Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ulaya yasisitiza tena kulinda makubalino ya nyuklia ya JCPOA

    Ulaya yasisitiza tena kulinda makubalino ya nyuklia ya JCPOA

    Feb 16, 2019 10:09

    Licha ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuwa na umuhimu mkubwa katika kudumisha amani na usalama wa kimataifa, lakini Marekani mwezi Mei mwaka jana ilijitoa kwenye makubaliano hayo ili kuyasambaratisha.

  • Hasira za Trump kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Hasira za Trump kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 12, 2019 10:23

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiishambulia Iran kwa maneno makali iwe ni katika kipindi cha kampeni za uchaguzi mwaka 2016 au baada ya kuingia katika Ikulu ya White House Januari mwaka 2017 na hivyo kuendeleza mkondo wa kutakka kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu unaotawala hapa nchini.

  • Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran

    Miaka 40 ya Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran

    Feb 12, 2019 06:36

    Assalam Alaykum warhmatullahi wabarakatuh hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi hiki maaluimu kinachokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.

  • Zarif ajibu bwabwaja za Trump, asema Marekani imefeli mbele ya Iran katika miaka 40 ya Mapinduzi

    Zarif ajibu bwabwaja za Trump, asema Marekani imefeli mbele ya Iran katika miaka 40 ya Mapinduzi

    Feb 12, 2019 04:50

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu ujumbe uliokuwa umejaa hasira na vinyongo wa Rais Donald Trump wa Marekani akisema kuwa: Baada ya miaka 40 ya machaguo yasiyo sahihi, sasa wakati umefika kwa Trump kubadilisha siasa zilizoshindwa na kufeli za Marekani mkabala wa Iran.

  • Seneta wa Marekani asema huenda Trump 'atafungwa jela' kufikia 2020

    Seneta wa Marekani asema huenda Trump 'atafungwa jela' kufikia 2020

    Feb 11, 2019 04:17

    Seneta wa chama cha Democrats nchini Marekani amesema yumkini Rais Donald Trump wa nchi hiyo atakuwa gerezani kabla ya uchaguzi mkuu ujao nchini humo mwaka ujao 2020.

  • Ushirikiano wa Marekani na kiongozi wa upinzani nchini Venezuela dhidi ya Rais Nicolás Maduro

    Ushirikiano wa Marekani na kiongozi wa upinzani nchini Venezuela dhidi ya Rais Nicolás Maduro

    Feb 10, 2019 07:37

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela, wapinzani wa serikali wanaoungwa mkono na Marekani wamezidisha njama zao za kubadilisha hali ya nchi hiyo kwa manufaa yao.

  • Kikao cha muungano unaojiita eti dhidi ya Daesh (ISIS) na madai ya kukaririwa ya Washington

    Kikao cha muungano unaojiita eti dhidi ya Daesh (ISIS) na madai ya kukaririwa ya Washington

    Feb 08, 2019 03:26

    Tarehe 19 Disemba mwaka jana Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kwamba askari wa Marekani wataanza kuondoka Syria.

  • Vyombo vya habari Marekani: Fikra za Trump kuhusu Iran hazina mlingano, zinafurutu mipaka

    Vyombo vya habari Marekani: Fikra za Trump kuhusu Iran hazina mlingano, zinafurutu mipaka

    Feb 06, 2019 23:27

    Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, matamshi yanayotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo yanaonesha kuwa, kiongozi huyo ana mitazamo na fikra zisizo na mlingano na za kuchupa mipaka kuhusiana na Iran.

  • Uropokaji na upayukaji mwingine mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Uropokaji na upayukaji mwingine mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Feb 06, 2019 10:37

    Marekani, katika kipindi cha urais wa Donald Trump, imedhihirisha bila kificho kuwa imepanga na inatekeleza mpango wa kuudhoofisha na kuuangusha Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ripoti: Kiwango cha ufisadi kimekithiri Marekani katika utawala wa Trump

    Ripoti: Kiwango cha ufisadi kimekithiri Marekani katika utawala wa Trump

    Jan 29, 2019 21:41

    Ripoti ya shirika la kutathmini viwango vya ufisadi duniani la Transparency International imesema kiwango cha ufisadi na visa vya rushwa vimeogezeka pakubwa nchini Marekani tangu Rais Donald Trump aingie madarakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS