-
FAO: Uhaba wa chakula katika nchi nyingi duniani unatia wasiwasi
Dec 08, 2017 07:50Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limebainisha wasiwasi wake kuhusu uhaba wa chakula katika nchi nyingi duniani.
-
FAO yataka kuweko juhudi za kupambana na tatizo la njaa ulimwenguni
Nov 30, 2017 03:44Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuungwa mkono na kusaidiwa wazalishaji wadogo ili kukabiliana na tatizo la njaa ulimwenguni.
-
Jumatatu tarehe 16 Oktoba, 2016
Oct 16, 2017 02:36Leo ni Jumatatu tarehe 25 Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 16, 2017.
-
Kuongezeka kwa idadi ya watu wanaosumbuliwa na njaa duniani
Sep 16, 2017 13:03Shirika Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza katika ripoti yake mpya kwamba, idadi ya watu wanaosumbuliwa na njaa duniani imeongezeka na kufikia watu milioni 815.
-
FAO yatoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu nchini Uganda
Aug 31, 2017 14:21Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu katika nchi ya Uganda iliyoko katika eneo la Afrika Mashariki.
-
FAO: Njaa inatishia eneo la mashariki mwa Afrika
Aug 14, 2017 12:16Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha kuhusu ongezeko la vifo vya watu kutokana na ukame na njaa katika maeneo ya mashariki mwa Afrika.
-
FAO yatahadharisha kuhusu kuongezeka haja ya misaada ya dharura mashariki mwa Afrika
Jul 24, 2017 07:04Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha katika ripoti yake kuwa kuna ongezeko la kutia wasiwasi la watu wanaohitaji misaada ya haraka ya kibinadamu katika nchi za mashariki mwa Afrika.
-
FAO: Idadi ya watu walioathiriwa na njaa itaongezeka
Jul 03, 2017 13:01Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limesema kuwa, watu milioni 20 wanasumbuliwa na njaa na utapiamlo kote duniani.
-
FAO yachukua hatua kuzuia makali ya kiangazi Somalia
Jun 03, 2017 07:17Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetibu mifugo zaidi ya milioni 12 chini ya miezi mitatu iliyopita, kwa shabaha ya kudhibiti makali ya ukame na baa la njaa nchini Somalia.
-
FAO: Samaki aina ya sato au Tilapia apatikana na virusi katika baadhi ya nchi
May 27, 2017 13:53Maradhi hatari yanayoambukiza yanasambaa miongoni mwa samaki aina ya sato au tilapia, moja ya samaki muhimu na mashuhuri kwa matumizi ya binadamu.