-
Kuna uwezekano mwanadiplomasia wa serikali ya Trump akatoa ushahidi dhidi yake
Oct 11, 2019 04:46Duru za habari za kuaminika katika Kongresi ya Marekani zimearifu kuwa kuna uwezekano mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Ulaya akatoa ushahidi dhidi ya Trump kuhusu kashfa ya Ukraine Gate.
-
Jimmy Carter aunga mkono mchakato wa kumuuzulu Trump
Oct 09, 2019 10:27Rais wa zamani wa Marekani, Jimmy carter ambaye awali alikuwa mpinzani wa zoezi la aina yoyote la kumsaili na kumuuzu rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump, amejiunga na kambi inayotaka kuanzishwa zoezi la kumuuzulu kiongozi huyo.
-
Jarida la Newsweek: Trump ameogopa vitisho vya Rais Erdoğan wa Uturuki kuhusu Syria
Oct 08, 2019 23:03Jarida la Newsweek la Marekani limemnukuu mmoja wa viongozi wa serikali ya nchi hiyo akisema kuwa, Rais Donald Trump amesalimu amri mbele ya matakwa ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuhusiana na Syria na kuyakubali bila ya pingamizi lolote.
-
Kiongozi wa waliowengi katika Seneti ya Marekani aapa kumkingia kifua Trump asiuzuliwe
Oct 07, 2019 15:16Seneta Mitch McConnell, kiongozi wa Warepublican waliowengi katika Seneti ya Marekani amesema, anamuunga mkono Rais Donald Trump na kuahidi kwamba atasimamisha mchakato wa kumuuzulu kiongozi huyo.
-
Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini
Oct 07, 2019 06:29Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, anaendelea na siasa za vitisho na mazungumzo katika fremu ya ahadi zake za uchaguzi za kuutatua mgogoro wa nyuklia wa Rasi ya Korea.
-
Mratibu mkuu wa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kujiuzulu hivi karibuni
Oct 03, 2019 01:09Gazeti la Kimarakeni la Wall Street Journal limeripoti habari ya kujiuzulu hivi karibuni mratibu mkuu wa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wizara ya Fedha ya Marekani.
-
Trump na ahadi zake bandia za kuiondolea Iran vikwazo baada ya kufanyika mazungumzo
Sep 30, 2019 08:36Baada ya kuiondoa nchi yake kwenye mapatano ya nyuklia mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea vikwazo vikali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika miezi ya hivi karibuni Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha hamu kubwa ya kutaka kufanya mazungumzo na Iran ambapo baada ya kufanya mazungumzo na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, kulienea fununu za uwezekano wa kukutana marais wa Iran na Marekani kando ya mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York.
-
Trump akiri: Marekani inaingilia chaguzi zinazofanyika katika nchi nyingine
Sep 28, 2019 22:57Katika kipindi cha Vita Baridi (Cold War) na baada ya vita hivyo Marekani ilikuwa ikitekeleza sera za kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine. Moja ya mambo muhimu yanayodhihirisha ukweli huo ni mienendo ya Marekani ya kuingilia chaguzi katika nchi mbalimbali kwa lengo la kuwaingiza madarakani viongozi vibaraka na wanaofuata siasa za Marekani.
-
Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine
Sep 28, 2019 04:29Marekani ina rekodi kubwa zaidi ya kutumia aina mbali mbali za vikwazo dhidi ya nchi zingine kwa ajili ya kufikia malengo ya siasa zake za nje. Ushadidishaji vikwazo unaofanywa na Washington katika kipindi cha urais wa Donald Trump umekuwa ukipingwa na kulaaniwa kimataifa. Pamoja na hayo kinachoendelea kushuhudiwa kila uchao ni kutangazwa vikwazo vingine vipya vya Marekani dhidi ya nchi zingine duniani.
-
Agizo jipya la Trump dhidi ya maafisa wa Iran na tapatapa za mfamaji
Sep 27, 2019 03:39Rais Donald Trump wa Marekani jana Alkhamisi aliendeleza sera zake za kuiweka mashinikizo ya juu zaidi kwa shabaha ya kuilazimisha Jamhuri ya Kiislamu isalimu amri mbele ya matakwa ya serikali ya Washington.