-
Taarifa za visanduku vyeusi: Ajali ya ndege ya Ethiopia 'inafanana' na ya Lion Air ya Indonesia
Mar 18, 2019 03:44Taarifa za awali zilizopatikana kwenye vinasa taarifa na sauti vya ndege ya Ethiopia iliyoanguka siku kadhaa zilizopita zinaonyesha kuwa, kuna "mshabihiano wa wazi" kati ya ajali ya ndege hiyo na ile ya shirika la ndege la Indonesia la Lion Air iliyotokea mwezi Oktoba mwaka jana.
-
Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Ethiopia kufuatia ajali ya ndege
Mar 10, 2019 10:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma salamu za rambirambi na kutoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Ethiopia khususan familia za wale wote waliopoteza maisha katika ajali ya ndege ya abiria ya Shirika la Ndege la Ethiopia iliyoanguka muda mfupi baada ya kuruka.
-
Wakenya 32 ni miongoni mwa watu 157 walioaga dunia katika ajali ya ndege Ethiopia + Sauti
Mar 10, 2019 13:11Raia 32 wa Kenya ni miongoni mwa abiria 149 na wahudumu wanane, waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege iliyotokea mapema leo nchini Ethiopia.
-
Ethiopia yatumia diplomasia kuzipatanisha Kenya na Somalia
Mar 06, 2019 23:24Upatanishi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed katika mgogoro wa mpaka wa baharini kati ya Kenya na Somalia umezaa matunda kwa kiasi fulani, baada ya nchi mbili hizo jirani kuafikiana kupunguza taharuki iliyopo kati yao.
-
Viongozi wa Afrika wakamilisha mkutano wao Addis Ababa
Feb 12, 2019 04:27Mkutano wa 32 viongozi wa nchi za Afrika ulimaliza kazi zake alasiri ya jana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa.
-
Walinda amani watatu wafariki dunia katika ajali ya helikopta nchini Sudan
Feb 10, 2019 04:06Umoja wa Mataifa umesema kuwa, walinda usalama watatu wamepoteza maisha baada ya helikopta ya kijeshi ya Ethiopia kupata ajali ndani ya kituo cha askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa (UNISFA), kwenye eneo lenye mzozo la Abyei katika mpaka wa Sudan na Sudan Kusini.
-
Shambulizi la kigaidi laua askari kadhaa wa Ethiopia nchini Somalia
Feb 02, 2019 21:57Mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini umeua watu kadhaa wakiwemo wanajeshi wa Ethiopia huko kusini mwa Somalia.
-
Wayahudi wenye asili ya Ethiopia waandamana Tel Aviv kupinga ukatili wa polisi wa Kizayuni
Jan 31, 2019 11:20Maelfu ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia yaani Mafalasha wamefanya maandamano huko Tel Aviv kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Foreign Policy: Waziri Mkuu wa Ethiopia ni mwanafikra wa kimataifa
Jan 26, 2019 04:44Jarida la Foreign Policy limemtaja Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia kuwa mwanafikra wa kimataifa kutokana na jitihada zake za kitaifa na kieneo ndani ya miezi 12 iliyopita.
-
Ethiopia yawaachia huru maelfu ya wafungwa wa kisiasa
Jan 23, 2019 04:20Serikali ya Ethiopia imewaachia huru wafungwa wa kisiasa zaidi ya 13 elfu katika kipindi cha miezi sita iliyopita.