-
Mkataba wa ushirikiano wa Mto Nile waanza kutekelezwa licha ya upinzani wa Misri na Sudan
Oct 14, 2024 02:43Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa Mkataba wa Ushirika wa Bonde la Mto Nile (CFA) ulianza kutekelezwa rasmi jana Jumapili licha ya Misri na Sudan kuendelea kuupinga.
-
Mvua kubwa na maporomoko ya udongo yasababisha vifo vya watu 37 kaskazini mwa Ethiopia
Oct 01, 2024 06:21Karibu watu 37 wamepoteza maisha kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha kaskazini mwa Ethiopia, ambapo maporomoko ya ardhi na mafuriko yameharibu maeneo mengi ya ukanda huo.
-
Maporomoko ya ardhi yanatishia watu 400,000 kaskazini mwa Ethiopia
Aug 29, 2024 07:20Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo la kaskazini la Amhara nchini Ethiopia zimewaweka watu 400,000 katika hatari ya mafuriko na maporomoko ya ardhi.
-
Mafuriko yasababisha maelfu ya watu kuhama makazi yao magharibi mwa Ethiopia
Aug 13, 2024 02:59Takriban watu 16,000 wamelazimika kuhama makazi yao na kuelekea katika maeneo salama kutokana na mafuriko yaliyoathiri maeneo ya magharibi mwa Ethiopia.
-
Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan
Jul 27, 2024 07:02Mvua kubwa inayoendelea kunyesha huko mashariki mwa Sudan imezidisha mateso ya watu waliokimbia makazi yao haswa katika miji ya Gedaref, Kassala na Halfa Aj Jadeedah.
-
Ethiopia yaanza siku 3 za maombolezo baada ya maporomoko ya udongo kuua 260
Jul 27, 2024 03:29Bunge la Ethiopia limetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kuanzia leo Jumamosi kufuatia maporomoko ya udongo yaliyoua mamia ya watu.
-
Maporomoko ya udongo yauwa watu wasiopungua 229 nchini Ethiopia
Jul 24, 2024 02:45Watu wasiopungua 229 wamepoteza maisha katika maporomoko ya udongo yaliyoikumba Ethiopia baada ya mvua kubwa kunyesha nchini humo.
-
Ethiopia: Bara la Afrika lina hamu ya kujiunga na BRICS
Jul 14, 2024 10:35Spika wa Bunge la Ethiopia amesema aghalabu ya nchi za Afrika zina hamu ya kuwa wanachama wa kundi la BRICS la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani.
-
Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza
May 10, 2024 07:23Ethiopia imeeleza kughadhabishwa na hatua ya Baraza la Umoja wa Ulaya ya kuwawekea raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika vikwazo na vizingiti katika upokeaji wa viza.
-
Mzozo kati ya Ethiopia na Somalia wazidi kuongezeka
Apr 10, 2024 03:04Tangu kutangazwa kwa makubaliano ya bahari kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland miezi mitatu iliyopita, hali ya mvutano imekuwa ukiendelea kati ya nchi hizo mbili jirani za mashariki mwa Afrika na washirika wa usalama.