-
Hali ya Tigray nchini Ethiopia yamtia wasiwasi mkubwa Katibu Mkuu wa UN
Feb 02, 2026 03:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema anafuatilia kwa karibu kinachoendelea katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, ambako mvutano unaoibuka upya na taarifa za mapigano vimechangia kuzorota kwa hali ya usalama.
-
Mkuu wa AU aeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka mivutano katika eneo la Tigray, Ethiopia
Jan 31, 2026 02:53Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika jana Ijumaa alitoa wito kwa pande zinazozozana kujiepusha na mivutano haraka iwezekanavyo baada ya vyombo vya habari kuripoti kwamba safari za ndege zimesimamishwa katika eneo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia kutokana na mapigano ya silaha yaliyoibuka katika eneo hilo.
-
Ethiopia yaanza ujenzi wa 'uwanja mkubwa zaidi wa ndege barani Afrika'
Jan 11, 2026 06:33Ethiopia imezindua ujenzi wa 'uwanja mkubwa zaidi wa ndege barani Afrika' utakaogharimu dola bilioni 12.5 za Marekani.
-
Pezeshkian: BRICS inatoa fursa ya ushirikiano imara zaidi wa wanachama
Dec 14, 2025 02:53Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameashiria nafasi na uwezo wa kundi la BRICS na kulieleza kama jukwaa muhimu la kuimarisha maingiliano na uhusiano wa kiuchumi na kisiasa miongoni mwa nchi wanachama.
-
Ethiopia yapinga madai ya 'kikoloni' ya Misri huku mzozo wa bwawa la Nile ukiongezeka
Dec 04, 2025 07:46Ethiopia jana iliikosoa vikali Misri na kuituhumu nchi hiyo kwa kuyumbisha utulivu wa eneo la Pembe ya Afrika ili kudumisha ukiritimba wa kikoloni mwa Mto Nile.
-
Ethiopia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi 2027
Nov 12, 2025 03:11Ethiopia imeishinda Nigeria na hivyo kutangazwa kuwa nchi mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi uliopangwa kufanyika mwaka 2027.
-
Ethiopia yaituhumu Eritrea kuwa inajiandaa kuanzisha vita dhidi yake
Oct 09, 2025 07:13Ethiopia imeituhumu Eritrea kuwa inajiandaa kuanzisha vita dhidi yake. Ethiopia imetoa tuhuma hizi dhidi ya Eritrea ikiwa ni ishara ya karibuni ya kushtadi mvutano katika nchi mbili hizo jirani kuhusu udhibiti wa Bahari Nyekundu.
-
Nguzo za kanisa zaporomoka Ethiopia na kuua watu 36
Oct 02, 2025 13:50Takriban watu 36 waliuawa na zaidi ya 200 kujeruhiwa katika tamasha la kidini katikati mwa Ethiopia, wakati viunzi vya mbao vilipowaangukia ndani ya kanisa lililokuwa likiendelea kujengwa.
-
Afrika yataka kuchukuliwa hatua madhubuti ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi
Sep 11, 2025 07:20Afrika inachangia chini ya asilimia 5 ya uzalishaji wa gesi chafuzi duniani lakini inalipa kile ambacho mtaalamu mmoja wa masuala ya hali ya hewa anakiita “gharama kubwa" ya mabadiliko ya hali ya hewa; mada ambayo imetawala katika Mkutano wa Pili wa Hali ya Hewa wa Afrika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
-
Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?
Sep 11, 2025 07:19Bwawa la Renaissance au an-Nahdha, mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika, ulizinduliwa rasmi na serikali ya Ethiopia siku ya Jumanne.