Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Ulaya wasisitiza udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza

    Jul 12, 2024 22:43

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza ni mbaya na isiyovumilika.

  • Shirika la UNRWA laonya kuhusu uhaba wa bidhaa za chakula Gaza

    Shirika la UNRWA laonya kuhusu uhaba wa bidhaa za chakula Gaza

    Jun 28, 2024 03:48

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limeonya kuhusiana na uhaba mkubwa wa bidhaa za chakula unaolikabili eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina.

  • Afisa wa Marekani aliyejiuzulu: Wanajeshi wa Marekani wanashiriki katika vita vya Israel huko Gaza

    Afisa wa Marekani aliyejiuzulu: Wanajeshi wa Marekani wanashiriki katika vita vya Israel huko Gaza

    Jun 26, 2024 23:29

    Afisa aliyejiuzulu kutoka Shirika la Ujasusi la Ulinzi la Marekani, Meja Harrison Mann, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Israel katika Ukanda wa Gaza havingeweza kuendelea hadi leo bila msaada usio na kikomo wa Marekani, akisisitiza kwamba wanajeshi wa Marekani wanapigana katika kuilinda Israel.

  • Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Jun 26, 2024 03:53

    Eneo la Ukanda wa Gaza linakabiliwa na hatari kubwa ya baa la njaa ikiwa ni matokeo ya hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Jun 25, 2024 08:51

    Vita vya Gaza vimeingia katika mwezi wa tisa huku mizozo na mivutano kati ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na maafisa wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni ikiendelea kushika kasi.

  • Umoja wa Mataifa watoa onyo kali kuhusu kuongezeka majanga katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Mataifa watoa onyo kali kuhusu kuongezeka majanga katika Ukanda wa Gaza

    Jun 20, 2024 22:44

    Francesca Albanese, Ripota wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina, amesema katika taarifa kwamba hali ya maafa huko Ukanda wa Gaza imezidi kuwa mbaya. Kwa kauli yake, utawala haramu wa Israel unalenga misafara ya misaada ya kibinadamu inayotumwa Gaza na kuzuia ufikaji wa misaada katika ukanda huo.

  • Kushambulia Rafah; kipaumbele cha Israeli na kupuuzwa matakwa ya kimataifa

    Kushambulia Rafah; kipaumbele cha Israeli na kupuuzwa matakwa ya kimataifa

    May 30, 2024 23:07

    Huku ukiwa umepuuza matakwa na maonyo ya kimataifa kuhusu athari na matokeo hatari ya kibinadamu ya kushambuliwa mji wa mpakani wa Rafah ulioko kusini mwa Ukanda wa Gaza, utawala wa Kizayuni umetuma vikosi vya kivita katika eneo hilo, ambapo vinaua kikatili wakazi wake bila kujali lolote.

  • Baraza la Usalama UN lataka uchunguzi huru kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza

    Baraza la Usalama UN lataka uchunguzi huru kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza

    May 11, 2024 23:07

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka, huru na wa kina kuhusu ripoti za kugunduliwa makaburi ya halaiki katika Ukanda wa Gaza, likisisitiza haja ya kuruhusiwa wachunguzi kufikia maeneo hayo na kuwawajibisha wale waliohusika na uhalifu huo.

  • Safari ya Abdollahian Gambia kushiriki mkutano wa OIC wa kujadili changamoto za Waislamu hasa Palestina

    Safari ya Abdollahian Gambia kushiriki mkutano wa OIC wa kujadili changamoto za Waislamu hasa Palestina

    May 05, 2024 03:26

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yupo Banjul, mji mkuu wa Gambia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.

  • Kashfa ya kutoweka raia 10,000 wa Palestina katika vita vya Gaza

    Kashfa ya kutoweka raia 10,000 wa Palestina katika vita vya Gaza

    May 03, 2024 23:00

    Sambamba na kuendelea kupanuka maandamano ya wanafunzi wa Marekani na juhudi za Mahakama ya ICJ na ICC za kutoa waranti wa kukamatwa viongozi wa utawala wa kibaguzi wa Israel kutokana na jinai zao huko Gaza, Shirika la Haki za Binadamu la Euro-Mediterranean limetoa ripoti mpya na ya kutisha inayoweza kuzidisha hasira za wanafunzi hao na wakati huo huo kuongeza ushahidi mpya katika jinai zinazofanywa na utawala huo dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS