Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Mgawanyiko katika jeshi la Israel huku mashambulio dhidi ya Gaza yakiendelea

    Mgawanyiko katika jeshi la Israel huku mashambulio dhidi ya Gaza yakiendelea

    Apr 11, 2025 02:03

    Kundi la askari wa akiba wa jeshi la anga la Israel limefukuzwa kazi baada ya kutia saini waraka wa kutaka kusitishwa vita dhidi ya Gaza na kurejeshwa kwa mateka wa utawala huo haramu.

  • Waisraeli waandamana kupinga kuanza tena vita vya Gaza

    Waisraeli waandamana kupinga kuanza tena vita vya Gaza

    Apr 08, 2025 06:41

    Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika mitaa ya Tel Aviv kushiriki katika maandamano mapya ya kupinga serikali ya utawala haramu wa Israel, wakati ambapo Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu alipokutana na Rais wa Marekani, Donald Trump mjini Washington.

  • Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Apr 07, 2025 11:35

    Kundi mashuhuri la mawakili wa haki za binadamu wa Uingereza linatazamiwa kuwasilisha malalamiko ya jinai za kivita dhidi ya Waingereza kumi waliokuwa sehemu ya wanajeshi wa Israel waliofanya mashambulizi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Jumamosi, tarehe 5 Aprili 2025

    Jumamosi, tarehe 5 Aprili 2025

    Apr 05, 2025 02:39

    Leo ni Jumamosi tarehe 6 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 5 mwaka 2025.

  • Israel yashambulia nyumba ya makazi ya raia huko Gaza na kuuwa shahidi watu 15

    Israel yashambulia nyumba ya makazi ya raia huko Gaza na kuuwa shahidi watu 15

    Apr 03, 2025 11:37

    Idadi nyingine ya Wapalestina wameuawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya leo asubuhi utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Baraza la Haki la UN lalaani mauaji mapya ya kimbari Gaza

    Baraza la Haki la UN lalaani mauaji mapya ya kimbari Gaza

    Apr 03, 2025 07:04

    Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kulaani mashambulizi mapya ya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Uingereza: Ghaza ndio mahali hatari zaidi duniani kwa wahudumu wa misaada ya kibinadamu

    Uingereza: Ghaza ndio mahali hatari zaidi duniani kwa wahudumu wa misaada ya kibinadamu

    Apr 02, 2025 10:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Lammy amezungumzia hali ya hatari inayowakabili wafanyakazi wa misaada katika Ukanda wa Ghaza na kukiri kuwa eneo hilo la ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni "mahali hatari zaidi duniani" kwa watoaji misaada ya kibinadamu.

  • Wapalestina 11 wauawa shahidi katika mashambulizi ya leo ya jeshi la Israel

    Wapalestina 11 wauawa shahidi katika mashambulizi ya leo ya jeshi la Israel

    Apr 02, 2025 06:58

    Duru za kitiba zimetangaza kuwa Wapalestina 11 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza mapema leo.

  • Watoto zaidi ya 300 wameuawa katika mashambulizi mapya ya Israel Gaza

    Watoto zaidi ya 300 wameuawa katika mashambulizi mapya ya Israel Gaza

    Apr 01, 2025 10:38

    Mamia ya watoto wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze tena operesheni za kijeshi katika Ukanda wa Gaza.

  • ICRC: Tumeshtushwa na jinsi Israel inavyofanya jinai bila ya kiwewe

    ICRC: Tumeshtushwa na jinsi Israel inavyofanya jinai bila ya kiwewe

    Apr 01, 2025 02:48

    Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limesema kuwa, limeshtushwa na jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel unavyofanya jinai za kutisha huko Ghaza bila ya hofu wala kiwewe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS