Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • WFP: Matibabu ya utapiamlo yasitishwa nchini Ethiopia kutokana na ukosefu wa fedha

    WFP: Matibabu ya utapiamlo yasitishwa nchini Ethiopia kutokana na ukosefu wa fedha

    Apr 23, 2025 02:09

    Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wiki hii umesimamisha matibabu ya utapiamlo kwa wanawake na watoto 650,000 nchini Ethiopia kutokana na uhaba mkubwa wa fedha. WFP imesema kuwa mamilioni ya watu wako katika hatari ya kukosa misaada.

  • Mamia ya waasi wa Fano wauawa katika operesheni ya jeshi la Ethiopia

    Mamia ya waasi wa Fano wauawa katika operesheni ya jeshi la Ethiopia

    Mar 23, 2025 02:40

    Wanajeshi wa Ethiopia wamewaua zaidi ya wapiganaji 300 wa kundi lenye silaha la Fano, washirika wao wa zamani dhidi ya waasi katika eneo la Tigray, katika siku mbili za mapigano mapya katika eneo la kaskazini la Amhara.

  • MSF yatahadharisha kuhusu kasi kipindupindu Ethiopia; watu 31 wameaga dunia

    MSF yatahadharisha kuhusu kasi kipindupindu Ethiopia; watu 31 wameaga dunia

    Mar 15, 2025 02:24

    Takriban watu 31 wapoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu unaoenea kwa kasi nchini Ethiopia.

  • Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia

    Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia

    Feb 23, 2025 12:26

    Zaidi ya wavuvi 20 wameuawa katika eneo la mpaka la Todonyang, kaskazini mwa Kenya, pambizoni mwa Ziwa Turkana katika shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Dassanech kutoka nchi jirani ya Ethiopia.

  • Mashauriano ya Iran na Ethiopia ya kupanua uhusiano wa kiuchumi

    Mashauriano ya Iran na Ethiopia ya kupanua uhusiano wa kiuchumi

    Jan 19, 2025 06:02

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya Bunge amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mshauri katika Wizara ya Masuala ya Kigeni ya Ethiopia ambapo wamejadiliana njia za kupanua ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi hizi mbili ikiwemo uanachama katika kundi la "BRICS".

  • Spika wa Bunge la Iran awasili Ethiopia kwa ziara rasmi

    Spika wa Bunge la Iran awasili Ethiopia kwa ziara rasmi

    Jan 17, 2025 03:20

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amewasili Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia akiongoza ujumbe wa ngazi za juu Bunge kwa mwaliko wa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Ethiopia.

  • Juhudi za uokoaji zinaendelea Ethiopia baada ya kuathiriwa na tetemeko la ardhi

    Juhudi za uokoaji zinaendelea Ethiopia baada ya kuathiriwa na tetemeko la ardhi

    Jan 05, 2025 07:58

    Zeozi la kuwahamisha watu linaendelea huko Abomsa katikati mwa Ethiopia kufautia tetemeko la ardhi lililokuwa na ukubwa wa 5.8 kwa kipimo cha rishta kulikumba eneo hilo.

  • Ethiopia na Somalia zakubaliana kushirikiana katika kudumisha amani

    Ethiopia na Somalia zakubaliana kushirikiana katika kudumisha amani

    Jan 03, 2025 12:03

    Ethiopia na Somalia zimekubaliana kufanya kazi pamoja katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AUSSOOM).

  • Watu 71 wafariki dunia baada ya basi la sherehe ya harusi kutumbukia mtoni nchini Ethiopia

    Watu 71 wafariki dunia baada ya basi la sherehe ya harusi kutumbukia mtoni nchini Ethiopia

    Dec 30, 2024 12:21

    Takriban watu 71 wamepoteza maisha nchini Ethiopia baada ya basi lililokuwa limebeba abiria lililpoacha njia na kutumbukia mtoni. Haya yameelezwa na msemaji wa serikali ya jimbo la Sidama kusini mwa Ethiopia.

  • Watu milioni 7.3 waugua Malaria Ethiopia; 1,157 waaga dunia katika miezi 9

    Watu milioni 7.3 waugua Malaria Ethiopia; 1,157 waaga dunia katika miezi 9

    Nov 15, 2024 07:43

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, watu zaidi ya milioni 7.3 wamepatwa na ugonjwa wa Malaria nchini Ethiopia huku wagonjwa 1,157 wakiaga dunia kwa ugonjwa huo kuanzia Januari Mosi hadi Oktoba 20 mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS