Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Ijumaa, tarehe 27 Disemba, 2024

    Ijumaa, tarehe 27 Disemba, 2024

    Dec 28, 2024 04:48

    Lei ni Ijumaa tarehe 25 Jamadithani 1446 Hijria sawa na Disemba 27 mwaka 2024.

  • Afisa wa UN: Ni vigumu kupeleka misaada Gaza

    Afisa wa UN: Ni vigumu kupeleka misaada Gaza

    Dec 25, 2024 03:35

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa imekuwa vigumu kufikisha hata msaada mdogo kwa raia wa Palestina huko Ukanda wa Gaza.

  •  Hamas yaendeleza juhudi za kufikia mapatano ya kusitisha vita Ukanda wa Gaza

    Hamas yaendeleza juhudi za kufikia mapatano ya kusitisha vita Ukanda wa Gaza

    Dec 22, 2024 07:49

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palstina (Hamas) imeripoti kuwa makundi ya muqawama ya Palestina yamekutana katika kikao cha pamoja huko Cairo, Misri na kwamba upo uwezekano wa kufikia mapatano ya kusitisha vita huko Ukanda wa Gaza.

  • Kiongozi wa Tahrir al-Sham: Hatutaruhusu Syria itumike kufanyia mashambulio dhidi ya Israel

    Kiongozi wa Tahrir al-Sham: Hatutaruhusu Syria itumike kufanyia mashambulio dhidi ya Israel

    Dec 17, 2024 06:05

    Kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Hay'at Tahrir al-Sham (HTS), ambalo liliiondoa madarakani serikali ya Syria mapema mwezi huu huku kukiwa na taarifa zilizoenea za kuungwa mkono kundi hilo na mataifa ya Magharibi na Israel, amesema hataruhusu ardhi ya Syria itumike kufanyia mashambulizi dhidi ya Israel.

  • Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi zimeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa

    Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi zimeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa

    Dec 15, 2024 05:34

    Washiriki wa mkutano wa London uliozungumzia "Uenezaji Hofu na Chuki Dhidi ya Uislamu" (Islamophobia) wametahadharisha kuhusu athari za vita vya Ghaza kwa ongezeko la jinai zinazofanywa katika nchi za Magharibi kwa sababu ya kuwachukia Waislamu.

  • RSF: Waandishi 54 wameuawa mwaka huu wakiwa kazini

    RSF: Waandishi 54 wameuawa mwaka huu wakiwa kazini

    Dec 13, 2024 03:38

    Shirika la kimataifa la Waandishi Habari wasiokuwa na Mipaka, RSF limetangaza kuwa, takribani waandishi habari 54 wameuawa ulimwenguni kote mwaka huu katika mazingira yanayohusisha kazi zao.

  • Maandamano dhidi ya Israel yafanyika katika nchi mbalimbali

    Maandamano dhidi ya Israel yafanyika katika nchi mbalimbali

    Dec 02, 2024 07:07

    Maelfu ya wafuasi wa wananchi wa Palestina wamefanya maandamano katika miji mingi muhimu duniani ikiwemo Paris, Berlin, Santiago, Amsterdam, Copenhagen, Istanbul, Rome, Manchester na London kulaani mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Dec 01, 2024 04:13

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa IIsrael katika Ukanda wa Gaza.

  • 27 wafariki, 100 hawajulikani waliko baada ya mashua kupinduka kaskazini ya Nigeria

    27 wafariki, 100 hawajulikani waliko baada ya mashua kupinduka kaskazini ya Nigeria

    Nov 30, 2024 07:08

    Watu wasiopungua 27 wamefariki dunia na zaidi ya 100 hawajulikani walipo baada ya mashua kupinduka kaskazini mwa Nigeria.

  • Daktari aangua kilio wakati anasimulia unyama wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ghaza

    Daktari aangua kilio wakati anasimulia unyama wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ghaza

    Nov 29, 2024 11:42

    Daktari Tanya Haj-Hassan, ameangua kilio katika mkutano wa Umoja wa Mataifa alipokuwa akisimulia tajiriba aliyopitia katika Ukanda wa Ghaza unaoendelea kushuhudia vita vya kinyama na mauaji ya kimbari yanayofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo lililowekewa mzingiro.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS