Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Kuna uwezekano mwanadiplomasia wa serikali ya Trump akatoa ushahidi dhidi yake

    Kuna uwezekano mwanadiplomasia wa serikali ya Trump akatoa ushahidi dhidi yake

    Oct 11, 2019 04:46

    Duru za habari za kuaminika katika Kongresi ya Marekani zimearifu kuwa kuna uwezekano mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Ulaya akatoa ushahidi dhidi ya Trump kuhusu kashfa ya Ukraine Gate.

  • Jimmy Carter aunga mkono mchakato wa kumuuzulu Trump

    Jimmy Carter aunga mkono mchakato wa kumuuzulu Trump

    Oct 09, 2019 10:27

    Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy carter ambaye awali alikuwa mpinzani wa zoezi la aina yoyote la kumsaili na kumuuzu rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump, amejiunga na kambi inayotaka kuanzishwa zoezi la kumuuzulu kiongozi huyo.

  • Jarida la Newsweek: Trump ameogopa vitisho vya Rais Erdoğan wa Uturuki kuhusu Syria

    Jarida la Newsweek: Trump ameogopa vitisho vya Rais Erdoğan wa Uturuki kuhusu Syria

    Oct 08, 2019 23:03

    Jarida la Newsweek la Marekani limemnukuu mmoja wa viongozi wa serikali ya nchi hiyo akisema kuwa, Rais Donald Trump amesalimu amri mbele ya matakwa ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuhusiana na Syria na kuyakubali bila ya pingamizi lolote.

  • Kiongozi wa waliowengi katika Seneti ya Marekani aapa kumkingia kifua Trump asiuzuliwe

    Kiongozi wa waliowengi katika Seneti ya Marekani aapa kumkingia kifua Trump asiuzuliwe

    Oct 07, 2019 15:16

    Seneta Mitch McConnell, kiongozi wa Warepublican waliowengi katika Seneti ya Marekani amesema, anamuunga mkono Rais Donald Trump na kuahidi kwamba atasimamisha mchakato wa kumuuzulu kiongozi huyo.

  • Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Oct 07, 2019 06:29

    Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, anaendelea na siasa za vitisho na mazungumzo katika fremu ya ahadi zake za uchaguzi za kuutatua mgogoro wa nyuklia wa Rasi ya Korea.

  • Mratibu mkuu wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kujiuzulu hivi karibuni

    Mratibu mkuu wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kujiuzulu hivi karibuni

    Oct 03, 2019 01:09

    Gazeti la Kimarakeni la Wall Street Journal limeripoti habari ya kujiuzulu hivi karibuni mratibu mkuu wa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wizara ya Fedha ya Marekani.

  • Trump na ahadi zake bandia za kuiondolea Iran vikwazo baada ya kufanyika mazungumzo

    Trump na ahadi zake bandia za kuiondolea Iran vikwazo baada ya kufanyika mazungumzo

    Sep 30, 2019 08:36

    Baada ya kuiondoa nchi yake kwenye mapatano ya nyuklia mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea vikwazo vikali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika miezi ya hivi karibuni Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha hamu kubwa ya kutaka kufanya mazungumzo na Iran ambapo baada ya kufanya mazungumzo na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, kulienea fununu za uwezekano wa kukutana marais wa Iran na Marekani kando ya mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Trump akiri: Marekani inaingilia chaguzi zinazofanyika katika nchi nyingine

    Trump akiri: Marekani inaingilia chaguzi zinazofanyika katika nchi nyingine

    Sep 28, 2019 22:57

    Katika kipindi cha Vita Baridi (Cold War) na baada ya vita hivyo Marekani ilikuwa ikitekeleza sera za kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine. Moja ya mambo muhimu yanayodhihirisha ukweli huo ni mienendo ya Marekani ya kuingilia chaguzi katika nchi mbalimbali kwa lengo la kuwaingiza madarakani viongozi vibaraka na wanaofuata siasa za Marekani.

  • Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Sep 28, 2019 04:29

    Marekani ina rekodi kubwa zaidi ya kutumia aina mbali mbali za vikwazo dhidi ya nchi zingine kwa ajili ya kufikia malengo ya siasa zake za nje. Ushadidishaji vikwazo unaofanywa na Washington katika kipindi cha urais wa Donald Trump umekuwa ukipingwa na kulaaniwa kimataifa. Pamoja na hayo kinachoendelea kushuhudiwa kila uchao ni kutangazwa vikwazo vingine vipya vya Marekani dhidi ya nchi zingine duniani.

  • Agizo jipya la Trump dhidi ya maafisa wa Iran na tapatapa za mfamaji

    Agizo jipya la Trump dhidi ya maafisa wa Iran na tapatapa za mfamaji

    Sep 27, 2019 03:39

    Rais Donald Trump wa Marekani jana Alkhamisi aliendeleza sera zake za kuiweka mashinikizo ya juu zaidi kwa shabaha ya kuilazimisha Jamhuri ya Kiislamu isalimu amri mbele ya matakwa ya serikali ya Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS