Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Kuanza kuondoka askari wa jeshi la Marekani nchini Somalia; kujipanga upya kijeshi Washington barani Afrika

    Kuanza kuondoka askari wa jeshi la Marekani nchini Somalia; kujipanga upya kijeshi Washington barani Afrika

    Dec 21, 2020 10:15

    Marekani imeanza kuwaondoa wanajeshi wake walioko nchini Somalia kwa madhumuni ya kuwapeleka katika vituo vyake vingine mashariki mwa Afrika.

  • Trump atafakari kutumia jeshi kubatilisha matokeo ya uchaguzi

    Trump atafakari kutumia jeshi kubatilisha matokeo ya uchaguzi

    Dec 20, 2020 03:36

    Rais Donald Trump wa Marekani amefanya mashauriano na wapambe wake kuhusu uwezekano wa kutumia jeshi kubatilisha matokeo ya uchaguzi.

  • Ushindi wa Biden katika uchaguzi wa rais Marekani waidhinishwa na  Wajumbe wa Uchaguzi

    Ushindi wa Biden katika uchaguzi wa rais Marekani waidhinishwa na Wajumbe wa Uchaguzi

    Dec 16, 2020 07:37

    Hatimaye, baada ya wiki kadhaa za mvutano wa kisiasa na kisheria nchini Marekani, Wajumbe wa Uchaguzi (Electoral College) wamempigia kura kwa wingi mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden na hivyo sasa atakuwa rais wa Marekani.

  • Trump: Biden hatakuwa rais halali

    Trump: Biden hatakuwa rais halali

    Dec 14, 2020 03:23

    Ikiwa ni katika kuendeleza propaganda zake za kutilia shaka matokeo ya uchaguzi wa rais wa mwaka huu nchini Marekani na kujaribu kufunika fedheha ya kushindwa kwake katika uchaguzi huo, Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba Joe Biden aliyeshinda uchaguzi huo hatakuwa rais halali wa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Kilele ya Marekani yapinga ombi la Trump la kugeuza matokeo ya uchaguzi wa rais

    Mahakama ya Kilele ya Marekani yapinga ombi la Trump la kugeuza matokeo ya uchaguzi wa rais

    Dec 13, 2020 07:18

    Baada ya kupita zaidi ya siku 40 tokea ufanyike uchaguzi wa rais nchini Marekani, Rais Donald Trump ambaye alikuwa mgombea wa chama cha Republican amekuwa akitaka matokeo ya uchaguzi yanayoonesha kuwa mshindani wake wa chama cha upinzani cha Democrat Joe Biden ameshinda, yabatilishwe. Trump hadi sasa amekataa kukubali kushindwa.

  • Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Dec 12, 2020 08:06

    Rais Donald Trump wa Marekani juzi Alhamisi alituma ujumbe katika ukurasa wake wa twitter na kueleza kuwa Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel zimefikia mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia.

  • Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Dec 10, 2020 23:26

    Marekani daima imekuwa ikitumia porojo kulioonesha eneo la Asia Magharibi kwamba, linakabiliwa na ukosefu wa amani na kueneza chuki dhidi ya Iran sambamba na kuionyesa mbele ya macho ya mataifa ya eneo hili kwamba, ni tishio ili kwa njia hiyo ijiandalie uwanja wa kuziuzia silaha nchi za Ukanda wa kusini mwa Ghuba ya Uajemi.

  • Rais Rouhani: Trump anaondoka na ndoto zake za kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kiwango cha sifuri

    Rais Rouhani: Trump anaondoka na ndoto zake za kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kiwango cha sifuri

    Dec 06, 2020 08:24

    Rais Hassan Rouhani ameashiria vizingiti mbalimbali vya vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya mauzo ya mafuta na bidhaa za petrokemikali za Iran na kusema kuwa, Rais Donald Trump ameshindwa kutekeleza tumaini lake la kutaka mauzo ya mafuta ya Iran yafikie kiwango cha sifuri na sasa ataondoka madarakani pamoja na tarajio lake hilo.

  • Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Nov 28, 2020 22:00

    Baada ya kubainika kushindwa Donald Trump katika uchaguzi wa rais nchini Marekani, kumejiri harakati na kutolewa matamshi mbalimbali; na baadhi ya vyombo vya habari vimetangaza juu ya uwezekano wa Marekani na Israel kuishambulia kijeshi Iran.

  • Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Nov 28, 2020 04:16

    Hatua ya rais wa Marekani ya kuusambaza ujumbe ulioandikwa na mwandishi mmoja wa habari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imethibitisha kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuhusika utawala huo katika mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS