojificha ya Israel?

    Kama si Iran, nani atakayeunusuru ulimwengu na shari ya wazi na iliyojificha ya Israel?

    Jan 10, 2025 07:28

    Kwa miaka mingi sasa Israel imekuwa ikitekeleza sera za ardhi iliyochomwa (scorched-earth policy) katika eneo la Asia Magharibi. Kuanzia mashambulizi yasiyosita katika Ukanda wa Gaza na mauaji ya kimbari ya raia wa Palestina hadi kuwauwa kigaidi wasomi wa nyuklia wa Iran na mashambulizi ya anga dhidi ya Syria, ni sehemu ya sera za Israel ambazo zimejikita katika kueneza vita na hali ya mchafukoge.

  • Kuna tofauti kubwa baina ya Mayahudi na Wazayuni (PICHA)

    Kuna tofauti kubwa baina ya Mayahudi na Wazayuni (PICHA)

    Oct 03, 2024 11:14

    Katika kujibu swali linalosema kuwa, je, kuna tofauti baina ya Mayahudi na Wazayuni, tunapenda kusema kwamba, naam, kuna tofauti kubwa baina ya makundi hayo mawili.

  • Ukoloni, tangu mwanzo hadi leo (4)

    Ukoloni, tangu mwanzo hadi leo (4)

    Oct 03, 2024 10:52

    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Karibuni katika Episodi ya Nne ya Podikasti tuliyoipa jina la Ukoloni Tangu Mwanzo hadi Leo. Podikasti hii inazungumzia historia na jinsi ilivyojitokea fikra hii ya ukoloni katika nukta tofauti duniani, sababu na madhara yake makubwa. Podikasti hii inazungumzia pia aina mbalimbali za ukoloni.

  • Tunawaambiaje wale wanaolaani mapambano ya silaha ya Wapalestina?

    Tunawaambiaje wale wanaolaani mapambano ya silaha ya Wapalestina?

    Dec 12, 2023 10:09

    Hivi inafaa kweli kuwalaumu Wapalestina kwa kuendesha mapambano ya silaha dhidi ya Wazayuni Kama unaamini hivyo, basi anza kwanza kulaani mapambano ya mashujaa kama Nelson Mandela. Lakini pia si shujaa Nelson Mandela tu, bali wako wengi. 

  • Je unaijua Pallywood na upotoshaji wake kuhusu jinai za Ghaza?

    Je unaijua Pallywood na upotoshaji wake kuhusu jinai za Ghaza?

    Dec 05, 2023 10:58

    Yumkini hadi hivi sasa umeshasikia kuhusu Hollywood, Bollywood au hata Nollywood, lakini vipi kuhusu Pallywood?

  • Jinai za Israel huko Ghaza haziwahi kutokea mfano wake katika karne ya 21

    Jinai za Israel huko Ghaza haziwahi kutokea mfano wake katika karne ya 21

    Nov 09, 2023 11:40

    Uhalifu wa kivita wa Israel katika Ukanda wa Ghaza umevunja rekodi za uhalifu na jinai zote zilizotokea katika karne ya 21.

  • Je, unajua Wazayuni walifanya jinai kubwa kiasi gani wakati wanaiteka Ghaza?

    Je, unajua Wazayuni walifanya jinai kubwa kiasi gani wakati wanaiteka Ghaza?

    Nov 01, 2023 10:59

    Je unajua ni jinai kubwa kiasi gani zilifanywa na Wazayuni wakati wanateka kijinai ardhi za Wapalestina miaka 75 iliyopita?

  • Uongo 10 unaoenezwa na Wazayuni kupotosha kadhia ya Palestina

    Uongo 10 unaoenezwa na Wazayuni kupotosha kadhia ya Palestina

    Nov 01, 2023 10:48

    Wazayuni wanafanya propaganda kubwa kujaribu kupotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai zao na kuhusu kadhia nzima ya Palestina.

  • Jinai za Wazayuni hazijawahi kushuhudiwa katika karne ya 21

    Jinai za Wazayuni hazijawahi kushuhudiwa katika karne ya 21

    Nov 01, 2023 10:30

    Wazayuni wameshambulia hospitali na kuua shahidi kwa umati na kwa mkupuo mmoja mamia ya Wapalestina. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS