-
Warepublican wanaogopa mno Trump kugombea urais 2024 nchini Marekani
Jul 25, 2022 21:53Ripoti mbalimbali zinaonesha kuwa, viongozi waandamizi wa chama cha Republican cha nchini Marekani wana wasiwasi mkubwa wa kugombea urais Donald Trump mwaka 2024 kutokana na kashfa nzito zinazomkabili.
-
New York Post: Trump hafai tena kuwa rais wa Marekani
Jul 24, 2022 06:37Gazeti la Marekani la New York Times limesema katika ripoti kwamba Donald Trump hana sababu yoyote ya msingi ya kujitetea kuhusu uzembe aliofanya kwa makusudii na hivyo kushindwa kuzuia vurugu zilizofanywa na magenge ya uhalifu katika fujo za Januari 6, 2021.
-
Kamati ya Bunge: Tuna ushahidi wa kumtia hatiani Trump
Jun 13, 2022 06:48Wanachama wa Kamati ya Bunge la Marekani inayochunguza shambulio dhidi ya jengo la Kongresi tarehe 6 Januari mwaka jana, wamesema wana ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Newsweek: Trump yumkini akafungwa jela miaka mitano
Feb 20, 2022 21:43Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, huenda akafungwa jela miaka mitano kwa madai kwamba alichukua nyaraka za siri za Ikulu ya Rais wa Marekani kuhusiana na usalama wa taifa alipoondoka madarakani mwaka jana.
-
Trump 'aliiba' nyaraka za siri za serikali alipohama Ikulu ya White House
Feb 19, 2022 07:54Idara ya Hifadhi ya Nyaraka na Kumbukumbu za Taifa ya Marekani imetangaza kuwa, nyaraka za taarifa za siri zimepatikana kwenye maboksi 15 ya kumbukumbu za Ikulu ya White yaliyokuwa yamehifadhiwa katika nyumba ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump huko Mar-a-Lago, jimboni Florida.
-
Kukiri kutokuwa na taathira wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran
Feb 04, 2022 05:50Chris Murphy Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani amekiri kuwa vikwazo vya mashinikizo eti ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran havijawa na matunda wala athari yoyote kwa manufaa ya Washington.
-
“Huenda Trump akaitumbukiza Marekani katika vita vya pili vya ndani”
Feb 01, 2022 23:03Mchambuzi mmoja wa masuala ya siasa amesema yumkini aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump akaitumbukiza nchi hiyo katika vita vya pili vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Trump: Nitawasamehe waliovamia Kongresi ya Marekani nikishinda urais
Jan 30, 2022 04:27Aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump amesema iwapo atagombea na kushinda urais katika uchaguzi wa mwaka 2024, atawasamehe na kuagiza kuachiwa huru watenda jinai waliohusika na shambulizi dhidi ya jengo la Kongresi mnamo tarehe 6 Januari mwaka jana, lililofanywa na wafuasi wake.
-
"Trump kujitoa JCPOA ndio uamuzi wa kipumbavu zaidi ndani ya miaka 50"
Jan 23, 2022 23:11Seneta mmoja mashuhuri huko Marekani amesema kitendo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump cha kujitoa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA, ndio uamuzi wa kipumbavu zaidi katika kipindi cha miaka 50 iliyopita.
-
White House: Kujitoa Trump kwenye mapatano ya JCPOA lilikuwa kosa kubwa
Jan 13, 2022 04:19Viongozi wa Ikulu ya Marekani, White House wamesema kuwa, kitendo cha Donald Trump cha kujitoa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA lilikuwa ni kosa kubwa kutokana na rais huyo wa zamani wa Marekani kutokuwa na ratiba zozote za kukabiliana na yatakayotokea baada ya kujitoa kwake.