Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ugonjwa wa Chikungunya waenea Ethiopia, watu  15,000  waambukizwa

    Ugonjwa wa Chikungunya waenea Ethiopia, watu 15,000 waambukizwa

    Aug 30, 2019 03:30

    Zaidi ya watu 15,192 wameambukizwa Chikungunya baada ya ugonjwa huu kuibuka katika mji wa mashariki wa Ethiopia Dire Dawa.

  • Bunge la Ethiopia lapasisha sheria mpya ya uchaguzi

    Bunge la Ethiopia lapasisha sheria mpya ya uchaguzi

    Aug 24, 2019 22:06

    Wabunge wa Ethiopia, jana Jumamosi, Agosti 24, 2019 walipasisha sheria mpya ya uchaguzi katika kipindi hiki ambacho uchaguzi mkuu nchini humo unatarajiwa sana kufanyika mwakani, 2020.

  • HRW yakosoa ukandamizaji wa Saudia dhidi ya wahajiri wa Kiethiopia

    HRW yakosoa ukandamizaji wa Saudia dhidi ya wahajiri wa Kiethiopia

    Aug 16, 2019 23:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza wasiwasi wake kuhusu haki ya wahajiri wa Kiethiopia nchini Saudi Arabia na kukosoa ukiukwaji wa haki zao unaofanywa na maafisa wa nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia atishia kukata moja kwa moja mawasiliano ya Intaneti

    Waziri Mkuu wa Ethiopia atishia kukata moja kwa moja mawasiliano ya Intaneti

    Aug 03, 2019 22:37

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ametangaza kuwa, endapo machafuko na hali ya kushajiishana wananchi kwa ajili ya machafuko itaendelea nchini humo, basi atachukua uamuzi wa kukata mawasiliano ya Intaneti kwa muda mrefu.

  • Ethiopia yaweka rekodi kwa kupanda zaidi ya miti milioni 350 kwa siku moja

    Ethiopia yaweka rekodi kwa kupanda zaidi ya miti milioni 350 kwa siku moja

    Jul 30, 2019 20:50

    Waethiopia wamepanda zaidi ya miche milioni 350 ya miti katika muda wa siku moja ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kupambana na utowekaji wa misitu na mabadiliko ya tabianchi.

  • Jeshi la Ethiopia kulinda usalama katika mkoa wa Kusini ulioathiriwa na machafuko

    Jeshi la Ethiopia kulinda usalama katika mkoa wa Kusini ulioathiriwa na machafuko

    Jul 23, 2019 23:25

    Ethiopia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi na askari usalama wa nchi hiyo ndio watasimamia ulinzi na usalama katika mkoa wa kusini ulioathiriwa na machafuko nchini humo. Machafuko hayo yemeendelea kwa siku kadhaa na kusababisha watu 18 kupoteza maisha.

  • Mayahudi wa Ethiopia waliorubuniwa kwenda Israel wapiga

    Mayahudi wa Ethiopia waliorubuniwa kwenda Israel wapiga "takbir" waendelea kulalamikia unyanyasaji

    Jul 06, 2019 06:28

    Mayahudi wa Ethiopia maarufu kwa jina la Mafalasha, waliorubiniwa kwenda katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, wanaendelea kufanya maandamano ya kalalamikia unyanyasaji na ubaguzi wanaofanyiwa na Wazayuni.

  • Wayahudi wa Ethiopia waandamana kulalamikia ukatili wa polisi ya Israel

    Wayahudi wa Ethiopia waandamana kulalamikia ukatili wa polisi ya Israel

    Jul 03, 2019 02:55

    Maelfu ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia yaani Mafalasha wamefanya maandamano huko Tel Aviv kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Aliyepanga mapinduzi yaliyofeli Ethiopia auawa, 182 wakamatwa

    Aliyepanga mapinduzi yaliyofeli Ethiopia auawa, 182 wakamatwa

    Jun 25, 2019 02:41

    Mkuu wa usalama katika jimbo la Amhara, kaskazini mwa Ethiopia anayetuhumiwa kupanga jaribio la kuipindua serikali ya jimbo hilo ameuawa.

  • Mkuu wa Jeshi la Ethiopia auawa katika jaribio la mapinduzi

    Mkuu wa Jeshi la Ethiopia auawa katika jaribio la mapinduzi

    Jun 23, 2019 08:36

    Mkuu wa Jeshi la Ethiopia Jenerali Seare Mekonnen na maafisa wengine watatu wa ngazi za juu wameuawa katika jaribio la kuipindua serikali ya jimbo la Amhara kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS