Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Mkutano wa viongozi wa BRICS na ukosoaji wa sera za Marekani

    Mkutano wa viongozi wa BRICS na ukosoaji wa sera za Marekani

    Jul 27, 2018 02:07

    Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Marekani ambazo zimeshika kasi zaidi katika utawala wa Donald Trump zimekuwa kero kwa aghlabu ya mataifa yote huru na yanayojitawala duniani.

  • Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Jul 25, 2018 03:48

    Licha ya kuweko uadui na uhasama wa Marekani dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka takribani 40 tangu kuasisiwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu, lakini katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, uadui huo ulishadidi zaidi iwe ni katika kipindi cha kampeni za uchaguzi na hata baada ya kuingia madarakani.

  • Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Jul 24, 2018 20:49

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imeshadidisha misimamo na hatua zilizo dhidi ya Iran.

  • White House yalegeza kamba kuhusu matamshi ya vitisho ya Trump dhidi ya Iran

    White House yalegeza kamba kuhusu matamshi ya vitisho ya Trump dhidi ya Iran

    Jul 24, 2018 03:18

    Msemaji wa Ikulu ya Marekani (White House) amelegeza kamba kuhusiana na matamshi ya vitisho ya Rais Donald Trump dhidi ya Iran.

  • Qassemi katika kujibu Tweet ya Trump: Taifa la Iran litatoa jibu kwa uchokozi

    Qassemi katika kujibu Tweet ya Trump: Taifa la Iran litatoa jibu kwa uchokozi

    Jul 23, 2018 09:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu ujumbe wa kichochezi wa Twitter wa Rais Donald Trump wa Marekani na kusema: "Watu wa Iran daima wamekuwa wakijibu vitisho kwa vitisho, na ukarimu kwa ukarimu na hivyo watatoa jibu kali kwa utumiaji mabavu na uchokozi."

  • Raia wazalendo wa Marekani waandamana dhidi ya siasa za Donald Trump

    Raia wazalendo wa Marekani waandamana dhidi ya siasa za Donald Trump

    Jul 22, 2018 23:29

    Raia asili wa Marekani na wasio wazungu, wamefanya maandamano kupinga siasa mbovu za hali ya hewa zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Mbunge wa chama tawala Marekani ataka Trump auzuliwe

    Mbunge wa chama tawala Marekani ataka Trump auzuliwe

    Jul 19, 2018 11:05

    Mbunge wa chama tawala cha Republican nchini Marekani amekosoa vikali utendaji wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kutoa wito wa kusailiwa na kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye katika Kongresi ya nchi hiyo.

  • Tony Schwartz: Rais Donald Trump wa Marekani amepatwa na kichaa

    Tony Schwartz: Rais Donald Trump wa Marekani amepatwa na kichaa

    Jul 17, 2018 22:00

    Mwandishi maarufu wa Kimarekani ameelezea hali ya kisaikolojia ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba ni yenye mgogoro na kwamba ni mtu aliyepoteza akili.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani: Marekani haiaminiki tena

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani: Marekani haiaminiki tena

    Jul 16, 2018 22:24

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ujerumani amejibu matamshi na hujuma ya maneno ya Rais wa Marekani aliyeutaja Umoja wa Ulaya kuwa ni "adui" kwa kusema: Ulaya haiwezi tena kuitegemea Ikulu ya Rais wa Marekani.

  • Rais Donald Trump: Umoja wa Ulaya ni adui wa Marekani

    Rais Donald Trump: Umoja wa Ulaya ni adui wa Marekani

    Jul 15, 2018 23:41

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi mapya akiutaja Umoja wa Ulaya kuwa ni adui wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS