Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Mzozo kati ya Ethiopia na Somalia wazidi kuongezeka

    Mzozo kati ya Ethiopia na Somalia wazidi kuongezeka

    Apr 10, 2024 03:04

    Tangu kutangazwa kwa makubaliano ya bahari kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland miezi mitatu iliyopita, hali ya mvutano imekuwa ukiendelea kati ya nchi hizo mbili jirani za mashariki mwa Afrika na washirika wa usalama.

  • Somalia yamtimua balozi wa Ethiopia kutokana na mgogoro wa mkataba wa bandari ya Somaliland

    Somalia yamtimua balozi wa Ethiopia kutokana na mgogoro wa mkataba wa bandari ya Somaliland

    Apr 05, 2024 02:20

    Somalia imetangaza kumfukuza balozi wa Ethiopia nchini humo huku kukiwa na mvutano unaoongezeka kuhusu mzozo wa makubaliano ya bandari kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland.

  • Wabunge wa Somaliland wafutilia mbali makubaliano na Ethiopia ya kufika Bahari Nyekundu

    Wabunge wa Somaliland wafutilia mbali makubaliano na Ethiopia ya kufika Bahari Nyekundu

    Feb 15, 2024 07:47

    Wabunge katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland wamefutilia mbali makubaliano waliyofikia na Ethiopia ya kuiruhusu Addis Ababa kutumia bandari kuu katika eneo la Somaliland.

  • Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuua makumi ya raia jimboni Amhara

    Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuua makumi ya raia jimboni Amhara

    Feb 14, 2024 07:35

    Kamisheni ya Haki za Kibinadamu ya Ethiopia (EHRC) imedai kuwa wanajeshi wa serikali ya Ethiopia waliwaua raia wasiopungua 45 wa mji wa Merawi katika jimbo la Amhara la kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Bunge la Ethiopia larefusha 'hali ya hatari' eneo la Amhara

    Bunge la Ethiopia larefusha 'hali ya hatari' eneo la Amhara

    Feb 03, 2024 07:28

    Bunge la Ethiopia jana Ijumaa lilirefusha muda wa hali ya hatari iliyotangazwa Agosti mwaka uliopita 2023 katika eneo linaloshuhudia mapigano la Amhara.

  • Watu 225 wapoteza maisha kutokana na makali ya njaa Tigray, Ethiopia

    Watu 225 wapoteza maisha kutokana na makali ya njaa Tigray, Ethiopia

    Jan 17, 2024 07:41

    Watu wasiopungua 225 wameaga dunia katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame ambao umeendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

  • OIC yataka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Somalia

    OIC yataka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Somalia

    Jan 05, 2024 02:32

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa mwito wa kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Somalia, kufuatia kusainiwa mapatano baina ya Ethiopia na Somaliland yatakayoiwezesha Ethiopia kutumia Bandari ya Berbera ya Somalia iliyoko katika eneo hilo la Somaliland.

  • Ethiopia yatia saini makubaliano ya bandari ya kihistoria na Somaliland

    Ethiopia yatia saini makubaliano ya bandari ya kihistoria na Somaliland

    Jan 02, 2024 03:27

    Ethiopia imefikia makubaliano ya kihistoria ya kutumia bandari kuu katika eneo lililojitenga la Somalia, la Somaliland wakati nchi hiyo isiyo na eneo lililoungana na bahari ikitafuta ufikiaji zaidi wa njia za baharini kwa meli. Haya yalibanishwa jana na maafisa wa pande mbili.

  • Njaa yaua watu 176 eneo la Tigray, Ethiopia

    Njaa yaua watu 176 eneo la Tigray, Ethiopia

    Dec 14, 2023 03:10

    Watu wasiopungua 176 wameaga dunia katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame ambao umeendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

  • Idadi ya waliofariki kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Ethiopia yafikia watu 400

    Idadi ya waliofariki kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Ethiopia yafikia watu 400

    Dec 02, 2023 10:33

    Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limetangaza kuwa, mripuko wa kipindupindu unaoendelea nchini Ethiopia, hadi hivi sasa umeshasababisha vifo vya zaidi ya watu 400 kufikia sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS