-
Oxfam: Israel na Mamlaka ya Ndani Palestina zinahusika na mgogoro wa Ghaza
Aug 07, 2017 10:28Mwakilishi wa shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ameutaja utawala wa Kizayuni wa Israel na Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuwa zinahusika na kushtadi mgogoro katika Ukanda wa Ghaza.
-
Vikwazo, vizuizi, uhaba, sababu tatu za hatari ya kufa wagonjwa Ukanda wa Ghaza
Jul 14, 2017 22:01Jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel zingali zinaendelea dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza na hivi sasa jinai hizo zinawasababishia vifo vya kila namna wakazi hao waliozingirwa kila upande.
-
Haniya: Haiwezekani kutenganisha baina ya Gaza na Ukingo wa Magharibi
Jul 12, 2017 10:01Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kukomesha mgawanyiko ulioko huko Palestina na kwamba eneo la Gaza kamwe halitatenganishwa na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ndege za Israel zawavurumishia mabomu Wapalestina Ukanda wa Ghaza
Jun 27, 2017 03:27Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimevurumisha makombora kadhaa katika Ukanda wa Ghaza wakati Wapalestina katika eneo hilo wakiwa wanasherehekea siku kuu ya Idul Fitr.
-
Mahmoud Abbas aendelea kuwakomoa Wapalestina wa Gaza; aamua kuwastaafisha askari 1,000 kwa nguvu
Jun 19, 2017 03:31Katika muendelezo wa hatua za kuwakomoa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameunda kamati ya usalama kwa lengo la kuwastaafisha kwa nguvu na kabla ya wakati askari elfu moja wa eneo hilo.
-
UN yalaani Israel kuwazimia umeme Wapalestina Ghaza
Jun 15, 2017 02:55Umoja wa Mataifa umelaani hatua ya utawala haramu wa Israel kuwazimia kwa muda mrefu umeme Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Iran yawapa futari mamia ya maelfu ya Wapalestina wanaozingirwa Ghaza
May 30, 2017 00:00Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mpango wa kuwapa futari Wapalestina karibu laki mbili katika eneo la Ukanda wa Ghaza ambalo liko chini ya mzingiro wa kinyama wa utawala haramu wa Israel.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina bega kwa bega na Israel katika kuuhujumu Ukanda wa Gaza
May 12, 2017 22:02Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeifunga ofisi yake katika Ukanda wa Gaza na kukabidhi mamlaka ya uendeshaji wake kwa ofisi ya jumuiya hiyo iliyoko Ramallah, Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
UN: Ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina ni haramu na inapasa usimamishwe kikamilifu
Apr 22, 2017 11:55Mratibu wa amani wa Umoja wa Mataifa amesema, kwa mujibu wa sheria za kimataifa, ujenzi wa vitongoji unaofanywa na Israel katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina ni kinyume cha sheria na inapasa usimamishwe kikamilifu.
-
Wanawake wa Ghaza waandamana kuwaunga mkono mateka wa Palestina
Mar 16, 2017 11:11Makumi ya wanawake wa Kipalestina wakazi wa Ukanda wa Ghaza wameandamana katika eneo hilo kuonyesha mshikamamo wao kwa mateka wanawake wa Kipalestina ambao wanashikiliwa katika jela za utawala haramu wa Kizayuni.