Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dunia

  • Idadi ya watu duniani yapindukia bilioni 8 huku idadi ya wanaozeeka ikiongezeka

    Idadi ya watu duniani yapindukia bilioni 8 huku idadi ya wanaozeeka ikiongezeka

    Jul 11, 2024 06:52

    Idadi ya watu duniani wenye umri wa miaka 65 na zaidi imeongezeka karibu mara mbili huku hali hii ikitazamiwa kuendelea. Idadi ya watu duniai inazidi kuongezeka katika pembe mbalimbali na tayari imepindukia watu bilioni 8.

  • Walimwengu waandamana wakilaani mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Walimwengu waandamana wakilaani mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Jun 12, 2024 07:22

    Maandamano ya kupinga na kulaani mauaji ya kimbari ya utawala ghasibu wa Kizayuni katika ukanda wa Gaza yanaendelea kufanyika katika nchi tofauti za dunia.

  • Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Jun 02, 2024 06:31

    Wananchi wa maeneo tofauti ya dunia wanaendela kufanya maandamano na mikusanyiko kwa ajili ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu na wanaosimama imara wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza juu ya kusimamishwa jinai za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo.

  • IDMC: Kuna ongezeko kubwa la ukimbizi wa ndani unaosababishwa na migogoro duniani

    IDMC: Kuna ongezeko kubwa la ukimbizi wa ndani unaosababishwa na migogoro duniani

    May 15, 2024 06:58

    Ripoti mpya ya Kituo cha Ufuatiliaji wa Ukimbizi wa Ndani (IDMC) inaonyesha kuwa migogoro na ghasia duniani zimesababisha ongezeko lisilo na kifani la idadi ya wakimbizi wa ndani kufikia mwisho wa 2023.

  • Maandamano ya kuunga mkono Palestina na Ghaza yaendelea katika miji mbalimbali duniani

    Maandamano ya kuunga mkono Palestina na Ghaza yaendelea katika miji mbalimbali duniani

    May 13, 2024 04:04

    Watu wa miji tofauti katika nchi mbalimbali duniani, kwa mara nyingine wamemiminika mabarabarani wakiandamana kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina hususan wa Ukanda wa Ghaza na kulaani jinai za mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.

  • Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yaendelea katika miji tofauti duniani

    Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yaendelea katika miji tofauti duniani

    May 01, 2024 06:50

    Wananchi wa miji tofauti ya dunia kwa mara nyingine wameandamana kuwatetea wananchi madhulumu wa Palestina na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Kaboni nyeusi; sio tu inachafua mazingira, lakini pia inasababisha ongezeko la joto duniani

    Kaboni nyeusi; sio tu inachafua mazingira, lakini pia inasababisha ongezeko la joto duniani

    Mar 28, 2024 06:58

    Kaboni nyeusi imetajwa kusababisha ongezeko la joto kwa wati zisizopungua 0.6 kwa kila mita mraba moja katika uso wa dunia. Haya yamebainishwa na Mhadhiri wa masuala ya uhandisi wa mazingira katika Chuo Kikuu cha Istanbul Uturuki.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yaendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali

    Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yaendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali

    Mar 18, 2024 03:03

    Wananchi katika nchi mbalimbali kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano na mikusanyiko mbalimbali katika kuwaunga mkono na kuonyesha mshikamano kwa raia madhulumu wa Palestina.

  • Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Dec 03, 2023 10:59

    Kwa mara ya kwanza, Ujerumani imetwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa vijana wa kiume wenye chini ya umri wa miaka 17.

  • Ukosoaji wa Russia kwa siasa za uadui za Marekani ulimwenguni

    Ukosoaji wa Russia kwa siasa za uadui za Marekani ulimwenguni

    Oct 21, 2023 07:24

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Russia amekosoa vikali siasa za uhasama za Marekani ulimwenguni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS