Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Indhari kali ya Ufaransa dhidi ya siasa za kibiashara za Trump

    Indhari kali ya Ufaransa dhidi ya siasa za kibiashara za Trump

    Jul 15, 2018 05:35

    Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amekosoa siasa za kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani kuuhusu Umoja wa Ulaya.

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Jul 13, 2018 10:53

    Wimbi kubwa la wananchi wa Uingereza limefanya maandamano makubwa kupinga ziara ya Rais wa Marekani mjini London. Maandamano hayo yamefanyika kufuatia wito uliotolewa na taasisi za kutetea haki za binadamu na harakati zinazopinga vita za nchini humo.

  • Le Drian: Hatumruhusu Trump kuiyumbisha Ulaya

    Le Drian: Hatumruhusu Trump kuiyumbisha Ulaya

    Jul 13, 2018 10:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amekosoa siasa za kiuchumi zinazotekelezwa na Rais wa Marekani kuhusiana na Ulaya na kueleza kuwa, Paris haitatoa mwanya kwa Trump kuivuruga Ulaya.

  • Trump akaribishwa London kwa wimbi kubwa la maandamano

    Trump akaribishwa London kwa wimbi kubwa la maandamano

    Jul 12, 2018 23:42

    Rais Donald Trump wa Marekani aliwasili London, mji mkuu wa Uingereza na kukaribishwa kwa wimbi kubwa la maandamano ya wananchi waliokuwa na hasira ambao wanapinga safari yake.

  • Trump aibua mifarakano katika muungano wa kijeshi wa NATO

    Trump aibua mifarakano katika muungano wa kijeshi wa NATO

    Jul 12, 2018 05:03

    Siku ya kwanza ya kikao cha viongozi wa muungano wa kijeshi wa nchi za Magharibi, NATO, imemalizika huku mkutano huo ukishuhudia mashambulizi makali ya maneno ambayo hayajawahi kushuhudiwa ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Ujerumani, moja kati ya nchi muhimu zaidi katika muungano huo wa NATO.

  • Kansela Merkel amjibu Trump na kumfahamisha kuwa Ujerumani huchukua maamuzi huru

    Kansela Merkel amjibu Trump na kumfahamisha kuwa Ujerumani huchukua maamuzi huru

    Jul 11, 2018 09:11

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amejibu matamshi makali ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake na kumfahamisha kuwa, 'Ujerumani inafuata sera na maamuzi huru'.

  • Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Jul 11, 2018 08:51

    Marekani imelegeza msimamo wake mkali wa kuiwekea Iran vikwazo na kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya nchi hii kuuzwa katika soko la kimataifa ifikapo Novemba 4.

  • Donald Tusk: Trump waheshimu washirika wa Marekani, huna marafiki wengi

    Donald Tusk: Trump waheshimu washirika wa Marekani, huna marafiki wengi

    Jul 10, 2018 23:46

    Mkuu wa Baraza la Umoja wa Ulaya, amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuwa na heshima kwa washirika wa Washington na aache kuwakosoa kila siku.

  • Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Jul 09, 2018 21:53

    Sambamba na kuanza tena vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ukosolewaji wa siasa za Rais Donald Trump kuhusiana na jinsi amekuwa akiamiliana na Korea Kaskizini umekuwa ukiongezeka.

  • Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Jul 09, 2018 08:01

    Akizungumza hivi karibuni na gazeti la Ujerumani la Der Spiegel Madeleine Albright, Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ya kujiondoka katika mapatano muhimu ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa hatua hiyo inakinzana moja kwa moja na malengo aliyoyatangaza mwenyewe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS