-
Sisitizo la Trump la kushadidisha makali katika vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran
Oct 26, 2019 08:32Vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran vilitekelezwa katika marhala mbili yaani mwezi Agosti na Novemba mwaka jana baada ya Trump kutangaza kabla yake mnamo tarehe 8 Mei kuitoa Marekani katika makubaliano hayo ya nyuklia. Vikwazo hivyo vilikuwa vya upande mmoja; na vimekiuka sheria za kimataifa likiwemo azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Trump aendeleza hatua za kiuadui katika sekta ya mafuta dhidi ya Iran
Oct 26, 2019 04:49Rais Donald Trump wa Marekani ametaka zichukuliwe hatua kali zaidi za vikwazo vya mafuta dhidi ya Iran ukiwa ni muendelezo wa hatua za kiuadui na uhasama za serikali ya Washington dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Baada ya kuiita 'ng'ombe mkamwa maziwa wa Marekani', Trump aidhalilisha tena Saudia
Oct 22, 2019 23:15Rais Donald Trump wa Marekani ameidhalilisha tena Saudi Arabia na viongozi wake katika mahijiano yake na waandishi wa habari.
-
Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Oct 22, 2019 08:20Donald Trump Rais wa Marekani mwenye kubwabwaja sana tangu aingie ikulu ya White House amechukua mkondo wa sera za chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na utendaji wake umejikita katika mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Tehran ili kwa njia hiyo aweze kulifanya taifa hili lisalimu amri na kukubali matakwa ya Washington.
-
Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria
Oct 17, 2019 23:53Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuondoa wanajeshi wa Marekani kaskazini mwa Syria, jambo ambalo limewezesha Uturuki kushambulia eneo hilo, imekosolewa ndani ya Marekani.
-
Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo
Oct 15, 2019 23:26Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.
-
Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)
Oct 15, 2019 04:40Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutoa onyo kuhusiana na kuibukka upya shughuli za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kitendo cha kuondoa askari wa Kimarekani katika maeneo yanayoshambuliwa na Uturuki huko kaskazini mwa Syria, kimeandaa uwanja wa kufufuka upya kundi hilo la ukufurishaji ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria
Oct 15, 2019 01:15Kamanda wa zamani wa majeshi ya Marekani nchini Afghanistan amebainisha kwamba, Rais Donald Trump wa Marekani ni muhusika wa mgogoro na mauaji kaskazini mwa Syria.
-
Kujitoa Trump katika JCPOA; ni katika kuiunga mkono Israel
Oct 13, 2019 08:40Rais wa Marekani amekiri kuwa alijitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa sababu ya kuiunga mkono Israel.
-
Kutuma Pentagon wanajeshi na zana mpya za kijeshi nchini Saudi Arabia; harakati ya kimaonyesho
Oct 12, 2019 22:54Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akidai kwamba anawaunga mono na kuwahami waitifaki wake katika eneo la Ghuba ya Uajemi. Katika uwanja huo, Saudi Arabia ikiwa mshirika mkuu wa Washingtn katika eneo hili, ina nafasi maalumu katika siasa za kikanda za serikali ya Trump.