-
Amnesty International lakosoa siasa za ubaguzi zinazotekelezwa na Trump
Aug 13, 2018 03:32Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International na katika kumbukumbu za mwaka mmoja za matukio ya Charlottesville, Marekani limekosoa siasa za ubaguzi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Trump aendelea kutoa vitisho dhidi ya washirika wa kibiashara wa Iran
Aug 07, 2018 23:46Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia tena nchi zenye uhusiano wa kibiashara na Iran baada ya kupuuzwa amri aliyotoa ya kutekelezwa tena vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Zarif: Trump, Muhammad bin Salman na Netanyahu ni nembo ya ukatili duniani
Aug 06, 2018 09:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani, Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ni nembo ya ukatili, uvunjaji wa haki, ukandamizaji na kutoaminiana duniani.
-
Seneta Bernie Sanders: Trump ana maradhi ya kusema uongo
Aug 06, 2018 08:35Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani, Bernie Sanders amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba, anawahadaa wapiga kura kwa kuwaambia uongo.
-
Foreign Policy: Trump anaupotosha umma kuhusu hali ya umasikini Marekani
Aug 04, 2018 22:02Jarida la Foreign Policy limetoa ripoti na kueleza kwamba serikali ya Marekani inaupotosha umma kuhusu hali ya umasikini nchini humo.
-
Marekani inatekeleza mpango wa siri wa kuzika haki ya kurejea wakimbizi wa Palestina
Aug 04, 2018 10:39Mkwe wa Rais wa Marekani anafanya kila linalowezekana kulifunga Shirika la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya wakimbizi wa Palestina (UNRWA) ambalo limekuwa likitoa huduma za msingi kwa mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina katika miongo kadhaa iliyopita.
-
Ivanka Trump apinga siasa za uhamiaji, vyombo vya habari za baba yake
Aug 03, 2018 20:56Binti wa Rais Donald Trump wa Marekani, Ivanka Trump amepinga sera na siasa za baba yake kuhusiana na wahajiri.
-
Donald Trump ashikilia rekodi ya "Rais mwongo zaidi wa Marekani"
Aug 02, 2018 10:23Gazeti la Washington Post la nchini Marekani limeripoti kuwa, Donald Trump ndiye Rais mwongo zaidi katika historia ya nchi hiyo.
-
Kharrazi amjibu Trump na kumtaka kwanza atekeleze ahadi za serikali zilizotangulia za Marekani
Jul 31, 2018 10:40Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Sera za Kigeni la Iran Dkt. Kammal Kharrazi ametoa jibu kwa pandekezo la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na wakuu wa Iran na kusema: "Kabla ya yote, Donald Trump anapaswa kutekeleza ahadi na mikataba ya serikali zilizotangulia za Marekani na aheshimu sheria za kimataifa."
-
Waters: Mkanda wa sauti wa Trump umefichua zaidi kuwa ni msema uongo
Jul 30, 2018 07:45Mbunge wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa mkanda wa sauti wa mazungumzo ya Donald Trump wa nchi hiyo na wakili wake wa zamani umeweka wazi zaidi kuwa kiongozi huyo ni mrongo na kidhabi.