Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Marekani katika lindi la machafuko ya kisiasa

    Marekani katika lindi la machafuko ya kisiasa

    Jan 07, 2021 06:26

    Machafuko, fujo, vurugu, uporaji, ufyatuaji risasi, mauaji, ugaidi, mapinduzi, kukabiliana na mapinduzi; bali kwa kifupi; kashfa ya taifa, ndiyo maneno ambayo kila moja linafasiri matukio ya aibu yaliyotokea jana Jumatano, Januari 6, 2021 nchini Marekani ndani jengo la Congress

  • UN: Wanasiasa Marekani waheshimu mchakato wa kidemokrasia na utawala wa sheria

    UN: Wanasiasa Marekani waheshimu mchakato wa kidemokrasia na utawala wa sheria

    Jan 07, 2021 06:13

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ameshtushwa na yaliyojiri Jumatano mjini Washington DC nchini Marekani na kuwataka viongozi wa kisiasa kuwaasa wafuasi wao kujizuia na ghasia.

  • Trump adai kuchakachuliwa kura katika uchaguzi mdogo wa Georgia

    Trump adai kuchakachuliwa kura katika uchaguzi mdogo wa Georgia

    Jan 06, 2021 08:55

    Rais wa Marekani amekituhumu chama cha Democratic kuwa kimefanya udanganyifu katika uchaguzi mdogo wa Baraza la Sanate la nchi hiyo.

  • Trump: White House na Seneti hazitaingia kwenye mikono ya Wademocrat

    Trump: White House na Seneti hazitaingia kwenye mikono ya Wademocrat

    Jan 05, 2021 03:42

    Kwa mara nyingine tena Rais Donald Trump wa Marekani amekataa kuyakubali matokeo ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo uliofanyika Novemba 3 mwaka uliopita, ambayo yanaonyesha kuwa ameshindwa.

  • Kukosoa ripota wa Umoja wa Mataifa hatua isiyo ya kisheria ya Marekani ya kumuua Qassim Suleimani

    Kukosoa ripota wa Umoja wa Mataifa hatua isiyo ya kisheria ya Marekani ya kumuua Qassim Suleimani

    Jan 04, 2021 07:33

    Januari 3 mwaka uliomalizika hivi majuzi wa 2020, kwa amri ya Rais Donald Trump, utawala wa kigaidi wa Marekani ulifanya jinai ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassim Suleimani, Mkuu wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu wa Mkuu wa Harakati ya al Hashd al-Shaabi katika shambulio la anga lililofanywa jirani na uwanja wa ndege wa Baghdad nchini Iraq.

  • Trump amtaka makamu wake asiidhinishe matokeo ya kura za Electoral College

    Trump amtaka makamu wake asiidhinishe matokeo ya kura za Electoral College

    Dec 25, 2020 23:11

    Rais Donald Trump wa Marekani amemtaka makamu wake Mike Pence asiidhinishe matokeo ya kura za urais zilizopigwa na wawakilishi wateule wa majimbo ya nchi hiyo, Electoral College.

  • Onyo kali la Iran dhidi ya chokochoko yoyote ile ya kijeshi ya Marekani

    Onyo kali la Iran dhidi ya chokochoko yoyote ile ya kijeshi ya Marekani

    Dec 25, 2020 23:09

    Matamshi ya vitisho yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran baada ya kuituhumu Tehran kwamba, ilihusika katika mashambulio ya hivi karibuni ya maroketi dhidi ya ubalozi wa Wsahington mjini Baghdad, yamekabiliwa na radiamali kali ya taifa hili.

  • Msamaha wa Trump kwa watenda jinai za kivita wa Black Water; kuzifanya hazina thamani roho na maisha ya raia wasio Wamarekani

    Msamaha wa Trump kwa watenda jinai za kivita wa Black Water; kuzifanya hazina thamani roho na maisha ya raia wasio Wamarekani

    Dec 24, 2020 07:30

    Rais Donald Trump wa Marekani ambaye yuko kwenye siku za mwishomwisho za uongozi wake, ametoa msamaha kwa baadhi ya wahalifu wa kisiasa na watenda jinai za kivita.

  • Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Dec 24, 2020 04:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemjia juu Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameituhumu Tehran kuwa imehusika na mashambulio ya maroketi dhidi ya ubalozi wa US mjini Baghdad, Iraq.

  • Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam

    Rouhani: Hatima ya Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta Saddam

    Dec 23, 2020 08:54

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatima ya Rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump haitakuwa bora kuliko ya dikteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS