Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Kiongozi Muadhamu akosoa safari ya kinyemela ya Trump nchini Afghanistan

    Kiongozi Muadhamu akosoa safari ya kinyemela ya Trump nchini Afghanistan

    Nov 30, 2019 01:00

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa vikali safari za kushtukiza na za kificho zinazofanywa na watawala wa Marekani katika nchi za eneo hili la Asia Magharibi kinyume cha sheria.

  • Trump akutana na Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan

    Trump akutana na Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan

    Nov 29, 2019 07:44

    Katika safari yake ya ghafla nchini Afghanistan, Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Ashraf Ghani wa nchi hiyo.

  • Kamanda wa zamani wa kikosi cha wanamaji wa Marekani akosoa vikali sera za Trump

    Kamanda wa zamani wa kikosi cha wanamaji wa Marekani akosoa vikali sera za Trump

    Nov 28, 2019 23:05

    Kamanda wa jeshi la wanamaji katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni, ameelezea uingiliaji wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika hukumu za vyombo vya mahkama ya kijeshi kupitia jumbe zake za mtandao wa kijamii wa Twitter na kusema kuwa, hatua hiyo haijawahi kushuhudiwa huko nyuma.

  • Mkewe Trump apokelewa kwa malalamiko na kuzomewa na wanachuo wa Maryland Marekani

    Mkewe Trump apokelewa kwa malalamiko na kuzomewa na wanachuo wa Maryland Marekani

    Nov 28, 2019 01:16

    Wanachuo wa Marekani waliokuwa wamekusanyika katika Chuo Kikuu cha Maryland huko Baltimore kusikiliza hotuba ya Bi Melania Trump mke wa Rais Donald Trump wa Marekani wamempokea mke huyo wa rais kwa kumzomea.

  • Assad: Asante ya Trump kwa Syria kuhusu kuuliwa al Baghdadi ni mzaha

    Assad: Asante ya Trump kwa Syria kuhusu kuuliwa al Baghdadi ni mzaha

    Nov 27, 2019 21:51

    Rais wa Syria amehoji mchezo wa maonyesho unaofanywa na Marekani kuhusu kuuawa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh na kueleza kuwa: Madai ya Marekani kwamba Syria ilishiriki katika mauaji hayo ni moja ya mizaha ya Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Kupigwa kalamu nyekundu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Marekani kwa kupinga amri ya Trump

    Kupigwa kalamu nyekundu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Marekani kwa kupinga amri ya Trump

    Nov 26, 2019 03:14

    Rais Donald Trump wa Marekani ameendelea kukiuka na kufumbia macho taratibu za kisheria ambapo mara kwa mara amekuwa akiingilia moja kwa moja masuala tofauti ya idara za serikali na za jeshi la nchi hiyo.

  • Trump: FBI ilitaka kupindua serikali yangu

    Trump: FBI ilitaka kupindua serikali yangu

    Nov 24, 2019 23:19

    Rais Donald Trump wa Marekani amekosoa vikali mwenendo wa uchunguzi kuhusu kampeni za uchaguzi wa rais wa mwaka 2016 na kudai kuwa, Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) lilikuwa na nia ya kupindua serikali yake.

  • Madai ya kijuba ya Marekani kuwa eti inakalia visima vya mafuta vya Syria kisheria

    Madai ya kijuba ya Marekani kuwa eti inakalia visima vya mafuta vya Syria kisheria

    Nov 24, 2019 04:23

    Tokea mwaka 2014, Marekani iliingia nchini Syria kinyume cha sheria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la ISIS (Daesh). Kinyume na madai ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ataondoa askari wa Marekani walioko Syria, hivi sasa wanajeshi hao wameongeza muda wa kuwepo kwao katika nchi hiyo ya Kiarabu kwa kisingizio kingine.

  • Trump awatisha mashahidi wa faili la kusailiwa kwake

    Trump awatisha mashahidi wa faili la kusailiwa kwake

    Nov 19, 2019 23:01

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuwafukuza kazi mashahidi ambao wanashirikiana na kongresi ya nchi hiyo katika faili la kusailiwa kwake

  • Umaarufu wa Donald Trump wazidi kuporomoka nchini Marekani

    Umaarufu wa Donald Trump wazidi kuporomoka nchini Marekani

    Nov 18, 2019 23:11

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonesha kuwa, idadi kubwa zaidi ya Wamarekani hawamtaki rais wa nchi hiyo Donald Trump na wanaamini kwamba ni mkosa katika kashfa ya "Ukraine Gate."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS