Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Rwanda yafunga mpaka wake na Congo DR kwa kuhofia virusi vya Ebola

    Rwanda yafunga mpaka wake na Congo DR kwa kuhofia virusi vya Ebola

    Aug 01, 2019 08:18

    Serikali ya Rwanda imefunga mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kugunduliwa kesi ya tatu ya muathirika wa virusi vya ugonjwa wa Ebola katika mji wa mpakani wa Goma.

  • WHO yatangaza Ebola kuwa 'dharura ya kiafya duniani'

    WHO yatangaza Ebola kuwa 'dharura ya kiafya duniani'

    Jul 18, 2019 22:04

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa ni ''dharura ya kiafya inayohitaji jumuia ya kimataifa kuitazama''.

  • WHO: Yumkini ugonjwa hatari wa Ebola umesambaa hadi nchini Rwanda

    WHO: Yumkini ugonjwa hatari wa Ebola umesambaa hadi nchini Rwanda

    Jul 18, 2019 07:31

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mwanamke raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeaga dunia mapema mwezi huu kutokana na homa hatari ya Ebola aliingia nchini Rwanda akiwa ameathiriwa na ugonjwa huo na huenda alisambaza virusi hivyo nchini humo kabla ya kuelekea nchini Uganda alikofia.

  • WHO yatahadharisha kuhusu hatari ya kuenea homa ya Ebola huko Kongo DR

    WHO yatahadharisha kuhusu hatari ya kuenea homa ya Ebola huko Kongo DR

    Jul 17, 2019 07:58

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa mlipuko wa homa ya Ebola ulioukumba mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huwenda ukawa na athari mbaya sana.

  • UN: Kunahitajika mamilioni ya dola kwa ajili ya kupambana na Ebola, DRC

    UN: Kunahitajika mamilioni ya dola kwa ajili ya kupambana na Ebola, DRC

    Jul 15, 2019 07:02

    Mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mlipuko wa ugonjwa wa Ebola huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huwenda ukaendelea kuwepo kwa kipindi kirefu, kuua idadi zaidi ya watu na kugharibu fedha nyingi iwapo nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa hazitatoa mamia ya mamilioni ya dola kwa sasa kwa ajili ya kupambana na kasi ya ugonjwa huo.

  • Mgonjwa mwenye dalili za Ebola Kenya awekwa karantini

    Mgonjwa mwenye dalili za Ebola Kenya awekwa karantini

    Jun 17, 2019 08:01

    Mgonjwa anayeshukiwa kuwa na Ebola nchini Kenya amewekwa katika karantini katika Hospitali ya Kericho magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mtu wa pili afariki dunia kwa Ebola Uganda, mijumuiko hadharani marufuku Kasese

    Mtu wa pili afariki dunia kwa Ebola Uganda, mijumuiko hadharani marufuku Kasese

    Jun 13, 2019 07:21

    Uganda imepiga marufuku mijumuiko hadharani katika Wilaya ya Kasese baada ya ugonjwa hatari wa Ebola kuibuka katika eneo hilo.

  • Ebola yaua katika kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini Uganda

    Ebola yaua katika kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini Uganda

    Jun 12, 2019 08:28

    Kijana aliyekuwa na umri wa miaka mitano ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya maradhi hayo hatari kuthibitishwa katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Kesi nyingine elfu moja za Ebola zagunduliwa DRC

    Kesi nyingine elfu moja za Ebola zagunduliwa DRC

    Jun 09, 2019 22:06

    Hujuma na mashambulizi dhidi ya makundi ya madaktari Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni kikwazo kikubwa cha kupambana na ugonjwa hatari wa Ebola nchini humo.

  • Jeshi la DRC laua wanamgambo 26 katika mji ulioathiriwa na Ebola

    Jeshi la DRC laua wanamgambo 26 katika mji ulioathiriwa na Ebola

    May 30, 2019 21:58

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 26 karibu na mji wa Beni ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola, mashariki mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS