Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Hatua za Donald Trump na kuongezeka hali ya kutokuwa na imani walimwengu kwa Marekani

    Hatua za Donald Trump na kuongezeka hali ya kutokuwa na imani walimwengu kwa Marekani

    Oct 02, 2018 23:12

    Siasa za upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani zimepelekea kuongezeka hali ya kutengwa nchi hiyo ulimwenguni.

  • Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo

    Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo

    Sep 30, 2018 04:04

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akiyakosoa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalitiwa saini Julai 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo Marekani akiyataja kuwa makubaliano mabaya kabisa.

  • Trump azishauri nchi za Ulaya kujenga ukuta katika Jangwa la Sahara.

    Trump azishauri nchi za Ulaya kujenga ukuta katika Jangwa la Sahara.

    Sep 21, 2018 23:33

    Katika kuendeleza siasa zake zilizo dhidi ya uhamiaji na huku akiamini kwamba ujenzi wa kuta ndiyo njia bora zaidi ya kukabiliana na suala hilo, Rais Donald Trump wa Marekani amezishauri nchi za Ulaya kujenga ukuta katika Jangwa la Sahara ili kukabiliana na wimbi la wahajiri wa Kiafrika wanaohama nchi zao kuelekea nchi hizo.

  • Wabunge wa Kongresi ya Marekani wamtaka Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina

    Wabunge wa Kongresi ya Marekani wamtaka Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina

    Sep 21, 2018 03:16

    Wabunge 40 wa Kongresi ya Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump atazame upya maamuzi yake dhidi ya watu wa Palestina.

  • Ushauri wa Trump kwa Ulaya: Jengeni ukuta wa kizuizi eneo la Afrika la Jangwa la Sahara

    Ushauri wa Trump kwa Ulaya: Jengeni ukuta wa kizuizi eneo la Afrika la Jangwa la Sahara

    Sep 21, 2018 02:58

    Vyombo vya habari vya Uhispania vimefichua kuwa rais wa Marekani amezishauri nchi za Ulaya zitumie mbinu ya kujenga ukuta wa kizuizi kukabiliana na wahajiri kutoka Afrika.

  • Mike Pompeo: John Kerry anafanya juhudi kubwa za kuidhoofisha serikali ya Trump

    Mike Pompeo: John Kerry anafanya juhudi kubwa za kuidhoofisha serikali ya Trump

    Sep 20, 2018 10:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo sambamba na kumkosoa vikali waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo, John Kerry, kwa mara nyingine amesema kuwa, Kerry anafanya njama kubwa zenye lengo la kuidhoofisha serikali ya Rais Donald Trump.

  • Msimamo wa Theresa May wa kuitetea Israel, harakati ya kufuata nyayo za Trump

    Msimamo wa Theresa May wa kuitetea Israel, harakati ya kufuata nyayo za Trump

    Sep 19, 2018 02:06

    Serikali ya Kihafidhina (Conservative) ya Uingereza inahesabiwa kuwa miongoni mwa watetezi na waungaji mkono wakubwa wa utawala wa Kizayuni wa Israel na licha ya jinai na uhalifu mkubwa unaofanywa na utawala huo dhidi ya watu wa Palestina, lakini hakushuhudiwi mabadiliko ya aina yoyote katika mienendo ya London katika uwanja huu.

  • Sisitizo la IAEA la kutekeza Iran makubaliano ya nyuklia; na njama mpya za Donald Trump dhidi ya JCPOA

    Sisitizo la IAEA la kutekeza Iran makubaliano ya nyuklia; na njama mpya za Donald Trump dhidi ya JCPOA

    Sep 18, 2018 07:06

    Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yalitiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1, linaloundwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, China, Russia pamoja na Ujerumani na kuanza kutekelezwa Januari 2016.

  • Trump atoa amri ya kuzipandishia tena ushuru bidhaa za China za thamani ya Dola bilioni 200

    Trump atoa amri ya kuzipandishia tena ushuru bidhaa za China za thamani ya Dola bilioni 200

    Sep 18, 2018 00:08

    Rais Donald Trump wa Marekani amezipandishia ushuru wa asilimia 10 bidhaa za China zinazoingizwa nchi hiyo, ambazo zinakadiriwa kuwa za thamani ya Dola bilioni 200.

  • Adam Schiff: Trump ana wasi wasi wa kuanikwa na mkuu wake wa zamani wa kampeni za uchaguzi

    Adam Schiff: Trump ana wasi wasi wa kuanikwa na mkuu wake wa zamani wa kampeni za uchaguzi

    Sep 17, 2018 03:13

    Adam Schiff, mjumbe wa baraza la wawakilishi katiba bunge la Marekani amezungumzia wasi wasi wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo juu wa kufichuliwa habari zake na aliyekuwa mkuu wa kampeni zake katika uchaguzi wa rais uliopita nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS