Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Iran, Ethiopia zajadili BRICS, uhusiano wao na masuala ya kieneo

    Iran, Ethiopia zajadili BRICS, uhusiano wao na masuala ya kieneo

    Oct 23, 2024 10:24

    Katika mkutano muhimu wa kidiplomasia, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekutana na Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia, ambapo wamejadili masuala muhimu ya pande mbili na kikanda.

  • Mkataba wa ushirikiano wa Mto Nile waanza kutekelezwa licha ya upinzani wa Misri na Sudan

    Mkataba wa ushirikiano wa Mto Nile waanza kutekelezwa licha ya upinzani wa Misri na Sudan

    Oct 14, 2024 02:43

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa Mkataba wa Ushirika wa Bonde la Mto Nile (CFA) ulianza kutekelezwa rasmi jana Jumapili licha ya Misri na Sudan kuendelea kuupinga.

  • Mvua kubwa na maporomoko ya udongo yasababisha vifo vya watu 37 kaskazini mwa Ethiopia

    Mvua kubwa na maporomoko ya udongo yasababisha vifo vya watu 37 kaskazini mwa Ethiopia

    Oct 01, 2024 06:21

    Karibu watu 37 wamepoteza maisha kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha kaskazini mwa Ethiopia, ambapo maporomoko ya ardhi na mafuriko yameharibu maeneo mengi ya ukanda huo.

  • Maporomoko ya ardhi yanatishia watu 400,000 kaskazini mwa Ethiopia

    Maporomoko ya ardhi yanatishia watu 400,000 kaskazini mwa Ethiopia

    Aug 29, 2024 07:20

    Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo la kaskazini la Amhara nchini Ethiopia zimewaweka watu 400,000 katika hatari ya mafuriko na maporomoko ya ardhi.

  • Mafuriko yasababisha maelfu ya watu kuhama makazi yao magharibi mwa Ethiopia

    Mafuriko yasababisha maelfu ya watu kuhama makazi yao magharibi mwa Ethiopia

    Aug 13, 2024 02:59

    Takriban watu 16,000 wamelazimika kuhama makazi yao na kuelekea katika maeneo salama kutokana na mafuriko yaliyoathiri maeneo ya magharibi mwa Ethiopia.

  • Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan

    Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan

    Jul 27, 2024 07:02

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha huko mashariki mwa Sudan imezidisha mateso ya watu waliokimbia makazi yao haswa katika miji ya Gedaref, Kassala na Halfa Aj Jadeedah.

  • Ethiopia yaanza siku 3 za maombolezo baada ya maporomoko ya udongo kuua 260

    Ethiopia yaanza siku 3 za maombolezo baada ya maporomoko ya udongo kuua 260

    Jul 27, 2024 03:29

    Bunge la Ethiopia limetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kuanzia leo Jumamosi kufuatia maporomoko ya udongo yaliyoua mamia ya watu.

  • Maporomoko ya udongo yauwa watu wasiopungua 229 nchini Ethiopia

    Maporomoko ya udongo yauwa watu wasiopungua 229 nchini Ethiopia

    Jul 24, 2024 02:45

    Watu wasiopungua 229 wamepoteza maisha katika maporomoko ya udongo yaliyoikumba Ethiopia baada ya mvua kubwa kunyesha nchini humo.

  • Ethiopia: Bara la Afrika lina hamu ya kujiunga na BRICS

    Ethiopia: Bara la Afrika lina hamu ya kujiunga na BRICS

    Jul 14, 2024 10:35

    Spika wa Bunge la Ethiopia amesema aghalabu ya nchi za Afrika zina hamu ya kuwa wanachama wa kundi la BRICS la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani.

  • Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza

    Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza

    May 10, 2024 07:23

    Ethiopia imeeleza kughadhabishwa na hatua ya Baraza la Umoja wa Ulaya ya kuwawekea raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika vikwazo na vizingiti katika upokeaji wa viza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS